Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Mkuu mbona Magufuli alipeleka kila kitu kanda ya ziwa??
Arusha haijawah mtoa rais kumbuka kitu gani unachokijua serikali iliwahi peleka Arusha?
Unaongea ukiwa unakaribia kumwaga bao juu ya kifua cha malaya kwanini mnajitoa akili, ukiacha Dar kuna sehemu inakula shavu/mema ya nchi kama nyie na Dodoma au unataka nitaje vitu mlivyopendelewa?
 
Amewapa barabara njia nne, amewapa mradi wa maji wa bilion 520 ili meno yenu yasizidi kuungua kama kutu za mitaa tandale, amewapa mabarabara kwenye CBD yenu iliyokuwa imejaa matope na vumbi, amewafufulia train iliyokufa zaidi ya miaka 24, na mambo mengi au alitaka awasidie adi kuwagonga wake zenu.
 
Unaongea ukiwa unakaribia kumwaga bao juu ya kifua cha malaya kwanini mnajitoa akili, ukiacha Dar kuna sehemu inakula shavu/mema ya nchi kama nyie na Dodoma au unataka nitaje vitu mlivyopendelewa?

Mkuu mbona una jazba sana vipi Chato international Airport zinatua Qatar aiwarys na air France sio??
Vipi mbuga ya burigi watalii huko na ule uwanja wa mpira chato umefikia hatua gani?
 
Acha ufala bwege wewe kwani huwezi kulia lia na limji lako bila kuitaja Mwanza, usipoitaja Mwanza unadhani hautosikika, pambana na lijiji lako acha kutaja miji ya watu kifala, hiyo Arusha inakalishwa na Geita kwa gdp bado unalialia kama umekalia mkuyenge.
Yaan watu wa Arusha hata sijuagi wanashida gan na mwanza

Yaan mwanza huwaga haiwatoki midomon mwao sijui huwa wanaichukuliaje

Mbona watu wa mwanza hawahangaiki na ako ka Arusha kao?

Eti Arusha ina resource kuizid Mwanza haaahaaahaaa

Resource hizo kama zipi zaid ya mbuga ?
 
Kwa mbali naona bato linakuja Kati ya Arusha city na Mwanza(Rock City)
Bato la nn sasa kama wenyewe wa Arusha unawaskia hapo wanakwambia hawana kiwanja cha ndege, hawana stand ya kisasa, hawana pia soko labkisasa

Sasa hapo bato linatoka wap mkuu kama hivyo vyote Arusha hawana?


Ulishaskia Mwanza kuwa hawana hivyo vitu?

Mwanza zimeanza kuingia internation flight tangu enzi za mapanki ( sangara)

Mwanza wana stand za kisasa zaid ya moja

Mwanza wana soko la kisasa

Wilaya za mwanza zimeendelea na kufikia hadhi ya manispaa

Ni mwanxa na dar peke yake tanzania hii ndio wilaya zake zime meet hadhi ya manispaa

Bado anakuja ndezi 1 anataka kuifananisha Arusha na The rock city

Hata aibu hawaon
 
Yaan watu wa Arusha hata sijuagi wanashida gan na mwanza

Yaan mwanza huwaga haiwatoki midomon mwao sijui huwa wanaichukuliaje

Mbona watu wa mwanza hawahangaiki na ako ka Arusha kao?

Eti Arusha ina resource kuizid Mwanza haaahaaahaaa

Resource hizo kama zipi zaid ya mbuga ?
Resources za nyoko wakati GDP wanazidiwa na Morogoro na mbeya na wakikaa vibaya wataachwa mpk na kigoma, wamekalia fursa za utalii hawawazi nje ya box
 
Bato la nn sasa kama wenyewe wa Arusha unawaskia hapo wanakwambia hawana kiwanja cha ndege, hawana stand ya kisasa, hawana pia soko labkisasa

Sasa hapo bato linatoka wap mkuu kama hivyo vyote Arusha hawana?


Ulishaskia Mwanza kuwa hawana hivyo vitu?

Mwanza zimeanza kuingia internation flight tangu enzi za mapanki ( sangara)

Mwanza wana stand za kisasa zaid ya moja

Mwanza wana soko la kisasa

Wilaya za mwanza zimeendelea na kufikia hadhi ya manispaa

Ni mwanxa na dar peke yake tanzania hii ndio wilaya zake zime meet hadhi ya manispaa

Bado anakuja ndezi 1 anataka kuifananisha Arusha na The rock city

Hata aibu hawaon
Karibu kamanda tatizo huwa unapotea sana, jiji lao bado linalia na masoko na stendi sasa watu wa nzega walilie nini😂😂😂
 
Wadau naombeni mnisaidie majibu Ni Kwanini Kila kitu ARUSHA CITY huwa inahujumiwa kwa maksudi kabisa ikiwemo,miradi ya maendeleo kama Stendi ya mabasi, Uwanja wa kisasa wa ndege, na mengine mengi na ukiangalia ARUSHA CITY Ndio city namba 2 kwa tax revenue collector baada ya Dar city na Ni sehemu unique ambayo Ni POTENTIAL yenye Resources Adimu sana Sana kwa nchi hii hata Mwanza haikaribii ARUSHA kimapato hata kidogo nadhani hili mwalifahamu uzuuri.

Natumai mu wazima nyote humu ndani poleni na majukumu , Naomba mrejee kichwa Cha habari hapo juu hiyo Ndio mada lengwa hivyo kwa leo naomba nianze na issue ya TAKWIMU (metro area population ya Arusha city Uki search Google itakuja na kuleta idadi ya watu 519,000, yaani idadi hii inayoleta Ni idadi ya watu ya ARUSHA DC tu yaani wilaya moja tu, Kati ya wilaya zote 7, Yaani siku zote uki-search na ukitafuta data population ya Arusha city sehemu yeyote ile utaletewa jumla ya idadi ya watu hao laki 519,000 ambayo ni ya wilaya moja tu ya ARUSHA DC, lakin idadi nyingine ya watu ya hizo wilaya 7 zingine za Arusha city huwa zinaachwa pembeni hazijumlishiwi na hizo idadi za ARUSHA DC ambazo ni laki 519,000 ili kuleta idadi kamili ya metro area population ya Arusha city km inavyofanywa kwa majiji mengine km Mwanza ,au Dar Sasa huwa najuiliza Kwanini ni Arusha city pekee yake metro area population yake huwa inachukuliwa ya wilaya moja tu ya Arusha DC na kuachwa wilaya zengine 6, lakini ukiangalia City Kama Zanzibar, Dar, Mwanza na majiji mengine Metro area population yake haichukuliwi ya wilaya moja tu zinachukuliwa idadi za watu kutoka wilaya zote ili kuleta jumla kamili ya metro area population ya Mwanza, Dar na Zanzibar city na majiji mengine lakini kwa ARUSHA ni tofauti Ndio maana naona wazi ARUSHA CITY inahujumiwa Sana tu na SERIKALI na pia watu wenye wivu na ARUSHA CITY ili tu kusudi isiwe na maendeleo isipate wawekezaji lakini mbinu zote izo za hujuma za kuihujumu ARUSHA hazitafanikiwa Sababu ARUSHA resources zake za ku attract wawekezaji wa KITALII zinaonekana kwa macho bahati nzuri hao watu wenye nia ya kuihujumu ARUSHA CITY watashindwa kuzificha Wealth resources ambazo zinaonekana kwa macho na zitafanya wawekezaji waje ARUSHA kuwekeza kwenye sekta ya UTALIII na nyinginezo watake wasitake pamoja na kwamba wanafanya hujuma kila kukicha kuihujumu ARUSHA CITY kimaksudi na kuipaisha MWANZA

NA SASA HIVI WAMEANZA KUIPASHA ZANZIBAR KWA TAKWIMU za uwongo ili ety Zanzibar population ionekane ina population kubwa kuliko ARUSHA CITY, icho Ni kitu ambacho HAKIWEZEKANIKI hata kwa dawa Zanzibar ikawa na population kubwa kuliko ARUSHA CITY ispokuwa kwa watu ambao wanafkiria bila kutafakari wataliamini hili ,yaani kusema eti kwa sasa ZANZIBAR NDIO CITY Ipo mbele ya ARUSHA CITY kwa wingi wa watu huo Ni UONGO mkubwa Kama ambavyo mtu atasema kwa sasa Geita Ndio mkoa wenye idadi kubwa ya watu kuliko DAR ES SALAAM, Lakini kwa Mimi nahisi malengo ya hujuma hii kwa ARUSHA CITY Ni ya kupangwa hayajaanza leo kitambo Sana kutokana na uchunguzi niliofanya yakinifu Ni kama nilivyo elezea Apo juu ingawa ningependa pia kusikiza maoni yenu Kwanini ARUSHA CITY inahujumiwa tukianza na issue ya TAKWIMU za uwongo za metro area population hii inatokea kwa ARUSHA CITY pekee ake huwezi kukuta mkoa au City nyingine imewekwa metro area population total ya hujuma/uwongo Kama nilivyo hainisha Apo juu ,ila wadau naombeni tulenge mada tusiende opposite Mimi Ni mtanzania halisi baba yañgu Mtanzania mama mtanzania pia Nawasilisha.

View attachment 2412647
Tembea uone mkuu acha kulialia

Hv we Arusha umeona kama mji wa maana sana eeh?

Mbona unajitia aibu?
 
Bato la nn sasa kama wenyewe wa Arusha unawaskia hapo wanakwambia hawana kiwanja cha ndege, hawana stand ya kisasa, hawana pia soko labkisasa

Sasa hapo bato linatoka wap mkuu kama hivyo vyote Arusha hawana?


Ulishaskia Mwanza kuwa hawana hivyo vitu?

Mwanza zimeanza kuingia internation flight tangu enzi za mapanki ( sangara)

Mwanza wana stand za kisasa zaid ya moja

Mwanza wana soko la kisasa

Wilaya za mwanza zimeendelea na kufikia hadhi ya manispaa

Ni mwanxa na dar peke yake tanzania hii ndio wilaya zake zime meet hadhi ya manispaa

Bado anakuja ndezi 1 anataka kuifananisha Arusha na The rock city

Hata aibu hawaon
Eti wewe ni
 
Ni kwasababu SERIKALI inaihujumu Arusha na kuichukia tu bila sababu za msingi Ndio maana haioni haibu kwenda kujenga Stendi mpya singida,chato,na kuiacha Arusha the second City kwa tax and revenue collector hivi kweli hii inaingia Akilini na badala yake SERIKALI inachojua Ni kukusanya mapato Arusha kwenda kujenga flyover,barabara dar na mwanza hatutakubali Tena tumechoka kuhujumiwa hatuoni wivu sehemu zengine kujengwa tunachoumia Ni Kwanini Wanatubagua Arusha pekee ake alafu ukizingatia Ni jiji potentially duniani ,na ki resources na kimapato ,ingetakiwa Arusha kuwe na stend kubwa ya kimataifa na Uwanja mkubwa wa kimataifa ili kusudi watalii wakitoka makwao wanashukia moja kwa moja Arusha na cyo kweli kuwa SERIKALI inashindwa kujenga Uwanja wa ndege wa kimataifa Arusha na Stendi kwa sababu mbona panaendelea kujengwa sehemu zengine lakin Arusha pekee ake Ndio panabaguliwa na kutengwa km vipi Kuna haja ya sisi kuunda Arusha republic ikiwa SERIKALI inaendelea kututenga ili tuijenge Arusha wenyewe
Sasa kama mmechoka kuhujumiwa na unasema hamkubal safar hii kelele za nn?

Fanyeni tu maamuzi ndio tujue kwel safar hii hamkubal

Sasa we unapigapiga kelele tuuuu kama mbwa koko bhana
 
Mchawi Ni serikali inaichukia na kuibagua Arusha kisiri Siri Ndio maana unaona haitoi tamko lolote sababu inajua inachokifanya tumeshaishiwa uvumilivu dawa pekee kujijenga Arusha wenyewe kwa mapato ya resources zinazopatikana Arusha na kuanzisha Arusha republic na Arusha itakuwa zaidi ya newyork sababu tutaanza kuona maendeleo kubaguliwa na kuhujumiwa kutakuwa hakupo Tena haiwezekani tukakubali kubaguliwa Kia's hiki utafkir sisi wa Arusha cyo wa Tz
Chaguen na rais wenu kabisa

Msitupigie makelele hapa Aushaaa Arusha

TUmeshachoka kukasikia hako ka Arusha

Sis tupo lindi uku korosho za kumwaga na serikali imetutenga na hata hatuliili

Nyie kupewa kambuga tu imekuwa tabu

Ebu tuondoleen upuuz wenu hapa
 
Watatembea wapi mashamba ya bangi watamwachia nani?
Yaan mpaka imekuwa kero , kila kukicha watu wa Arusha kuiongelea Mwanza

Kila kukicha ni Mwanza tu

Wanashindwa kufanya shughuli zao wao kuikalia mwanza tu

Mna nini nyie watu wa Arusha?

Halafu hata aibu hawaon kwamba mpaka leo hii jiji linalilia stand, kiwanja cha ndege na soko

Sasa hilo jiji gan halina hata soko au stand
 
Watatembea wapi mashamba ya bangi watamwachia nani?
Yaan mpaka imekuwa kero , kila kukicha watu wa Arusha kuiongelea Mwanza

Kila kukicha ni Mwanza tu

Wanashindwa kufanya shughuli zao wao kuikalia mwanza tu

Mna nini nyie watu wa Arusha?

Halafu hata aibu hawaon kwamba mpaka leo hii jiji linalilia stand, kiwanja cha ndege na soko

Sasa hilo jiji gan halina hata soko au stand
 
Hicho kitu hakita kuja kutokea abadani Arusha ni mkoa Kama ilivyo mikoa mingine ajabu ni kwamba mnalilia tu mbona Kilimanjaro hawa lii Kama nyie watu wa R-chuga ?

Unasema Arusha ina resources potential zipi ambazo mikoa mingine hazina hizo resources ? Kwa walio tembea mikoa mbali mbali hapa Tanzania hasa majiji Kama Dar, Mwanza,Mbeya na Tanga hawawezi kuona kitu special chochote hapo Arusha
Zaid ya mbuga tu

Maana kama madin mwanza wanayo, kufuga mwanza nao wanafuga, zao la biashara wana chai mwanza wana pamba, bado mwanza wana uwanja mkubwa wa ndege arusha hakuna

Mwanza wana bandar Arusha hakuna

MWanza wana ziwa Arusha hakuna

Mwanza wana usafir wa majk, meli zipo kibao ziwan Arusha hakuna ,

Mwana wanavua samaki pendwa tanzania nzima na dunia Arusha hakuna

Mwanza wana bank kuu Arusha hakuna

Mwanza wana usafir wa tren ya kati na reli ya kisasa Arusha hakuna

Media kubwa tanzania hapa zipo mbili tu bas

Dar na mwenza wakati Arusha hakuna

Mwanza wanalima mazao yoote unayoyajua

Jiji la mwanza lina manispaa mbili wakati Arusha hakuna hata wilaya moja kati ya 6 iliyofikia hadhi ya manispaa

Mwanza wana stand ya kisasa sio moja ni zaid ya moja

Arusha hakuna kitu

Mwanza wana soko la kisasa Arusha hakuna kitu

Mwanza wana beach za kutosha

Arusha wanaoga mton

Halaf bado wanataka wajifananishe na mwanza hv hawa wana akili kwel?
 
Zaid ya mbuga tu

Maana kama madin mwanza wanayo, kufuga mwanza nao wanafuga, zao la biashara wana chai mwanza wana pamba, bado mwanza wana uwanja mkubwa wa ndege arusha hakuna

Mwanza wana bandar Arusha hakuna

MWanza wana ziwa Arusha hakuna

Mwanza wana usafir wa majk, meli zipo kibao ziwan Arusha hakuna ,

Mwana wanavua samaki pendwa tanzania nzima na dunia Arusha hakuna

Mwanza wana bank kuu Arusha hakuna

Mwanza wana usafir wa tren ya kati na reli ya kisasa Arusha hakuna

Media kubwa tanzania hapa zipo mbili tu bas

Dar na mwenza wakati Arusha hakuna

Mwanza wanalima mazao yoote unayoyajua

Jiji la mwanza lina manispaa mbili wakati Arusha hakuna hata wilaya moja kati ya 6 iliyofikia hadhi ya manispaa

Mwanza wana stand ya kisasa sio moja ni zaid ya moja

Arusha hakuna kitu

Mwanza wana soko la kisasa Arusha hakuna kitu

Mwanza wana beach za kutosha

Arusha wanaoga mton

Halaf bado wanataka wajifananishe na mwanza hv hawa wana akili kwel?
Sio mara moja au mbili nimeshuhudia watu wazima wa Mwanza wakinya ziwani hasa Wanawake
 
Kama Ndio tunatengwa na kubaguliwa kiasi hiki itabidi tuizindue Republic of Arusha (USA)~United state of Arusha tujitegemee vizuri na Resources zetu za Arusha zinatutosha kabisa km serikali inatuhujumu kias hiki ,inakuwaje jiji la KITALII km wanavyo liita hata uwanja wa ndege wa kimataifa hakina lakini wakati huo huo viwanja vya ndege vinajengwa mikoa mingine kila kukicha hata stendi ,tu ya kisasa hakuna Ila Cha ajabu stendi inajengwa singida ,Arusha the hub of tourism panapotezewa tangu Uhuru mpaka Sasa km vile hawapaoni mwisho utafika tu tumechokaaa sisi
Inaelekea ndio takwimu walizonazo wenye mtandao. Sasa kama Serikali na watu wake wa takwimu hawana hata habari kuhakikisha usahihi wa takwimu za mikoa au nchi kwa ujumla, hamna atakayewasahihisha.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom