Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Hawajaanza leo. Ilihali watu wa Arusha tangu zamani wanachangia pato kubwa la Taifa kwa uchakarikaji ila serikali inawatenga.

Sehemu kubwa ya miradi ya maendeleo sasahivi Arusha inafanywa na wenyeji wenyewe.
Acheni ubinafsi na upumbavu mnatengwa kwa lipi au mnataka kila kitu kipelekwe kwenu je watu wa mikoa mingine wasemeje, mbona watu wa Mikoa mingine hawalii kama nyie, mnapenda sana mbeleko za kijinga.
 
Pole Sana kaka nadhani ukweli unaujua Arusha Ndio namba 2 kwa tax and revenue collector baada ya Dar Sasa endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe
Tax kwa kujimilikisha serengeti national park na bado mnatoa machozi kila iitwayo leo subiri utawala wa majimbo uje ili mzidi kulia na kusaga meno.
 
We endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe Ila ukweli unajulikana ,kwanza Arusha na Moshi soon tunaungana rasmi kuanzisha republic ya Arusha itaitwa(USA)~yaani United State of Arusha ,tujitegemee wenyew tuijenge Arusha na Moshi kwa mapato yanayotoka Arusha na moshi sababu tumechoka kutengwa na kubaguliwa tangu Uhuru mpaka Sasa hatukubali ujinga huu Tena mwisho unakuja
Hicho kitu hakita kuja kutokea abadani Arusha ni mkoa Kama ilivyo mikoa mingine ajabu ni kwamba mnalilia tu mbona Kilimanjaro hawa lii Kama nyie watu wa R-chuga ?

Unasema Arusha ina resources potential zipi ambazo mikoa mingine hazina hizo resources ? Kwa walio tembea mikoa mbali mbali hapa Tanzania hasa majiji Kama Dar, Mwanza,Mbeya na Tanga hawawezi kuona kitu special chochote hapo Arusha
 
Tatizo ni siasa, Arusha miaka mingi imekuwa ikionekana kama jiji la upinzani, hivyo serikali ya CCM huacha kupeleka maendeleo makusudi ili wapinzani waonekane hawana msaada wowote kwa wananchi.
Mkuu vijana wengi wa kutoka Arusha ni washamba Sana ndio maana hata Uchumi wa mkoa wao hawa umiliki wao bali ni vijana toka Moshi ndio wenye Maisha mazuri Arusha wameru walikalia kuvuta bhangi na kufanya biashara za magendo wakivaa viatu vikubwa na masharti ya mtumba wanajiona Wana sifa ya kuwa nchi
 
Nini kinakuzuia kuja kuishi kwenye miji inayopendeleaa kama Dar, ilihali hauitaji Passport wala VISA kuja?
Hawezi ishi jiji la wajanja maana hao ujanja wao ni kuvaa masharti makubwa na viatu vikubwa mbaya zaidi mitumba Sasa Dar jiji smart kuanzia kichwani mpaka mavazi ukija na ushamba wa ki-arusha utaonekana kituko

NB: Dar sio kwa kila mtu mkuu
 
Kama Ndio tunatengwa na kubaguliwa kiasi hiki itabidi tuizindue Republic of Arusha (USA)~United state of Arusha tujitegemee vizuri na Resources zetu za Arusha zinatutosha kabisa km serikali inatuhujumu kias hiki ,inakuwaje jiji la KITALII km wanavyo liita hata uwanja wa ndege wa kimataifa hakina lakini wakati huo huo viwanja vya ndege vinajengwa mikoa mingine kila kukicha hata stendi ,tu ya kisasa hakuna Ila Cha ajabu stendi inajengwa singida ,Arusha the hub of tourism panapotezewa tangu Uhuru mpaka Sasa km vile hawapaoni mwisho utafika tu tumechokaaa sisi

Kabisa mimi kwa dhati kabisa naunga mkono The United States of Arusha.

Vijana wa Arusha simama imara tujitenge. Tukiendelea na hii nchi yakuitwa Tz umasikini kamwe hauwezi isha.

Hili vuguvugu la kujitenga lisiishe. Hata kama haitafanikiwa leo basi watoto wa watoto wetu.

Arusha kwanza.
 
Geneva Of Africa

Tatizo la watu wa Arusha ni kuichukulia Arusha km Nchi sio Arusha km Mkoa

Arusha sio Nchi mkiondoa hio mentality soon mtapata maendeleo ila mkibaki na hio mentality mtapitwa hata na Lindi sio Zanzibar tu,

Arusha inahujumiwa na serikali. Na sisi tunasema hatuihitaji hiyo serikali. Tukipata upenyo lazima tuunde nchi yetu
 
Si unaona kitu km hichi sasa? Hiki ndio kinafanya mnapigwa PIN, huu ujinga wakubwa wanaujua na ndio hawautaki ujinga km huu Arusha sio Nchi, mmemezeshwa mentality za kwamba Arusha ni Nchi kitu ambacho sio kweli Nchi ni moja tu JMT

Haijalishi.

Leo arusha ni mkoa lakini baada ya miaka kadhaa itakuwa nchi. Hili vuguvugu halitapoa.
 
Arusha maeneo yote wanayoringia hayapo mkoani kwao.

Walikuwa wanaringia Tanzanite na Mererani hili eneo lipo wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara

Walikuwa wanaitaja Serengeti hii mbuga ipo Mkoa wa Manyara, Mara na Simiyu.
Sasa hivi mageti ya kuingia hifadhini yanafunguliwa Simiyu, Mara.
Pakijengwa uwanja wa kisasa wa Ndege Mwanza ujue Arusha inazikwa.
Kwa sababu ni karibu zaidi kutoka Mwanza kwenda Serengeti kuliko Arusha.

Mlima Kilimanjaro upo mkoa Mwingine yaani Moshi.

Hivyo unagundua Arusha itazidi kunywea baada ya miaka 15 ijayo.

Watake wasitake
Ulivyoandika utafikiri hiyo Arusha ipo Kenya vile...
 
Arusha ikijitenga tutatumia resource zetu kwa manufaa ya watu wetu.

1- barabara nzuri za mitaa na vijiji.
2- mazingira daraja la kwanza kuvutia na kukuza tourism
3-biashara ya madini kuimarishwa
4-shule bora, huduma za afya bora
5-kiwanja cha kimataifa cha ndege
6-pesa nyingi itapelekwa kwenye elimu ili watoto wetu wapate elimu ya kisasa na si bora elimu.
7-tourism pekee itatoa ajira kwa watu wetu wengi, kuanzia watu wa mahoteli, tour guides, tour operators, vijana wanaofanya ujasiriamali unaolenga watalii, hawa wote watapata pesa.

Tusirudi nyuma, Arusha kuwa nchi huru haikwepeki tena.
 
Arusha maeneo yote wanayoringia hayapo mkoani kwao.

Walikuwa wanaringia Tanzanite na Mererani hili eneo lipo wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara

Walikuwa wanaitaja Serengeti hii mbuga ipo Mkoa wa Manyara, Mara na Simiyu.
Sasa hivi mageti ya kuingia hifadhini yanafunguliwa Simiyu, Mara.
Pakijengwa uwanja wa kisasa wa Ndege Mwanza ujue Arusha inazikwa.
Kwa sababu ni karibu zaidi kutoka Mwanza kwenda Serengeti kuliko Arusha.

Mlima Kilimanjaro upo mkoa Mwingine yaani Moshi.

Hivyo unagundua Arusha itazidi kunywea baada ya miaka 15 ijayo.

Watake wasitake
Jiongeze bana
 
Wadau naombeni mnisaidie majibu Ni Kwanini Kila kitu ARUSHA CITY huwa inahujumiwa kwa maksudi kabisa ikiwemo,miradi ya maendeleo kama Stendi ya mabasi, Uwanja wa kisasa wa ndege, na mengine mengi na ukiangalia ARUSHA CITY Ndio city namba 2 kwa tax revenue collector baada ya Dar city na Ni sehemu unique ambayo Ni POTENTIAL yenye Resources Adimu sana Sana kwa nchi hii hata Mwanza haikaribii ARUSHA kimapato hata kidogo nadhani hili mwalifahamu uzuuri.

Natumai mu wazima nyote humu ndani poleni na majukumu , Naomba mrejee kichwa Cha habari hapo juu hiyo Ndio mada lengwa hivyo kwa leo naomba nianze na issue ya TAKWIMU (metro area population ya Arusha city Uki search Google itakuja na kuleta idadi ya watu 519,000, yaani idadi hii inayoleta Ni idadi ya watu ya ARUSHA DC tu yaani wilaya moja tu, Kati ya wilaya zote 7, Yaani siku zote uki-search na ukitafuta data population ya Arusha city sehemu yeyote ile utaletewa jumla ya idadi ya watu hao laki 519,000 ambayo ni ya wilaya moja tu ya ARUSHA DC, lakin idadi nyingine ya watu ya hizo wilaya 7 zingine za Arusha city huwa zinaachwa pembeni hazijumlishiwi na hizo idadi za ARUSHA DC ambazo ni laki 519,000 ili kuleta idadi kamili ya metro area population ya Arusha city km inavyofanywa kwa majiji mengine km Mwanza ,au Dar Sasa huwa najuiliza Kwanini ni Arusha city pekee yake metro area population yake huwa inachukuliwa ya wilaya moja tu ya Arusha DC na kuachwa wilaya zengine 6, lakini ukiangalia City Kama Zanzibar, Dar, Mwanza na majiji mengine Metro area population yake haichukuliwi ya wilaya moja tu zinachukuliwa idadi za watu kutoka wilaya zote ili kuleta jumla kamili ya metro area population ya Mwanza, Dar na Zanzibar city na majiji mengine lakini kwa ARUSHA ni tofauti Ndio maana naona wazi ARUSHA CITY inahujumiwa Sana tu na SERIKALI na pia watu wenye wivu na ARUSHA CITY ili tu kusudi isiwe na maendeleo isipate wawekezaji lakini mbinu zote izo za hujuma za kuihujumu ARUSHA hazitafanikiwa Sababu ARUSHA resources zake za ku attract wawekezaji wa KITALII zinaonekana kwa macho bahati nzuri hao watu wenye nia ya kuihujumu ARUSHA CITY watashindwa kuzificha Wealth resources ambazo zinaonekana kwa macho na zitafanya wawekezaji waje ARUSHA kuwekeza kwenye sekta ya UTALIII na nyinginezo watake wasitake pamoja na kwamba wanafanya hujuma kila kukicha kuihujumu ARUSHA CITY kimaksudi na kuipaisha MWANZA

NA SASA HIVI WAMEANZA KUIPASHA ZANZIBAR KWA TAKWIMU za uwongo ili ety Zanzibar population ionekane ina population kubwa kuliko ARUSHA CITY, icho Ni kitu ambacho HAKIWEZEKANIKI hata kwa dawa Zanzibar ikawa na population kubwa kuliko ARUSHA CITY ispokuwa kwa watu ambao wanafkiria bila kutafakari wataliamini hili ,yaani kusema eti kwa sasa ZANZIBAR NDIO CITY Ipo mbele ya ARUSHA CITY kwa wingi wa watu huo Ni UONGO mkubwa Kama ambavyo mtu atasema kwa sasa Geita Ndio mkoa wenye idadi kubwa ya watu kuliko DAR ES SALAAM, Lakini kwa Mimi nahisi malengo ya hujuma hii kwa ARUSHA CITY Ni ya kupangwa hayajaanza leo kitambo Sana kutokana na uchunguzi niliofanya yakinifu Ni kama nilivyo elezea Apo juu ingawa ningependa pia kusikiza maoni yenu Kwanini ARUSHA CITY inahujumiwa tukianza na issue ya TAKWIMU za uwongo za metro area population hii inatokea kwa ARUSHA CITY pekee ake huwezi kukuta mkoa au City nyingine imewekwa metro area population total ya hujuma/uwongo Kama nilivyo hainisha Apo juu ,ila wadau naombeni tulenge mada tusiende opposite Mimi Ni mtanzania halisi baba yañgu Mtanzania mama mkenya Nawasilisha.

View attachment 2412647
Kwanza nikuulize. Unajua tofauti ya Arusha City na Arusha DC?
 
Naona tatzo kubwa ni kuwa kambi ya upinzan,waliona wakipaendeleza itaonekana upinzan unafanya kazi
 
Ccm nao wanalalamika wanasema Arusha City ina wahujumu

Kwahyo mnahujumiana na chama kilichoshika serikali
 
Arusha kama hujui ni mkoa umekuzwa na serikali ,wenyewe haujitambui hata hayo madini unayosema sio mengi kushinda kanda za ziwa ,,kaeni chini mshukuru mungu kwanza hata kujengewa binge la EAST AFRICA unajua impacts zake au unaongea ..kamkoa ambacho kina population ndogo na kana SEHEMU ndogo ya mji zaidi ya mapori .... Serikali ndo imefanya kuwa JJ la kitalii kama kweli hesabu he hotel zote ni zenu.

Hayo mapato n kutokana na vitu official hamna kitu mnazlisha kupeleka mkoa mwingine zaidi ya hayo majengo ambayo ni policy nzuri ya serikali katika kuimarisha utalii ulisaidia huo uwekezaji.


Halafu acha kufananisha zanzibar na upumbavu wenu.. zanzibar na dar ziko fully katika kila sekta tuanze na usafiri then angalia Kuna bahari.
 
Arusha ikijitenga tutatumia resource zetu kwa manufaa ya watu wetu.

1- barabara nzuri za mitaa na vijiji.
2- mazingira daraja la kwanza kuvutia na kukuza tourism
3-biashara ya madini kuimarishwa
4-shule bora, huduma za afya bora
5-kiwanja cha kimataifa cha ndege
6-pesa nyingi itapelekwa kwenye elimu ili watoto wetu wapate elimu ya kisasa na si bora elimu.
7-tourism pekee itatoa ajira kwa watu wetu wengi, kuanzia watu wa mahoteli, tour guides, tour operators, vijana wanaofanya ujasiriamali unaolenga watalii, hawa wote watapata pesa.

Tusirudi nyuma, Arusha kuwa nchi huru haikwepeki tena.
Nyie mko wachache 😂😂😂sana hata population ya miaka ijayo mtabaki 2mil kamili..serikali ndo imejenga mji huo hamna kitu cha asili zaidi ya kujifanya nyie na Kilimanjaro ni mkoa mmoja.
 
Nyie mko wachache sana hata population ya miaka ijayo mtabaki 2mil kamili..serikali ndo imejenga mji huo hamna kitu cha asili zaidi ya kujifanya nyie na Kilimanjaro ni mkoa mmoja.

Unajichekesha nini hasa?

Arusha inahujumiwa makusudi na serikali dhalimu.
 
Back
Top Bottom