Bwashee kwa mfano hapo Chadema Mwamba akiwekewa ukomo wa uenyekiti na chama kinakufa.
Watanzania tunataka maendeleo!
Miaka 100 kwa MAGU aongezewe tu.Hata bila bunge wapitishe tu.
Hakuna Mtanzania mwenye uwezo wa kuongoza nchi hii isipokuwa Magufuli.
Hakuna Mtanzania mwenye akili zaidi ya Magufuli.
Ni yeye tu.
Sisi CCM tunachagua Rais kwanza na baadae anakuwa mwenyekiti wa chama!Bwashee tofautisha kuendesha Chama na Nchi......Vyama vitapita lakini nchi itaendelea Kuwepo BWASHEE.
Ni Yeye?Hata bila bunge wapitishe tu.
Hakuna Mtanzania mwenye uwezo wa kuongoza nchi hii isipokuwa Magufuli.
Hakuna Mtanzania mwenye akili zaidi ya Magufuli.
Ni yeye tu.
Soma Katiba mkuu!Hahahaaaa.......nauliza tu bwashee!
Soma hata Katiba,usijipendekeze kwa magu kiasi Cha kujisahau kuwa wewe ni binadamu Kama yeye.Nauliza tu kwa wataalamu wa masuala ya Katiba.
Ninavyofahamu mgombea urais hupendekezwa na Chama cha Siasa na kuchaguliwa na Wananchi.
Kwa mfano Katiba ikibadilishwa na CCM wakamsimamisha tena Dr Magufuli, kuna ubaya gani?
Si wananchi ndio watakaoamua?
Maendeleo hayana vyama!
Kusema sio kutenda,Yeye mwenyewe kasema miaka 10 inatosha
Vivutio vyote vinatakiwa viwe Shato, Shato ndiyo kitovu cha utalii TZ, awamu 4 zote zilizopita zilikuwa na vipofu hawakuiona ShatoKwani mlima Kilimanjaro ndio una nini?
Miaka 100 kwa MAGU aongezewe tu.
Au wafanye maisha mpaka pale Mola atakapompumzisha.
Nauliza tu kwa wataalamu wa masuala ya Katiba.
Ninavyofahamu mgombea urais hupendekezwa na Chama cha Siasa na kuchaguliwa na Wananchi.
Kwa mfano Katiba ikibadilishwa na CCM wakamsimamisha tena Dr Magufuli, kuna ubaya gani?
Si wananchi ndio watakaoamua?
Maendeleo hayana vyama!
Nauliza tu kwa wataalamu wa masuala ya Katiba.
Ninavyofahamu mgombea urais hupendekezwa na Chama cha Siasa na kuchaguliwa na Wananchi.
Kwa mfano Katiba ikibadilishwa na CCM wakamsimamisha tena Dr Magufuli, kuna ubaya gani?
Si wananchi ndio watakaoamua?
Maendeleo hayana vyama!