Micheweni Pemba
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 351
- 181
- Thread starter
- #41
Ila Kasinde beware hao jamaa wasije kukufanyia uzinduzi mgongoni
Ili iweje usihukumu Mkuu.
Ni dhambi sana kufanya hivo.
Ila Kasinde beware hao jamaa wasije kukufanyia uzinduzi mgongoni
Una gari weye...?
Jiandae kujibu swali hilo toka kwa Kasie
Ila Kasinde beware hao jamaa wasije kukufanyia uzinduzi mgongoni
Kasie njoo okota moyo wa mwenzako umekudondokea....
Raha sana kupendwa
Raha sana kupendwa
Mimi pia the same meseji Kasinde ila mimi ni
Phd holder
Kwani wewe hujapendwa nitangaze nia na mimi kwako......
Nimeishapendwa siku nyingi sana
Someone is smitten...
Basi Inshallah...
Valentine.
Huyu Dada anasifa za ziada.mwambie anaumiza mtima Wa moyo wangu.nipo tayari walau nimuone tu.
Ahsante sana.
Naona umechoka kujipikia ftari.
Atakutafuta tu
na yeye nahisi alikuwa na hamu na wapemba
wapemba mnasifika kwa warembo
kazi kwako
Weka namba na type ya gari unaloendesha ukiweka na mitaa ya mizunguko yako itakuwa poa zaidi.
Kwa nini nichekwe my Dear Kasie.nadhani watanionea choyo,being 43 years it doesnt mean you are no longer smart.halafu,kilichonivutia zaidi sio umri, ni swaga na upambanuzi ulio nao.
Ni nadra kupata mtoto wa copy yako,ni kimpata lazima arithi u smart wa mama yake.
Nakuahidi ukija Zanzibar nitakupeleka sehemu nyingi zenye kivutio kwa Watalii,nitakupeleka Ngome Kongwe,Forodhani,Mnemba Island,kwenye soko lilikuwa la Watumwa Mkunazini,bila kusahau usiku ni kwa DJ Bar Bwawani Hotel.
Ahsante sana,
Una gari weye...?
Jiandae kujibu swali hilo toka kwa Kasie