Kwaheri 2012 karibu 2013

Kwaheri 2012 karibu 2013

Ahsante mkuu BAK,

Tayari tumeingia 2013,

Ni jambo la kumshukuru Mungu na kupongezana kwa kupata nafasi ya kusogeza mwaka mwingine mbele....

Cheers,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Heri ya Mwaka Mpya Mkuu Dark City...Mungu ashukuriwe sana.




Ahsante mkuu BAK,

Tayari tumeingia 2013,

Ni jambo la kumshukuru Mungu na kupongezana kwa kupata nafasi ya kusogeza mwaka mwingine mbele....

Cheers,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
mimi nisipokuwa na fimbo wanajua ni muda wa kucheza, wakiona fimbo wanajua serious business.... ila kuitumia ni mpaka inapobidi.....

mwenzio si unajua mikono ya mwl kila ikiona pointer(fimbo) hutaman kuchapa lol! hua sigusi kabisa lkn nina kamswaki kangu nikisema nikashike tu utaskia mama naomba nisameheee! basi nikiambiwa hivyo mwili wote hulowana kwa huruma na upendo. najiskia kama vile mwanangu hana mtetezi tena ila ule ambao mm nitampa.

hunifanya nikawafikiria wale ambao labda wanaomba kama wao lkn bado wanaadhibiwa tena kwa namna ambayo ni ya ukatili, wale ambao wanafanyiwa mateso makubwa ya kinyama. huwa naumia sana kwaajili yao....................lol!
 
mwenzio si unajua mikono ya mwl kila ikiona pointer(fimbo) hutaman kuchapa lol! hua sigusi kabisa lkn nina kamswaki kangu nikisema nikashike tu utaskia mama naomba nisameheee! basi nikiambiwa hivyo mwili wote hulowana kwa huruma na upendo. najiskia kama vile mwanangu hana mtetezi tena ila ule ambao mm nitampa.

hunifanya nikawafikiria wale ambao labda wanaomba kama wao lkn bado wanaadhibiwa tena kwa namna ambayo ni ya ukatili, wale ambao wanafanyiwa mateso makubwa ya kinyama. huwa naumia sana kwaajili yao....................lol!

Mwl umenikumbusha niliwahi kushika fimbo nataka kumchapa mwanangu aliangua kilio nikamwonea huruma badala ya kumchapa nikajikuta nalia na mie lol
Heri ya mwaka mpya 2013
 
Last edited by a moderator:
Mwl umenikumbusha niliwahi kushika fimbo nataka kumchapa mwanangu aliangua kilio nikamwonea huruma badala ya kumchapa nikajikuta nalia na mie lol
Heri ya mwaka mpya 2013

you too my dea,r happy new yr.

yaani kuhusu kuchapa mtoto hiyo kwanu ni adhabu ya mwisho kabisa tena baada ya kuona njia nyingine zote za kumrudisha kwenye mstari na kueleweka zimeshindikana. na mm hata wanafnzi wangu huwa wanjua madam huwa hachapi ila sasa nina adhabu ambazo mwanafunzi akiifanya akimaliza basi atatoka na maarifa na atatoka amenyooka kitabia.
 
BAK specifically naomba nikutakie heri ya mwaka mpya.
Mungu wa Yakobo akuinue, jina lake takatifu liwe msaada kwako, akupe mafanikio zaid ya miaka iliyopita na akuepushie shari zote za yule adui.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Happy new year mwl
you too my dea,r happy new yr.

yaani kuhusu kuchapa mtoto hiyo kwanu ni adhabu ya mwisho kabisa tena baada ya kuona njia nyingine zote za kumrudisha kwenye mstari na kueleweka zimeshindikana. na mm hata wanafnzi wangu huwa wanjua madam huwa hachapi ila sasa nina adhabu ambazo mwanafunzi akiifanya akimaliza basi atatoka na maarifa na atatoka amenyooka kitabia.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom