2025DG
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 508
- 1,426
Kufuatia ajali ya lori la mafuta kuungua moto siku ya jana eneo la Ubungo Kibo Dar es Salaam, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Kinondoni limesema kuwa zaidi ya lita elfu 20 za mafuta ziliokolewa kati ya lita elfu 39,500 zilizokuwa ndani ya lori hilo.
Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kinondoni Mrakibu Mwandamizi Elisa Mugisha, amesema pia takribani vibanda 19 vya wafanyabiashara vilivyokuwa vimeshika moto viliokolewa huku pikipiki mbili zikiteketea.
#EastAfricaTV
Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kinondoni Mrakibu Mwandamizi Elisa Mugisha, amesema pia takribani vibanda 19 vya wafanyabiashara vilivyokuwa vimeshika moto viliokolewa huku pikipiki mbili zikiteketea.
#EastAfricaTV