Hahahahahahaaa!
Nawewe heri na baraka ya mwaka mupya iye nawe (with ur family)
...
1 Nimekumithi!
2 uthinikothe wakati wa kunywa shampen!
MUNGU awe nasi.. siku zote za maisha yetu,
wala si hapa katika kumalizia mwaka tu,
ee baba uwalinde na kuwaweka mikononi mwako watoto wako wote.. nawaweka mikononi mwako Passion Lady, BAK, Mentor, mzurimie, Lizzy, ladydoctor, Threesixteen Himself, YOU TUBE, miss chagga, King'asti, Madame B, Invisible, Paw, Fang, (nawaombea hawa mamoderator wapunguze ban, watafute plan B!!) Arushaone, sosoliso, Ritz, Zitto, Mwl.RCT, habari ya hapa, Mashaxizo, Daudi1, Daud omar, sister, Sista, shansarie, Baba V, charminglady, Kasinde, Kongosho, badiebey, Preta, Chimbuvu, watu8, Judgement, Kasinde, kahtaan, Dr.Mo, snowhite, Sangarara, Blaki Womani, miss strong, miss wa kinyaru, Mzee wa Rula, Mtambuzi,... na wengineo wooote!!!!!
achana na Paw wewe!! mtu mwenyewe hajui hata kubembeleza!! sauti mikwaruuuzo kama nini!
yeye kidogo tu kakupiga ban!
mimi walah! hio mambo sina! ntakulisha, ntakuogesha na stage mpya ntakununulia!
The Boss ndio nani? eenh? hebu mwambie aje ajitambulishe bana!
na aje pole pole atiii, anaweza rudi mzobemzobe!
viatu vya paw ni vikubwa mnoooo, haviwezi kukutosha kamwe. wala usijisumbue aisee. miaka laki nane havitakaa vikutoshe. paw anabembeleza na a husky voice, google that
Hayo ya The Boss usinihusishe ukaniponza moyo wangu. ngoja nidisable avatar kwanza, moyo haugawanywi
Asante kwa salamau ya mwaka mpya nakutakia nawe heri na fanaka. Nililalama mwanzoni kwa BAK hajanitaja sas nimetajwa mara mbili looh senkyu vere mache
Keep on excelling Excel for the whole year 2014
Asante mpendwa..
subiri kwanza, "sayonara amigo" ndio nini?
Amigo ni neno la kilatin america maana yake rafiki
Sayonara ni neno la kijapan hilo nakuachia home work litafute
sasa mchanganyiko huo ndio unaitwaje, mi naufahamu mmoja unaitwa kiswanglish? Alafu bora ungeniachia amigo ukanitatafthilia hiyo ingene. sikubari.
I miss you.........
Wish you the best in the coming New year
Hivi uko wapi kwanza mida hii we mwanamke?
Niko hukuuuuuuu Masaki..........nakukumbuka kila niendapo mazoezi
Ndio unafanyia huko mazoezi? Kazini? au ndio mafisadi mnakaa huko?
sasa mchanganyiko huo ndio unaitwaje, mi naufahamu mmoja unaitwa kiswanglish? Alafu bora ungeniachia amigo ukanitatafthilia hiyo ingene. sikubari.