Mimi bado nipo njia panda, kuna saa ukisoma maoni unaona kama masihara ila kuna saa inakuja kama kweli!.Sio wote mkuu watapitia mateso.. mf. Si baba yetu niseme week yake ya mwisho ndio alipitia maumivu ya kiuno wkend.. j3 akafanyiwa vipimo.. hata majibu hayajatoka akapumzika mazima. Na hiyo siku alimka fresh.. vikabadilika ghalfa na ndani ya masaa matatu akapumzika.
Maybe inategemea na aina ya cancer..
Huu uzi niliusoma alfajiri kikawaida.. now nasikia hadi moyo unauma
Sijui anayefariki anajisikiaje.. kazi ipo kwa wanaobaki.
Joanah kama uzi wako una ukweli.. basi wape taarifa nduguzo wa karibu. Vifo vya ghafla vinaumiza sana wanaobaki π
Mungu akutie nguvu..
Now we are talkingNakuPM
Je unataka kupambana nayo au umesurrender?Niliumwa kidogo sana
Kama huumwi ilikuwaje mpaka ukafanya vipimo? Nini kilikufanya upime? Ulipima wapi? Hebu nenda kapime na sehemu nyingine pleaseUmenitisha rasmi
Nilikuwa na hopes kwamba vipimo vitakuwa vimekosewa kwasababu sijisikii kuumwa, kumbe naweza kupitia maumivu wiki za mwisho π₯Ί
Yaani khantwe Taarifa naona inahitaji nyama zaidiTaarifa nzito inatolewaje?
Umeona the way ulivyo hoji !? Ni kwasababu Kuna upungufu wa taarifaKama huumwi ilikuwaje mpaka ukafanya vipimo? Nini kilikufanya upime? Ulipima wapi? Hebu nenda kapime na sehemu nyingine please
Naona hajataka kutoa details ndio maana maswali yamekuwa mengiYaani khantwe Taarifa naona inahitaji nyama zaidi
Pole usihofu,Mungu mkubwa,Kuna Mtu yupo ujerumani,aliuza nyumba yake hapa Dodoma ili wadogo zake wagawane Hela,kwani yeye aliambiwa hatakaa zaidi ya mwaka!Huu ni mwaka wa15 yupo na mdogo wake mmoja aliyefaidi mgao,ndie kafa!Hey people,
Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu
Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo
Naumia lakini sina jinsi
Ametuachia maswali mengi yasiyo na majibuUmeona the way ulivyo hoji !? Ni kwasababu Kuna upungufu wa taarifa
This is what I'm talking aboutAmetuachia maswali mengi yasiyo na majibu
Umenitisha rasmi
Nilikuwa na hopes kwamba vipimo vitakuwa vimekosewa kwasababu sijisikii kuumwa, kumbe naweza kupitia maumivu wiki za mwisho π₯Ί
Safi sana,na uzuri hata michango haitaji, muhimu anachotaka ni Dua zetu tuKasema madeni sio shida zakeππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Tena ameweka chumvi baada ya sukari
Vyema kama utafanya hivyo mjukuuHuu ushauri wa kupima tena nipo nao natarajia kufanya vipimo tena ndani ya wiki hii inayoanza
Kimsingi sijui ni how nimepewa majibu hayo, sina maumivu na wala sijisikii kuumwa kabisa lakini taarifa iliyopo ni hiyo
Hiyo umetag ina 0 posts... Just fikiria mengine nje ya boksi.. ila hiyo umetag yaani jiongeze siku ingineeeeePicha yake naona IPO kwenye I'd ya Joannes1 sijui zote ni zake