Kwanini ajali ya mabasi 2 na lori la mafuta kuungua moto iliotokea Mlandizi haiongelewi? Wembamba wa Morogoro Road ni janga la taifa

Wembamba wa barabara?
Acha kutetea madereva vichaa.
Chanzo hapo ni blind overtake shuhuda anasema kulikua na ligi BM, SAULI na New force hyo tanker ilikua imepaki road mbovu, BM Ndio alikua mbele akaipita afu ka kawaid aya mabus wanaovetake kama nyumbu so sauli nae akaunga akauziwa kicheche.... Pakawa padogo alivotaka kurudi akaivaa tenka huku nyuma Newforce alikua haja keep distance akamparamia Sauli ikawa hvyoo...

Stupid bus drivers
Sad...😥
 
Wembamba wa barabara?
Acha kutetea madereva vichaa.
Chanzo hapo ni blind overtake shuhuda anasema kulikua na ligi BM, SAULI na New force hyo tanker ilikua imepaki road mbovu, BM Ndio alikua mbele akaipita afu ka kawaid aya mabus wanaovetake kama nyumbu so sauli nae akaunga akauziwa kicheche.... Pakawa padogo alivotaka kurudi akaivaa tenka huku nyuma Newforce alikua haja keep distance akamparamia Sauli ikawa hvyoo...

Stupid bus drivers

".. akauziwa kicheche .."
 
Tukishindwa kuzitumia vizuri hii nyembamba basi hata barabara ikitanuliwa mambo yatakuwa yaleyale.

Ajali iliyotokea ni utaratibu ule ule wa kutoachiana nafasi (keep distance) kati ya bus na bus na kufukuzana ambapo wa mbele amemgonga tanker la mafuta kilichofuata wa nyuma nae akaingia kwenye mfumo Kwa kuwa walikuwa wanakwenda jino Kwa jino
 
New force, aipiti wiki lazima ajari itokee Kisa kukimbiza sauli wameona wameshindwa, wameamua kuivaa sauli kwa nyuma wameongeza majanga. Rest in peace DTF MJESHI sisi kama team sauli tunasema haijaisha mbaka hiishe tuna chuma mbili tu sahivi. DRH na DPN
 

Attachments

  • FB_IMG_1711611278663.jpg
    FB_IMG_1711611278663.jpg
    59.3 KB · Views: 3
Wembamba wa barabara?
Acha kutetea madereva vichaa.
Chanzo hapo ni blind overtake shuhuda anasema kulikua na ligi BM, SAULI na New force hyo tanker ilikua imepaki road mbovu, BM Ndio alikua mbele akaipita afu ka kawaid aya mabus wanaovetake kama nyumbu so sauli nae akaunga akauziwa kicheche.... Pakawa padogo alivotaka kurudi akaivaa tenka huku nyuma Newforce alikua haja keep distance akamparamia Sauli ikawa hvyoo...

Stupid bus drivers

Ukijiuliza league ya nini wanakimbilia nini unakosa jibu unaona ni ujinga mtupu wa dereva unagharimu roho za watu na mali za watu

Kuna haja madereva kama hawa kupigwa ban leseni zao kwa muda depend na kosa.
 
Kuna ajali mbaya sana imetokea mlandizi. Bus moja limegonga lori la mafuta na kusababisha moto, mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali. l

Lakini hii Morogoro Road kwa nini serikali haijali? Barabara nyembamba saaana hasa kipande cha mlandizi to morogoro, barabara kila siku ina ajali na ndio lango la kuingilia na kutokea dar.
Ni ajali ya lini.
 
Kwa hiyo zote zimewaka moto?
Wembamba wa barabara?
Acha kutetea madereva vichaa.
Chanzo hapo ni blind overtake shuhuda anasema kulikua na ligi BM, SAULI na New force hyo tanker ilikua imepaki road mbovu, BM Ndio alikua mbele akaipita afu ka kawaid aya mabus wanaovetake kama nyumbu so sauli nae akaunga akauziwa kicheche.... Pakawa padogo alivotaka kurudi akaivaa tenka huku nyuma Newforce alikua haja keep distance akamparamia Sauli ikawa hvyoo...

Stupid bus drivers
 
Ukijiuliza league ya nini wanakimbilia nini unakosa jibu unaona ni ujinga mtupu wa dereva unagharimu roho za watu na mali za watu

Kuna haja madereva kama hawa kupigwa ban leseni zao kwa muda depend na kosa.
Tanzania kama walivyo wanasiasa na kama wafrica woote walivyo hakuna anayejali Uhai wa Mwenzake.
 
Hicho kicheche ni hilo tenka au kulikuwa na kicheche kingine(gari nyingine)?
Wembamba wa barabara?
Acha kutetea madereva vichaa.
Chanzo hapo ni blind overtake shuhuda anasema kulikua na ligi BM, SAULI na New force hyo tanker ilikua imepaki road mbovu, BM Ndio alikua mbele akaipita afu ka kawaid aya mabus wanaovetake kama nyumbu so sauli nae akaunga akauziwa kicheche.... Pakawa padogo alivotaka kurudi akaivaa tenka huku nyuma Newforce alikua haja keep distance akamparamia Sauli ikawa hvyoo...

Stupid bus drivers
 
New force, aipiti wiki lazima ajari itokee Kisa kukimbiza sauli wameona wameshindwa, wameamua kuivaa sauli kwa nyuma wameongeza majanga. Rest in peace DTF MJESHI sisi kama team sauli tunasema haijaisha mbaka hiishe tuna chuma mbili tu sahivi. DRH na DPN
Wote wana makosa. Sauli ndio iliyogonga Lorry la mafuta ila New Force kwakuwa haku-keep distance akaingia nayeye.
 
Back
Top Bottom