AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Hapana mkuu cdm lazima uwe na ulinzi wa mababu wa zamani kinyume chake haukatishi hata mwezi hasa ukitangaza kugombea vyeo vya pale juu.
Vipi umesikia malalamiko ya mzee Edwin? Unadhani khofu yake hasa ni nini? Au ni yule kijana aliyeaga kwao?
Mkuu nahofia panya wangu kuzungumzia hili swala.