Yaani nimeshindwaga kuangalia movie kabisa!
Documentaries are my thing.So far kwenye external drive yangu nina kama 250 documentaries na zilizonikosha zaidi ni:
1.Heart vs Mind (what makes us human)
Hii inaelezea nini kinatengeneza ule ubinadamu,ubongo au moyo,kwanini ukimpenda mtu unasema nakupenda kwa MOYO wangu wote wakati kazi ya moyo ni kupump blood? Kwanini ukipokea taarifa mbaya unasema moyo unakuuma? Very interesting!
2.Nyingine ni Princess Diana,maisha na kifo cha huyu dada,ni ya masaa matatu,ina siri nyingi sana za ukoo wa ufalme wa Uingereza!
3.The birth of Israel
Taifa la Israel limeanzaje occupation yake pale middle east,kuna kipindi wayahudi walivyokuwa utumwani walimtuma mtu akafuatilie ardhi yao as per the bible teachings na promises,jamaa akafika hadi walipo wapalestina sasa alivyorudi akawajibu "The bride is very beautiful but she's married to another person"... interesting pia