WAISLAM:
KUMBE MASHEHE/IMAM/USTAADH WOTE NI BANDIA
=========================================================
1. Wapi aya kutoka Kuruan inayo sema/waruhusu muwe na Imam?
2. Wapi aya kutoka Kuruani inayo sema/waruhusu muwe na Mashehe?
3. Wapi aya kutoka Kuruan inayo sema/waruhusu muwe na Ustaadh?
Lakini kwenye Biblia tunaambiwa:
Waefeso 4: 11 Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;
1 Timothy 3: 2 Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
Hakika dini ya kweli ni Ukristu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.