Kwako Kasinde

Kwako Kasinde

Micheweni Pemba

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2010
Posts
351
Reaction score
181
Tafadhali husika na mada ya hapo juu.

Mimi ni kijana nisiezidi miaka 30 ni mwenyeji wa Zanzibar. Dhumuni la barua ni kukueleza tangu nipate kukufahamu kupitia Jf unaukosesha raha moyo wangu nakupenda hadi najiogopa najiuliza umeufanya nini moyo wangu.

Nikiona topic yako mpya tu fasta naifungua siku nyingine nakesha kutafuta ulichoandika kwa siku hio nazipenda swaga zako kwa kweli na pia nafikiri utakuwa hodari kupika na pia utakuwa hodari kitandani.

Mwisho nakuomba walau uje kutembelea Zanzibari na kuahidi nitakupatia zawadi kemkem.maana nimejaribu kutuma Private message wameniambia mwenyewe hupendi hio kitu so sina njia nyingine zaidi ya kuandika barua ya wazi kwako.

Wako mtiifu
Micheweni Pemba
BIT Degree Holder.
 
KASINDE unahitajika huku,mwenzio atapata kichaa kwa ajili yoko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom