Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Status
Not open for further replies.
Unakaribishwa tu! Karibu ktk Uongofu.
Huyo muhammad utamjua polepole!

Wako wengi kama wewe walikuwa hivo hivo lkn ss hivi ni waislamu safi kabisa.

He!kumbe Uislamu mnauita( uongofu)yaani kwenye uongo,sikulifahamu hilo
 
He!kumbe Uislamu mnauita( uongofu)yaani kwenye uongo,sikulifahamu hilo

Nadhani wananchi wote TZ wanafahamu kuwa wagalatia Kiswahili kinawapa tabu sana!

Labda tuandike kingoni ndio utaelewa.
 
Nadhani wananchi wote TZ wanafahamu kuwa wagalatia Kiswahili kinawapa tabu sana!

Labda tuandike kingoni ndio utaelewa.

WAISLAM:
KUMBE MASHEHE/IMAM/USTAADH WOTE NI BANDIA
=========================================================
1. Wapi aya kutoka Kuruan inayo sema/waruhusu muwe na Imam?
2. Wapi aya kutoka Kuruani inayo sema/waruhusu muwe na Mashehe?
3. Wapi aya kutoka Kuruan inayo sema/waruhusu muwe na Ustaadh?
Lakini kwenye Biblia tunaambiwa:
Waefeso 4: 11 Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;
1 Timothy 3: 2 Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
Hakika dini ya kweli ni Ukristu.




 
Niwaulize, hivi anayekuwa anaombwa si ni Mungu. Na Mungu ni mmoja tu tatizo liko wapi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom