Mhe. Rais, sisi wananchi kwa ujumla tunakuomba kwa heshima na taadhima iwe jua na iwe mvua tunataka Katiba Mpya kabla ya 2025.
Usemi kuwa wananchi wanataka elimu kwanza kuhusu Katiba Mpya usemi huo hauingii akilini mwetu tunataka Katiba kabla ya uchaguzi 2025 ili nchi iendelee kuwa na amani na CCM iendelee kutawala.
Achana na ushauri ambao kwa namna nyingine hauna tija kuwa kuwe na elimu kwanza. Mhe. Rais tunataka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi 2025.
Usemi kuwa wananchi wanataka elimu kwanza kuhusu Katiba Mpya usemi huo hauingii akilini mwetu tunataka Katiba kabla ya uchaguzi 2025 ili nchi iendelee kuwa na amani na CCM iendelee kutawala.
Achana na ushauri ambao kwa namna nyingine hauna tija kuwa kuwe na elimu kwanza. Mhe. Rais tunataka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi 2025.