Kwa wapenzi wa documentaries

Kwa wapenzi wa documentaries

Nzuri Sana. Itafute kwa bidii.

Kuna doc moja niliangalia ya jinsi ambavyo marekani ilinufaika na vita vya kwanza vile na Iraq na Kuwait. It was a business decision na ilitajirisha baadhi ya watu. Inatia hasira kweli yaani.hata sikumbuki inaitwaje. Shida hizo docs zinaonyweshwa so late at night
hiyo ya escobar itabidi niitafute. hivi kuna documentaries zinahusu cali na madellin cartels?
 
now im watching, Mermaids -the body found and Mermaids new evidence, all from animal planet tv.
 
Maisha ndani ya death row na wafungwa wanavyoishi.
hizo za taboo zinaexplore culture za ajabu za makabila na mataifa kadhaa. Mfano huko Filipino watu wanazika kaburi la kukodi, after 3 yrs wanafukua mifupa na kuiosha wanaweka kwenye safleti wanarudisha home. Na Kuna watu wanaishi makaburini coz hawaafford kupanga. Lots of interesting stuff
King'asti zinahusu nini hizi?
 
Last edited by a moderator:
Maisha ndani ya death row na wafungwa wanavyoishi.
hizo za taboo zinaexplore culture za ajabu za makabila na mataifa kadhaa. Mfano huko Filipino watu wanazika kaburi la kukodi, after 3 yrs wanafukua mifupa na kuiosha wanaweka kwenye safleti wanarudisha home. Na Kuna watu wanaishi makaburini coz hawaafford kupanga. Lots of interesting stuff
aah! kweli hizo taboo zitakuwa zinasisimua sana. zinafanana na witch crafts: myths and legends
 
well, i always open my mind to allow extreme possibilities, sijifungi sana coz najua science has a lot to offer na bado dunia ina maswali mengi ambayo hayajajibiwa.
lakini kweli mkuu, mambo mengi yalionekanaga hayawezekani lakini leo ni rahisi mno. ID yako inanikumbusha mbali sana.
 
Kumbe JF pia kuna wapenzi wa documentaries. Huu mimi ni ugonjwa wangu, napenda zaidi Documentaries kuliko hata movies. Kali nilizoziona mpaka sasa ni :

1.Bowling for Columbine (Kuhusu wanafunzi wa Columbine high school, huko Colorado USA walivyowaua wenzao na gun culture huko
Marekani kwa ujumla)

2.Inside Job (Kuhusu nani hasa walihusika kusababisha global financial crisis mwaka 2008)

3.AIDS Inc. (Kuhusu jinsi ambavyo tatizo la Ukimwi limegeuzwa kuwa la kisiasa na si la kiafya)

4.Fahrenheit 911 (Kuhusu jinsi wamarekani walivyoongopewa na serikali yao mpaka wakakubali kuvamia Iraq baada ya matukio ya 9/11)

5.The smartest guys in the room (Kuhusu jinsi Kampuni kubwa ya nishati ya ENRON ilivyoporomoka)

6.Capitalism - a love story (Hii ni kama Inside Job hapo juu)

7.Religulous (Bill Maher ana-exprole imani za dini mbalimbali kubwa duniani)

8.Sicko (Inahusu jinsi gani mfumo wa huduma za afya nchini Marekani ulivyokuwa mbovu)

9.How to get rich selling drugs (Hii inajieleza yenyewe, utakutana na wataalamu wa shughuli hizo)

10.Inside the American Mob (Part 1-6) (Kwa wale wanaopenda kujua kuhusu historia ya American Mafia hizi zitawafaa)

11.The Grizzly Man ( Timothy treadwell aliwapenda sana Grizzly Bears wa huko Alaska, akaenda kuishi sehemu wanazoishi ili kufuatilia
maisha ya na "kuwalinda". Akaja kuuawa, na Bears hao hao aliokuwa anawalinda!)

12.Documentaries zoote kuhusu Tupac

13.Something from nothing: The art of Rap ( Hii inahusu history ya muziki wa rap)

14.Welcome to Deathrow ( Historia ya mojawapo ya hip hop record label zilizopata umaarufu mkubwa)

15.Beef (Part 1-4) (Huhusu historia ya beef (malumbano) kwenye muziki wa rap)

16.Chasing Maddoff (Whisleblowers waliokuwa wakimfuatilia tapeli Bernard Maddoff)

17.The Carter Documentary (Maisha ya Lil Wayne)

18.Living with Michael Jackson ( Mwandishi wa habari Martin Bashir alipewa nafasi ya kuishi na Michael Jackson kwa miezi 6)

19.Backstage (Roc-a-fella, Ruff Ryders Hardknock Life Tour)

20.Street is watching ( Documentary ya kwanza ya Jay Z)

21.Fade to black ( Pia ya Jay Z)

Na nyingine nyingi siwezi kutaja zote.

We might be sharing the same mood ! Ila kuna baadhi ulizotaja ni conspiracy theories
 
Kuna hizi hapa pia ni nzuri sana, BBC/Discovery channel
1: Human Planet: Ocean
2: Human Planet: Desert
3: Human Planet: Arctic
4: Human Planet: Jungles
5: Human Planet: Mountains
6: Human Planet : Grasslands
7: Human Planet : Rivers
Nyingine
-African taboos- hii inahusu ushoga katika jamii za kiafrika, Kenya, malawi na Uganda
- How to get ahead in Africa- Hii ni rushwa hapo kwa majirani zetu Kenya...
 
Tafuta ya Mungiki
hii niliwahi iona, zile ishu hata hapa zinaeza kutokea. niliona nyingine zina husu civil war huko sierra leone, ukiziona lazima ufreeze.
 
Kuna hizi
1:Inside human body- bbc maelezo jinsi mwili wa binadamu unavyofanya kazi
2: French african connection -hii inahusu jinsi policy za france zinavyotumika kujinufaisha huku zikiwaacha waafrika hoi na vita
3: Treblinka -suvivors stories - unyama wa hitler dhidi ya wayahudi huko poland ni true story ya movie sobibor
4: bermuda triangle- moja ya sehemu duniani ambapo inasemekana all natural forces acting on our earth are zero i.e ship will sink ,planes will fall , fact ni kuwa hakuna kiumbe au chombo kilichokwenda hapo na kikarudi.
5: All engine failed - Ba jumbo jet 747 survivors 1982 , pilots skills at its best
 
Kuna moja inautwa "THE SHRUB OF TURIN RESEACH" Hii inahusu Vatican walivyokubali kutoa kipande cha msalaba alichigongewa YESU na kuweza kufanya carbon 14 dating, if Is true that up to the present the shrub JESUS crucified aged 2000 years!
 
kuna nyingine inaitwa gasland. inazungumzia jinsi uchimbaji wa gas unavyoharibu mazingira. gas ilichanganyiiikana na maji kiasi ukiwasha moto maji yanayotoka bombani yanaawaka moto. pia nilijua kumbe marekani wana gas nyingi sana. niliogopa sana yanayoendelea mtwara ukichukulia na hawa wahandisi mazingira mizigo.
 
We might be sharing the same mood ! Ila kuna baadhi ulizotaja ni conspiracy theories

Sijakuelewa mkuu, thread inahusu Documentaries ambazo tumeziona. Sasa mambo ya conspiracy theory yanatoka wapi tena? Kwani ikiwa ni ya conspiracy theory inakuwa sio documentary?Muwe mnaelewa kwanza thread kabla ya ku-comment.
 
Sijakuelewa mkuu, thread inahusu Documentaries ambazo tumeziona. Sasa mambo ya conspiracy theory yanatoka wapi tena? Kwani ikiwa ni ya conspiracy theory inakuwa sio documentary?Muwe mnaelewa kwanza thread kabla ya ku-comment.

Mkuu hatubishani tunaeleweshana!! Ndio thamani halisi ya jamvi hili , kuna tofauti kati ya documentary na conspiracy theories japo zote huonekana kama zinafanana , documentary ni factual story zilizowahi kutokea kunakuwa na msimuliaji ambaye anakuunganisha na wahusika wa stori kwa kuwahoji au kuchukua mawazo yao, mara zote ,yeye huwa hayuko upande wowote wa story .nia na madhumuni ni kukupa wewe msikilizaji uelewa wa jambo linalozungumziwa bila kukuchagulia upande..
conspiracy theories nazo huwa ni fact zilizowahi kutokea , tofauti ni kuwa msimuliaji huwa ana upande anaoelemea na wahusika wanaohojiwa au kutoa maoni huwa wahusika kamili wa tukio, ambao hutoa maoni ya kushabihiana na mawazo ya msimuliaji ,malengo hasa ni kukuaminisha mambo ambayo mtengenezaji au msimuliaji anadhani yako hivyo.
mkuu mara nyingi documentary sources zake huwa ni news tv channels science findings and the likes , bbc cnn discovery nat geo history chanell e.tc na unaweza kutrace mpaka siku zilipokuwa aired kwa mara ya kwanza ,conspiracy mara nyingi hutokea kwa kikundi au mtu fulani ambaye anaopingana na serikali yake kwa sababu kadhaa, nyingi ya theories zinakufikia kwa namna ya dvd ,kwa sababu sources zake sio reliable,mfano michael moore ni maarufu sana amerika kwa upande wa conspirancy.
 
kama ni mpenzi wa documentaries share ulizoangalia pamoja nasi. itapendeza ukitueleza kidogo inahusu nini. mimi naanza na darwins niightmares. hii imetengenezewa mwanza tanzania na inazungumzia jjinsi samaki wasivyo nufaisha wenyeji..
wewe umeona zipi?

Journey towards the edge of the universe

Life in Kibera
 
Back
Top Bottom