Kwa wapenzi wa mambo ya mauaji tu

Kwa wapenzi wa mambo ya mauaji tu

Yeah most of serial killers ni wale wanaolipa visasi halafu wanajikuta wananogewa! Mmoja wakati anahojiwa alisema alikua anapenda vile Roho ya mtu inavyotoka! Na yale maneno kama don't kill me, etc!

Nakumbuka hapa kulikuwa na Dr mmoja anaitwa Shipman (UK)
Huyu jamaa alikuwa kwenye kitongoji kimoja akiwa na zahanati yake alipoanza kuuwa mmoja akanogewa akawa anawadunga sindano za sumu wazee huku akiwaangalia roho inavyotoka anaona raha
Unaweza kumsoma Dr Shipman
Alikuja kugundulika baada ya kugushi saini ya bibi kizee mmoja wa miaka zaidi ya 90 kuwa kamuachia urithi wa hela nyingi sana na nyumba
Lakini mtoto wa huyo mama ambae nae alikuwa na miaka kama 70 alikataa katu hiyo hoja na kusema haiwezekani mama yake kumrithisha kwani yeye ndio alikuwa anamtunza miaka yote na hakuwahi kuongelea mirathi
Ndipo siani ikaenda kuchunguzwa na mtaalamu mmoja akabaini imegushiwa
Hapo ikabidi wafukue kaburi kuona kwa uchunguzi
Wakabaini sumu
Ikawapelekea wafukue tena makaburi mengine
Walipofikisha 25 na zote zina sumu akahukumiwa kwa hizo 25 ingawa walisitisha maana inasemekana aliuwa zaidi ya 100

Mwingine anaitwa Fred West huyo nae alikuwa balaa wakishirikiana na mke wake
Walianza na mtoto wao wa kike na kumzika kwenye ukuta
Mauwaji yaliendelea sana kwa kualika watu nyumbani kwao na kuwauwa
Wengi wanaouwawa ni malaya ambao hata ndugu kuwatafuta inakuwa vigumu kwa kazi yao ilivyo
Malaya akifa ndugu ni vigumu kujua kwani wanajua yuko na mambo yake hata wenzake wanaona labda kapata buzi limempeleka mji mwingine
Dunia Ina mambo hii


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Nakumbuka hapa kulikuwa na Dr mmoja anaitwa Shipman (UK)
Huyu jamaa alikuwa kwenye kitongoji kimoja akiwa na zahanati yake alipoanza kuuwa mmoja akanogewa akawa anawadunga sindano za sumu wazee huku akiwaangalia roho inavyotoka anaona raha
Unaweza kumsoma Dr Shipman
Alikuja kugundulika baada ya kugushi saini ya bibi kizee mmoja wa miaka zaidi ya 90 kuwa kamuachia urithi wa hela nyingi sana na nyumba
Lakini mtoto wa huyo mama ambae nae alikuwa na miaka kama 70 alikataa katu hiyo hoja na kusema haiwezekani mama yake kumrithisha kwani yeye ndio alikuwa anamtunza miaka yote na hakuwahi kuongelea mirathi
Ndipo siani ikaenda kuchunguzwa na mtaalamu mmoja akabaini imegushiwa
Hapo ikabidi wafukue kaburi kuona kwa uchunguzi
Wakabaini sumu
Ikawapelekea wafukue tena makaburi mengine
Walipofikisha 25 na zote zina sumu akahukumiwa kwa hizo 25 ingawa walisitisha maana inasemekana aliuwa zaidi ya 100

Mwingine anaitwa Fred West huyo nae alikuwa balaa wakishirikiana na mke wake
Walianza na mtoto wao wa kike na kumzika kwenye ukuta
Mauwaji yaliendelea sana kwa kualika watu nyumbani kwao na kuwauwa
Wengi wanaouwawa ni malaya ambao hata ndugu kuwatafuta inakuwa vigumu kwa kazi yao ilivyo
Malaya akifa ndugu ni vigumu kujua kwani wanajua yuko na mambo yake hata wenzake wanaona labda kapata buzi limempeleka mji mwingine
Dunia Ina mambo hii


Sent from my iPhone using Tapatalk
Malaya wamekua target sana hawa watu, jamaa yeye alikua anatoka usiku kama huu anaenda anachukua Malaya kisha anaenda nae hadi kwake anamlewesha then anamkata vio
Nakumbuka hapa kulikuwa na Dr mmoja anaitwa Shipman (UK)
Huyu jamaa alikuwa kwenye kitongoji kimoja akiwa na zahanati yake alipoanza kuuwa mmoja akanogewa akawa anawadunga sindano za sumu wazee huku akiwaangalia roho inavyotoka anaona raha
Unaweza kumsoma Dr Shipman
Alikuja kugundulika baada ya kugushi saini ya bibi kizee mmoja wa miaka zaidi ya 90 kuwa kamuachia urithi wa hela nyingi sana na nyumba
Lakini mtoto wa huyo mama ambae nae alikuwa na miaka kama 70 alikataa katu hiyo hoja na kusema haiwezekani mama yake kumrithisha kwani yeye ndio alikuwa anamtunza miaka yote na hakuwahi kuongelea mirathi
Ndipo siani ikaenda kuchunguzwa na mtaalamu mmoja akabaini imegushiwa
Hapo ikabidi wafukue kaburi kuona kwa uchunguzi
Wakabaini sumu
Ikawapelekea wafukue tena makaburi mengine
Walipofikisha 25 na zote zina sumu akahukumiwa kwa hizo 25 ingawa walisitisha maana inasemekana aliuwa zaidi ya 100

Mwingine anaitwa Fred West huyo nae alikuwa balaa wakishirikiana na mke wake
Walianza na mtoto wao wa kike na kumzika kwenye ukuta
Mauwaji yaliendelea sana kwa kualika watu nyumbani kwao na kuwauwa
Wengi wanaouwawa ni malaya ambao hata ndugu kuwatafuta inakuwa vigumu kwa kazi yao ilivyo
Malaya akifa ndugu ni vigumu kujua kwani wanajua yuko na mambo yake hata wenzake wanaona labda kapata buzi limempeleka mji mwingine
Dunia Ina mambo hii


Sent from my iPhone using Tapatalk
Malaya ndio walivyo, jamaa anawachukua anachinja anhifadhi kwa freezer. Kwisha habari, kesho maziwa anayachemsha supu
 
Najua wengi. Wengine hadi nimewasahau majina kwakua nilikua nawasoma stori zao kwenye website moja hivi ambayo imefungiwa nahisi tangu 2015. Ilikua inaitwa Tru Tv Crime Library.

Kuna Ted Bundy. Mwanasheria mtanashati aliyeachwa na mpenzi wake, akiwa na huo msongo akaanza kuua wanawake ambao walifanana na mpenzi wake.

Wahanga wake walikua ni wanawake waliofanana maumbo, nywele na wengine mpaka macho. Kuanzia mwaka 1974 mpaka 1978 Ted Bundy alizunguka majimbo saba ya Marekani akitimiza nia yake ovu kwa kila mwenye bahati mbaya ya kumuamini.

Nani asingemwamini? Mwanasheria mtanashati, mkono mmoja una POP (Hogo) anakuomba binti umsaidie kubeba vitabu kuviingiza kwenye gari. Kimojawapo kitakusukuma uende kama siyo utanashati basi ni roho ya huruma.

Kwa mbinu hii alinasa wengi. Yeye anasema ameua wanawake 30, lakini ripoti nyingine zinasema inaweza kua zaidi, nyingine zimesema wahanga ni 50 lakini ripoti rasmi haijathibitisha idadi yake. Hii inamaanisha wahanga wanaweza kua wengi kuliko alivyojitahidi kukumbuka.

Kwake kuua ilikua ni namna ya kulipiza kutendwa. Baadaye hali ikawa mbaya akawa akiua anakaa na maiti zaidi ya wiki akiziingilia, akipiga punyeto na kuzimwagia, ilimridhisha kwakua alijiona yeye ni mmiliki wa huu mwili ambao ataamua aufanye nini na muda gani. Ted akawa amenasa kwenye 'necrophilia' yaani kupenda kufanya mapenzi au kuvutiwa kimapenzi na maiti.

Mhanga wa kwanza mara nyingi humsumbua muuaji, hujikuta anaoverkill au kutumia njia nyingi baada ya muda hufuzu, huweza jua wapi akigusa ataua kwa haraka. Ted alijiamini, idadi kubwa ya wahanga ilimaanisha ameexcel kumdhibiti mtu, especially mwanamke, lakini hapana. Siku nyingine tena kama kawaida Ted akiwa na P.O.P feki akamuomba mdada amsaidie kuingiza vitabu kwenye gari.

Mdada akakubali wakiwa kwenye gari Ted akampiga na chuma kichwani, binti akaonekana kuzimia gari likawashwa safari ikaanza. Kati kati ya safari binti akazinduka na kufungua mlango akajitupa nje. Huyu ni mhanga pekee aliyepona kutokea mikononi kwa Ted (Nimemsahau jina)

Akaja akakamatwa. Akafunguliwa mashtaka, akaomba awe anajiwakilisha mwenyewe kwakua na yeye ni wakili. Hii ilimaanisha apewe muda wa kwenda maktaba kupitia kesi zingine, ila hii pia ilimaanisha anaweza kutoroka.

Hivyo akatoroka.

Akakamatwa tena. Safari hii ulinzi ukaimarishwa, Ted akiwa anajitetea ilimaanisha anatakiwa aji-cross examine. Hivyo muda wa kuji-cross examine ulipofika Ted akawa anatumia sauti mbili.

Moja ndogo ndogo ya yeye kama upande wa utetezi na nyingine yenye mamlaka kama wakili. Isingeweza saidia, hii iliwadhihirishia wazee wa baraza kua huyu mtu hayupo sawa kichwani, ingawa hata yeye alitaka aachiwe kwa kuonekana hayupo sawa kichwani.

Mbinu yake ikagonga mwamba Ted akahukumiwa kifo.

Nimesahau vitu vingi, nahisi alitoroka mara mbili ila sikumbuki sawasawa.

Ted Bundy ni miongoni mwa serial killer maarufu mkuu
Ni kama Jack the Ripper


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kuna hawa ambao wanapata majeraha kwenye ubongo na kuwa wauwaji mwisho
Kuna mwanamke mmoja mwanasheria huko USA alifuatilia kesi ya jamaa mmoja black ambae aliuwa na kuhukumiwa maisha
Huyu mama aliifuatilia sana na kuangalia maisha ya huyu kijana
Alikuwa anapigwa sana na baba yake alipokuwa mdogo na dingi alikuwa akilewa anapiga kuanzia mama mpaka watoto
Alikuwa anawapiga ngumi za kichwani na wakianguka anawapiga mateke ya kichwa na kusababisha madhara ya ubongo yasiyoonekana bali damage tayari bila kujijua
Madhara hayo yanasababisha unakuwa na hasira za haraka sana

Mwanasheria aliomba mahakama impe kibali cha kufanya utafiti kwa wataalamu kujua kama inawezekana
Baada ya utafiti walikutwa wengi waliokuwa wanapigwa na baba zao wamo jela na baada ya kupimwa wote madhara yanafanana
Kesi ilienda mahakamani kuomba waachiwe kwa sababu sio wazima lakini suala lilitupwa nje
Lakini walipigania haki ki sayansi na baada ya miaka ikapita kama sheria na kujulikana haya maradhi ya ubongo kuwa unaweza kuwa muuwaji mzuri tu
Ukiona muuwaji sio wote baadhi yao wamedundwa sana kichwani mpaka kuvuruga ubongo

Hii kesi haina maana ya wauwaji wote kwani kuna wengine wanatoka katika familia nzuri bila kupigwa wala nini ila anakuja kuwa muuwaji
Are killers born or made? Hili swali limewachanganya wanasayansi wengi




Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ted Bundy ni miongoni mwa serial killer maarufu mkuu
Ni kama Jack the Ripper


Sent from my iPhone using Tapatalk
Now Jack hana hata death toll kubwa. Ana wahanga watatu kama sikosei ila umaarufu wake ni kwavile ilikua jambo geni wa UK, wengine maarufu kwa haraka haraka ni Ed Gein, naye hana hata death toll kubwa ila kuna hadi movie ilitengenezwa kutokana na tukio lake. Kuna Jefrey Dahmer, John Wayne Gacy, Long River Ripper, hapa palitakiwa pawe sehemu ukiingia huchoki kusoma visa ila ndo vile.
 
Yap ishu za mauaji zilizofanywa kwa weledi especially majasusi, nadhani ndio kusudio lako

Kuna siku nilisoma bandiko fulani hapa jf sikumbuki alipost nani, ila nililipenda. Lilikua linausu mjasusi kutoka CIA aliyejiengua na ujasusi. Alikutwa amekufa akiwa yupo ndani ya begi lililofungwa kwa zipu za ndani ya hilo begi.

Security camera hazikuweza kunasa tukio lolote likionesha ni namna gani aliweza kuingia mle kwenye begi wala hakukua na alama za fingerprint zenye kuonesha nani aliyemuingiza kwenye begi.

Daktari mmoja ambaye alikua anamwili sawa na yule marehemu alijaribu kuingia kwenye lile begi huku akisaidiana na wenzake lakini hakuweza kuenea, jambo ambalo liliwaacha watu mdomo wazi

Ni mauaji ambayo mpaka sasa hayajatafutiwa suluhu kua nini kilichomuua haswa yule victim. Vipimo vyote vilichukuliwa ili kubaini nini kilichosababisha afe lakini hola. Mwili ulipimwa ili kubaini kua pengine alikufa kwa kuishiwa pumzi lakini hola, walicheki mwili kama unasumu yeyote ile lakini hawakukuta na tatizo lolote lile kwenye mwili ule ambalo ingewasaidia kujua nini sababu ya kifo cha huyo jasusi



Sent using unknown device
naomba link ya uzi nasi tuburudike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Now Jack hana hata death toll kubwa. Ana wahanga watatu kama sikosei ila umaarufu wake ni kwavile ilikua jambo geni wa UK, wengine maarufu kwa haraka haraka ni Ed Gein, naye hana hata death toll kubwa ila kuna hadi movie ilitengenezwa kutokana na tukio lake. Kuna Jefrey Dahmer, John Wayne Gacy, Long River Ripper, hapa palitakiwa pawe sehemu ukiingia huchoki kusoma visa ila ndo vile.
Weka mambo basi, tusipoweka sisi hakuna atakayeweka! Weka Mpwa
 
Back
Top Bottom