Kwani Peter Msigwa alifanywa nini polisi?

Kwani Peter Msigwa alifanywa nini polisi?

Update za Bale anasajiriwa wapi Real au Man u ?. Hoja mchanganyiko zinavutia hapa hakuna cha kujadili
 
Kamhanda anajua vema kudili na wahuni wa aina ile make kamtuliza sigwa kabisa.

Hivi ile bili ya bia ulifanikiwa kulipa manake niliacha wakiwa wamesha kuvua nguo. Sasa nawewe utashindwaje kulipa hata buku7 au NEPI AMEWARUSHA. Toka huko jana nina wasiwasi walikuserukamba.
 
Angel ongeza castel lite 2 kwa hamad na viroba kwa urasa.hivi mshkaji ngwea ameshazikwa?
 
Mwigulu chemba kapigwa stop na spika kuacha kuongelea mambo ya sebuleni
 
Utamskia tuu we subiri

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
lindiyetu.blogspot.com/2013/06/break-news-wananchi-wa-mikese-wagoma.html?m=1
 
Kwani zile za ruzuku hazipatikani?

JF raha hadi mwisho. Hata kama hujala utashiba. Sasa naenda kulala. Nisaidieni kumwaga Makinda na Job.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
kama huna adabu polisi wanakupa mambo ya kuruka ukuta,lazima utatulia
 
Back
Top Bottom