Kusomesha watoto shule za private ni matumizi mabaya ya fedha

GOLD BOY

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
285
304
Kwenu mnaosomesha watoto shule za gharama ilihali serikali inatoa elimu bure , mzazi unapeleka mtoto kujiunga kidato cha kwanza shule binafsi utazani labda wanafundishwa masomo tofauti na alie shule za umma hayo ni matumizi mabovu ya pesa.

Wazazi wengi wanapenda show off hasa wazazi wa kike kuona watoto wao wanasoma shule za pesa mingi.

Mwanafunzi wa shule binafsi na umma ni walewale tu kwasababu wanafundishwa maada sawa kama ni physics wote watasoma physics masomo mengine yanayofundishwa shule binafsi nikujaza madaftari bure tu sijui commerce, mara kifaransa ili iweje itamsaidia nini?

Shule binafsi zinatoa malezi ya kimamamama tu hustle zipo shule za umma mtoto anajifunza maisha kuinteract na watu wengi kujenga bond na n.k, ngoja niishie hapo tu.
 
Usisahau
20230731_234928.jpg
 
Mtoto wako asome darasa lenye wanafunzi 100 kwa chumba kimoja. Halina ubora wowote, vumbi kama lote.
Hewa nzito.
Ilhali unauwezo wa kumpeleka shule yenye hali nzuri. Utakuwa hujui maana ya kufurahia na kutumia pesa zako
Wapuuzi sana hawa wanaoshupalia shule za umma.

Nilipita juzi kule kigogo kuna watoto wanakaa chini, halafu eti mwanao umpeleke hapo.

Ubahili wa kijinga kabisa, kama uwezo unao angalia ubora wa shule na sio uangalie sijui hii english medium na hii sio.
 
Wapuuzi sana hawa wanaoshupalia shule za umma.

Nilipita juzi kule kigogo kuna watoto wanakaa chini, halafu eti mwanao umpeleke hapo.

Ubahili wa kijinga kabisa, kama uwezo unao angalia ubora wa shule na sio uangalie sijui hii english medium na hii sio.

Wala Watu wa hivyo sio wabahili.
Ila ni ufukara unawasumbua.
Yaani mtoto akapigwa na vumbi ilhali pesa iko. Sasa pesa kazi yake nini?
 
Kwenu mnaosomesha watoto shule za gharama ilihali serikali inatoa elimu bure , mzazi unapeleka mtoto kujiunga kidato cha kwanza shule binafsi utazani labda wanafundishwa masomo tofauti na alie shule za umma hayo ni matumizi mabovu ya pesa

Wazazi wengi wanapenda show off hasa wazazi wa kike kuona watoto wao wanasoma shule za pesa mingi.

Mwanafunzi wa shule binafsi na umma ni walewale tu kwasababu wanafundishwa maada sawa kama ni physics wote watasoma physics masomo mengine yanayofundishwa shule binafsi nikujaza madaftari bure tu sijui commerce, mara kifaransa ili iweje itamsaidia nini??

Shule binafsi zinatoa malezi ya kimamamama tu hustle zipo shule za umma mtoto anajifunza maisha kuinteract na watu wengi kujenga bond na n.k, ngoja niishie hapo tu
Tafute hela. Kizazi chako kisiteseke
 
Wapuuzi sana hawa wanaoshupalia shule za umma.

Nilipita juzi kule kigogo kuna watoto wanakaa chini, halafu eti mwanao umpeleke hapo.

Ubahili wa kijinga kabisa, kama uwezo unao angalia ubora wa shule na sio uangalie sijui hii english medium na hii sio.
Huwezi amini Dar bado kuna shule watoto wanakaa chini. Je huko katabi hali ikoje
 
Kwenu mnaosomesha watoto shule za gharama ilihali serikali inatoa elimu bure , mzazi unapeleka mtoto kujiunga kidato cha kwanza shule binafsi utazani labda wanafundishwa masomo tofauti na alie shule za umma hayo ni matumizi mabovu ya pesa

Wazazi wengi wanapenda show off hasa wazazi wa kike kuona watoto wao wanasoma shule za pesa mingi.

Mwanafunzi wa shule binafsi na umma ni walewale tu kwasababu wanafundishwa maada sawa kama ni physics wote watasoma physics masomo mengine yanayofundishwa shule binafsi nikujaza madaftari bure tu sijui commerce, mara kifaransa ili iweje itamsaidia nini??

Shule binafsi zinatoa malezi ya kimamamama tu hustle zipo shule za umma mtoto anajifunza maisha kuinteract na watu wengi kujenga bond na n.k, ngoja niishie hapo tu
Umasikini mbaya sana.

Tafuta hela we ngedere.
 
Nimegundua tunaoponda watoto kupelekwa english medium siyo kwamba tuna hoja bali ni chuki na umasikini tu ndio vinatusumbua mtuelewe tu, laiti na sie tungekuwa na uwezo wa kupeleka watoto wetu english medium tungewapeleka ila ni vile hatuwezi tunaona bora tuzisagie kunguni hizo shule, ili walau tujipoze machungu na tujifariji kuwa watoto wetu wanaosoma kayumba hawana tofauti na watoto wanaosoma english medium
 
Mkuu Umeleta Huu Uzi Baada Ya Kuona Kule Single Mother Anataka Kudhulumiwa.

 
Kwenu mnaosomesha watoto shule za gharama ilihali serikali inatoa elimu bure , mzazi unapeleka mtoto kujiunga kidato cha kwanza shule binafsi utazani labda wanafundishwa masomo tofauti na alie shule za umma hayo ni matumizi mabovu ya pesa

Wazazi wengi wanapenda show off hasa wazazi wa kike kuona watoto wao wanasoma shule za pesa mingi.

Mwanafunzi wa shule binafsi na umma ni walewale tu kwasababu wanafundishwa maada sawa kama ni physics wote watasoma physics masomo mengine yanayofundishwa shule binafsi nikujaza madaftari bure tu sijui commerce, mara kifaransa ili iweje itamsaidia nini??

Shule binafsi zinatoa malezi ya kimamamama tu hustle zipo shule za umma mtoto anajifunza maisha kuinteract na watu wengi kujenga bond na n.k, ngoja niishie hapo tu
Tafuta pesa kijana kuna tofauti kubwa kusoma Yusuph makamba na Babro Johanson
 
Back
Top Bottom