AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
SeriaMtoto WikiLiks Tumainiel
Shockings News!!
Green Guard wa CCM Arusha Wamempasua na
shoka Kijana wa Chadema Kata ya Elerai... yuko
mahututi Mt Meru Hospital..! Tumuombee uzima
kwa Mungu..
Siku zote CCM wakizidiwa hukodi wahuni na
kuwatuma kuua raia.. Kwa hapa Arusha huu ni
ukatili wa nne wanafanya tangu kampeni zianze
na Chadema wameshauriwa wasilipize chochote..
Nashukuru mkuu kwa kuniongezea maarifa make nimekuwa nikijiuliza sana juu ya hili suala.Mkuu kibwete hata mi nina swal kama lako ambalo linazunguka kichwan lakin nikaona nikiuliza me naweza nikambiwa nimeshazivuta za Mwigulu.
BTW: Hatuwez jua sababu ubunge si kuongea tu bungeni huenda yapo majukumu mengine yanayomtinga jimboni kwake.
Very sad news aliyempasua kakamatwa, watafanya hivyo kwa sababu Kikwete ndio mwanzilishi wa mauaji ya raia bado kidogo tutaingia kwenye mauaji ya kimbali
Kwa matusi au kwa ufupi,sasa mbona kaenda polisi karudi kimya kulikoni.kati ya wabunge wote waliowahi kuwa wabunge wa iringa mjini a.k.a warriors city hakuna hata mmoja wa kumfananisha na jembe mchungaji msigwa...yan hakunaga..yan ndo kama rais wa iringa..
Kwa hiyo kwa akili yako watu wa iringa walimtuma akamjadili kinana tu,sasa mbona kamjadili hadi kachoka na kinana anaendelea tu kujenga chama chake wala hajatikisika.
Sure mkuu kitanzi chake nadhani kimewadia.Safiii ameshika adabu. Hawa bavicha upeo wa kufikiri ni mdogo sana, kashindwa kanisani ataweza jmbo? Awashukuru WanaCcm waliompitisha na ndo mwisho wake 2015 hamtamsikia akitupigia kelele na kusimamisha shughuli za kutafuta kipato pale Iringa. Umaarufu hauji kwa mwendo huo.