Kwani Peter Msigwa alifanywa nini polisi?

Kwani Peter Msigwa alifanywa nini polisi?

kiongozi wao sasa hivi ni bi hilari kilintoni!mheshimiwa bado anachapa usingizi mjengoni.nyama choma hizo!hazisagiki tumboni haraka matokeo yake mbonji twenti fo hawaz!

mkuu nimecheka sana...nazani this is the best way kupotezea thread za ajabu ajabu.
 
Naona hii thread imekuwa soko mara kabichi, mara mhindi wa kuchoma nilijua computer yangu inachanganya madesa nika restart lakini bado! Mods naomba mwongozo wako!

Kapitie rasimu ya katiba kwanza utapata mwongozo.
 
Post hii imesaidia pia kujua vijana wa bavicha ambao kazi yao ni kupindisha mada na kutukana mbona leo hamtukani au matusi yamewaishia au yawezekana msigwa ndo mtambo wa matusi kwa vile polisi wamemfunga mdomo ndiyo maana mnakosa kiongozi wa matusi.

Mdomo wameufunga kwa plasta ma wameushona na uzi wa nailoni?
 
Halafu nyie mnaochungulia tutaanza kuwatoza "nauli"
 
Last edited by a moderator:
mkuu nimecheka sana...nazani this is the best way kupotezea thread za ajabu ajabu.

Vigumu sana kuwatenganisha chadema na anguko hili la elimu hapa Tanzania kwakuwa;
Chadema wanaongoza katika kufitini serikali na wananchi katika mambo mengi hata pale ambapo ukweli ulivyo serikali imejitahidi kiasi chake na huku ikiendelea kushughulikia matatizo mengine ya wananchi.
Mbowe anamdogo wake wizara ya elimu anaeshutumiwa kutengeneza mazingira ya vijana wetu kufeli lengo lilelile la uchonganishi.
Chadema imeandika barua kwa wafanyabiashara ili bei ya bidhaa zipande ili aendelee kuumia mwananchi lengo lilelile uchonganishi.
Chadema inapotezea wananchi hasa wanafunzi muda kwa kuwashajihisha waandamane huku wakiacha kufanya kazi za kuzalisha na kwa wanafunzi kutumia muda wao kutembea mabarabarani lengo unalijua? Uchonganishi hasa pale mtu akishinda kuandamana jioni akilala na njaa chuki zote kwa serikali, mwanafunyi huyu alietumia muda wake mwingi kuandamana akifeli tuhuma kwa serikali.
 
ili kupishana na BANS za mods kwa abusive language ni bora formula ya "habari na hoja mchanganyiko" ikawa applied. Nimependa members wanavyoelewana humu. Yani stress free zone.

Aliyeileta idea hii ya mixer mixer sijui ni nani apongezwe?? Nampa hongera na mnaokula BAN day after day nadhani zitapungua kwa asilimia kubwa sana.!!
 
Maendeleo ya M4c kanda ya kati yanaendeleaje? Mkuu usikubali kutumika kutoa roho za wenzako hasa kiongozi wako wa kanda ya kati ktk m4c wewe fanya siasa safi.

Mkuu M4C inaendelea vyema, Niliskia una mpango wa kuhamia CDM kwny jeshi la ukombozi lakin naona kimya.
 
Mzee edwin mtei ailalamikia rasimu ya katiba mpya kupendekeza mgombea binafsi wa uraisi akimhofia kijana wake anaendelea kumfukia kwa uonevu kuwa atakimbia chama na kusimama kama jeshi la mtu mmoja.
 
Jamaa aliny..a debe siku moja tu akaona kama yuko jehanam, kule kazoea lema.
 
Vigumu sana kuwatenganisha chadema na anguko hili la elimu hapa Tanzania kwakuwa;
Chadema wanaongoza katika kufitini serikali na wananchi katika mambo mengi hata pale ambapo ukweli ulivyo serikali imejitahidi kiasi chake na huku ikiendelea kushughulikia matatizo mengine ya wananchi.
Mbowe anamdogo wake wizara ya elimu anaeshutumiwa kutengeneza mazingira ya vijana wetu kufeli lengo lilelile la uchonganishi.
Chadema imeandika barua kwa wafanyabiashara ili bei ya bidhaa zipande ili aendelee kuumia mwananchi lengo lilelile uchonganishi.
Chadema inapotezea wananchi hasa wanafunzi muda kwa kuwashajihisha waandamane huku wakiacha kufanya kazi za kuzalisha na kwa wanafunzi kutumia muda wao kutembea mabarabarani lengo unalijua? Uchonganishi hasa pale mtu akishinda kuandamana jioni akilala na njaa chuki zote kwa serikali, mwanafunyi huyu alietumia muda wake mwingi kuandamana akifeli tuhuma kwa serikali.

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha!
 
Mkuu M4C inaendelea vyema, Niliskia una mpango wa kuhamia CDM kwny jeshi la ukombozi lakin naona kimya.

Hapana mkuu cdm lazima uwe na ulinzi wa mababu wa zamani kinyume chake haukatishi hata mwezi hasa ukitangaza kugombea vyeo vya pale juu.
Vipi umesikia malalamiko ya mzee Edwin? Unadhani khofu yake hasa ni nini? Au ni yule kijana aliyeaga kwao?
 
Back
Top Bottom