Gs-300
JF-Expert Member
- May 2, 2014
- 446
- 573
Allah alioa na ana mke mmoja anaitwa Allat na alibahatika kuzaa watoto watatu...sasa inakuwaje waislamu wa leo wanaoa wake tisa na kuzaa watoto wa kumwaga?
Msabato/SDA anakutoa kijasho...unakimbilia kuuchafua Uislam,sio!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!
Kawaite Wakatoliki wanzio na mjipange kwa hoja zenye logic hapa,au!?
Chezea Sabato weye! Teeeh! Teeeh! Teeeh!
Leo mpaka kieleweke!...kwani Pope anasali na kuabudu na Waislam!? Daah!