Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Nov 8, 2022
7,382
8,437
Kwa miaka Mingi Arusha na Dar zilikosa Washindani wao hapa Tanzania ila Kwa Sasa kuibuka Kwa Jiji la Dodoma kumeanza kuificha Arusha.

Utawala wa Jiji la Arusha(Geneva of Africa) imefunikwa Kwa mbali kiasi kwamba machalii wa Chuga hawaelewi wahame au wasalie licha ya Serikali.

Serikali inajaribu kupambana Ili kuhakikisha hadhi ya Arusha kama kitovu Kikuu Cha Utalii haipokwi Kwa kufufua ujenzi wa Kituo Cha Kimataifa Cha Mikutano KICC,jengo la PAP,Makao Makuu ya Mahakama ya Africa ya Haki,Makao Makuu ya EAC na Baraza la michezo.

Hata hivyo Jiji la Didoma limeibuka Kwa Kasi na kuwa Jiji kubwa na la 3 Kwa wingi wa watu baada ya Dar na Mwanza kufuatia Msukumo mkubwa ukiofanywa na Hayati Magufuli Kwa Serikali kuhamia Dodoma na kuwasha mwenge wa ujuaji wa Jiji.

Dodoma Sasa ni kama kiwanda kikubwa ,Kimaoato Dom imeipiku Arusha na Mwanza just to rival Dar.Kwa maoni Yangu Baada ya Dar Jiji la ukweli Kwa Sasa ni Dodoma..

Dodoma City
-1813165848.jpg

JENGO.jpg

IMG_20230129_163033_836.jpg
Ministry_of_Foreign_Affairs_Dodoma_HQ.jpg




Arusha City
1688127394127.jpg

20230705_120036.jpg
20230705_120041.jpg
Screenshot 2023-07-09 at 12.40.22.png
 
DAR jiji la biashara
DODOMA jiji la kiserekali
ARUSHA jiji la utalii
.
CCM sijui wanakwama wap kufanya ukuaji wa haya majiji kwa pamoja
Dodoma ina future potential nzuri sana kutokana na kupimwa kisasa na kupangiliwa mipango miji .Maendeleo ya Jiji la Dodoma yanayoonekana sasa ni kwa hisani ya mipango miji bora iliyofanyika mwanzo.Vilevile eneo la Dodoma Jiji bado ni kubwa halijajaa hasa maeneo ya nje kidogo ya mji kama Nala n.k hivyo ukuaji wa mji kwa miaka mitano au kumi ijayo utakua wa kiwango cha juu sana
 
Nasimama na Arusha.. dodoma bado Ina safari ndefu kuipata Arusha ndo ipambane na mwanza.....hata hyo population inayotajwa dodoma imehusisha Hadi vijiji vya hombolo huko na chipogolo ...proper city population ya dodoma not more than 450k ...
 
Nasimama na Arusha.. dodoma bado Ina safari ndefu kuipata Arusha ndo ipambane na mwanza.....hata hyo population inayotajwa dodoma imehusisha Hadi vijiji vya hombolo huko na chipogolo ...proper city population ya dodoma not more than 450k ...
Sio kweli Baada ya Dar Es Salaam yenye population ya 5M + inayofuata ni Mwanza yenye 1.2 M(Wasukuma wanazaliana sana hawanaga uzazi wa mpango😀😀) then Dodoma Jiji yenye 8k plus.Sensa ijayo baada ya miaka kumi population ya DodomaJiji itakua kubwa sana kukaribia Mwanza kwasababu ya uwingi wa watu wanaomiminika na familia zao Dodoma hasa wafanyakazi wa serikali.Idara zote na ofisi za serikali zitakapohamia full in Dodoma pamoja na kukamilika kwa mji wa serikali Mtumba population ya Dodoma Jiji itakua mara mbili ya Arusha Jiji
 
Nasimama na Arusha.. dodoma bado Ina safari ndefu kuipata Arusha ndo ipambane na mwanza.....hata hyo population inayotajwa dodoma imehusisha Hadi vijiji vya hombolo huko na chipogolo ...proper city population ya dodoma not more than 450k ...
Kwa hiyo wewe na NBS nani wanajua mipaka ya Jiji la Dodoma na population yake? Wewe ni mzima kichwani kweli au unasumbuliwa na wivu?

Hiyo 450 ilikuwa ndio population ya Dom 2012.

Unaposema Dodoma Bado uwage unataka Bado kwenye area ipi maana Dom imezidi Arusha Kwa Kila kitu kasoro miti na wavuta bangi tuu.
 
Nasimama na Arusha.. dodoma bado Ina safari ndefu kuipata Arusha ndo ipambane na mwanza.....hata hyo population inayotajwa dodoma imehusisha Hadi vijiji vya hombolo huko na chipogolo ...proper city population ya dodoma not more than 450k ...
😀😀Nenda kawadanganye facebook huko ila sio great thinker wa JamiiForums....aliyekwambia Chipogoro ipo Dodoma Jiji nani😀😀.
Chipogoro ipo wilaya ya Mpwapwa

 
Kwa hiyo wewe na NBS nani wanajua mipaka ya Jiji la Dodoma na population yake? Wewe ni mzima kichwani kweli au unasumbuliwa na wivu?

Hiyo 450 ilikuwa ndio population ya Dom 2012.

Unaposema Dodoma Bado uwage unataka Bado kwenye area ipi maana Dom imezidi Arusha Kwa Kila kitu kasoro miti na wavuta bangi tuu.
Huyo utoporoo wa Mwanza anachekesha sana .Baada ya Dar jiji linalofuata kwa ubora kwa (vigezo vyote) ni Dom then Arusha na Mwanza ndio wagombanie nafasi ya tatu.
Kitu pekee ambacho kilasiku tunakisema kwamba Mwanza imezidi Dom na Arusha ni population hili halina ubishi manake watu wa kanda ya ziwa wanazaliana sana na kingine uwepo wa ziwa victoria(bukoba,nansio na musoma lipo pia) na labda biashara ya samaki na madini
 
Huyo utoporoo wa Mwanza anachekesha sana .Baada ya Dar jiji linalofuata kwa ubora kwa (vigezo vyote) ni Dom then Arusha na Mwanza ndio wagombanie nafasi ya tatu.
Kitu pekee ambacho kilasiku tunakisema kwamba Mwanza imezidi Dom na Arusha ni population hili halina ubishi manake watu wa kanda ya ziwa wanazaliana sana na kingine uwepo wa ziwa victoria(bukoba,nansio na musoma lipo pia) na labda biashara ya samaki na madini
🤣🤣 Ni wivu Kwa sababu anajua Mwanza Kwa Dom ni takataka,
images (1).jpg
 
Kwa miaka Mingi Arusha na Dar zilikosa Washindani wao hapa Tanzania ila Kwa Sasa kuibuka Kwa Jiji la Dodoma kumeanza kuificha Arusha.

Utawala wa Jiji la Arusha(Geneva of Africa) imefunikwa Kwa mbali kiasi kwamba machalii wa Chuga hawaelewi wahame au wasalie licha ya Serikali.

Serikali inajaribu kupambana Ili kuhakikisha hadhi ya Arusha kama kitovu Kikuu Cha Utalii haipokwi Kwa kufufua ujenzi wa Kituo Cha Kimataifa Cha Mikutano KICC,jengo la PAP,Makao Makuu ya Mahakama ya Africa ya Haki,Makao Makuu ya EAC na Baraza la michezo.

Hata hivyo Jiji la Didoma limeibuka Kwa Kasi na kuwa Jiji kubwa na la 3 Kwa wingi wa watu baada ya Dar na Mwanza kufuatia Msukumo mkubwa ukiofanywa na Hayati Magufuli Kwa Serikali kuhamia Dodoma na kuwasha mwenge wa ujuaji wa Jiji.

Dodoma Sasa ni kama kiwanda kikubwa ,Kimaoato Dom imeipiku Arusha na Mwanza just to rival Dar.Kwa maoni Yangu Baada ya Dar Jiji la ukweli Kwa Sasa ni Dodoma..

Dodoma City
View attachment 2685450
View attachment 2685401View attachment 2685403



Arusha City
View attachment 2685446
View attachment 2685411View attachment 2685412

Kuifananisha Dom na arusha ni kuikosea heshima Dom

1 Dar
2 Mwanza
Wanafuata wengine
 
Huyo utoporoo wa Mwanza anachekesha sana .Baada ya Dar jiji linalofuata kwa ubora kwa (vigezo vyote) ni Dom then Arusha na Mwanza ndio wagombanie nafasi ya tatu.
Kitu pekee ambacho kilasiku tunakisema kwamba Mwanza imezidi Dom na Arusha ni population hili halina ubishi manake watu wa kanda ya ziwa wanazaliana sana na kingine uwepo wa ziwa victoria(bukoba,nansio na musoma lipo pia) na labda biashara ya samaki na madini

Unasema wewe, statistics ndio inaongea

Dar then Mwanza
 
Back
Top Bottom