Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,888
- 141,536
Anakuja muda si mrefu..
Mhola gete ng'wanike'one.
Ubhebhe ulimhola?
Weka namba na type ya gari unaloendesha ukiweka na mitaa ya mizunguko yako itakuwa poa zaidi.
Huu mfungo huu!
Sura ya Nyoka.
Mfungo na kuelezea dukuduku la moyoni ni vitu viwili tofauti.muhimu usitukane na wala usifanye kitu chochote kitakacho kuharibia funga.
Ahsante sana.
Wala sikumaanisha baya mkuu! Nakutakia kheri !
Mhola gete ng'wanike'one.
Ubhebhe ulimhola?
Yamekufika HAAAAPA
Mmmmh pamoja na vurugu na fujo zangu humu wewe ndo umejitosa kuniandikia barua, waswahili wanasema itika with kataa maneno. Nimeitika ndugu sasa huko Zanziberi anahitaji nije kwa mapumziko, wacha nicheki schedule ilivo kazini kwa wiki mbili hizo kisha ntakujuza.Tafadhali Husika na mada ya hapo juu.
Mm ni kijana nisiezidi miaka 30.ni mwenyeji Wa Zanzibar.
Dhumuni la barua ni kukueleza tangi nipate kukufahamu kupitia Jf.unaukosesha raha moyo wangu.nakupenda hadi najiogopa najiuliza umeufanya nini moyo wangu.nikiona topic yako Mpya tu.fasta naifungua.siku nyingine nakesha kutafuta ulichoandika kwa siku hio.nazipenda swaga zako kwa kweli.na pia nafikiri utakuwa hodari kupika na pia utakuwa hodari kitandani.
Mwisho.nakuomba walau uje kutembelea Zenziberi.na kuahidi nitakupatia zawadi kemkem.maana nimejaribu kutuma Private message wameniambia mwenyewe hupendi hio kitu.so sina njia nyingine zaidi ya kuandika barua ya wazi kwako.
Wako mtiifu.
Micheweni Pemba
BIT Degree Holder.
Mmmmh pamoja na vurugu na fujo zangu humu wewe ndo umejitosa kuniandikia barua, waswahili wanasema itika with kataa maneno. Nimeitika ndugu sasa huko Zanziberi anahitaji nije kwa mapumziko, wacha nicheki schedule ilivo kazini kwa wiki mbili hizo kisha ntakujuza.
Halafu hujazipata fununu, Kasie ni kibibi nearly anastaafu. My age is 43 kwa 30 wewe ni mdogo wangu, being just friends no prob others ukiingia club na mie utachekwa na vijana wenzio
Dah jamaa kafunguka ukweli wake na mhusika kaupata kiroho safi tu.Kila la kheri mkuu.
Ebwanaeee umependa swaga tu..dunia ya leo!? Kila kitu hulia