BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
- Thread starter
- #81
Last edited by a moderator:
BAK specifically naomba nikutakie heri ya mwaka mpya.
Mungu wa Yakobo akuinue, jina lake takatifu liwe msaada kwako, akupe mafanikio zaid ya miaka iliyopita na akuepushie shari zote za yule adui.
Happy new year wapendwa!
Ahsante sana Mkuu Blaki Womani...Nami nakutakia afya njema, heri, baraka na mafanikio tele katika mwaka huu mpya wa 2013.
CC: Mbu, Viper, mwanajamii1, Nyamayao, Belo, Peasant
hii ni special kwa woooteee wenye wapenzi wa ukweeeee na wenye mateja.......
you are welcome mdogo wangu..... nina uhakika siku imeenda vizuri sanaAsante sana dada angu...nimeipenda kwa kweli.
Athanteee!
Hapi nyu yia dada. . . . . na kwa wale maprisoner!
you are welcome mdogo wangu..... nina uhakika siku imeenda vizuri sana
nimefurahi kusikia hivyo....Naam, kwa kweli namshukuru Mungu muweza wa yote nimeweza kuuona mwaka salama na siku yangu imekwenda vizuri kabisa.
BAK heri ya mwaka mpya na we pia mkuu nilikuwa nakukumbusha tu tulivyo mwacha hoi Romney katika uchaguzi wetu.Uzi huu ni maalum kwa wale wote wanaotoka katika nchi inayoitwa Tanzania wengine wote hauawahuu!!! Heri ya mwaka mpya Mkuu fazaa
BAK na wanajamii wote, nami nawatakieni mwaka mpya mwema, wenye baraka tele na mafanikio katika kila jambo.
hii ni special kwa woooteee wenye wapenzi wa ukweeeee na wenye mateja.......
cc BAK, snowhite, cacico, gfsonwin, The Boss, Dark City, Erickb52, Kipipi, Ciello, Madame B, MwanajamiiOne, AshaDii, Asprin, TANMO, Filipo, moto2012, FirstLady1, Young Master, Smile, Preta Blaki Womani Arushaone PakaJimmy Mungi marejesho charminglady Mr Rocky Mzee wa RulaLiverpoolFC BAGAH Nicas Mtei Vin Diesel Judgement sweetlady Kabakabana IGWE Elizabeth Dominic Smiling Saint C6, na wengine woooote