Kwa wapenzi wa documentaries

Kwa wapenzi wa documentaries

nilukuwa natafuta hiyo documentary ya enron nimeikosa ila nimepata kitabu, kiko bomba sana

Oh pole!! lakini hutakiwi kuikosa !!
Fanya hivi , kwenye search bar type "smartest guys in the room" nina asume kuwa unatumia torrents as your downloading means , hakikisha kwenye list yako ya search engines ipo bitsnoop, pirate bay , kickass ,vector etc.. Mkuu unlike movies or music ,documentaries hazipatikani kila search engines.
kama unatapendelea kusikiliza nenda bbcpodcast/documentary zipo nyingi sana pale hadi za miaka ya nyuma .unaweza ku downloads na ku save as mp3,
 
Kuna hii "Three strike lifers"
Inahusu sheria iliyopitishwa huko california miaka ya tisini kudhibiti uhalifu, hasa repeat offenders! makosa mawili ya mwanzo wahalifu wanaweza kufungwa na kupata parole (msamaha) ,kosa la tatu lilikuwa linakufanya uende jela maisha bila msamaha , hata kama kosa hilo ni dogo , wahalifu walikuwa wanafungwa maisha hata kama aliiba soski tu kwenye kosa la tatu!!
 
Thanx kwa apology !!! ni uungwana kubadilishana mawazo bila kukwaruzana , that's great!

Mkuu kuna tofauti ndogo sana kati (thin line between ) ya documentary na conspiracy, ingawa zinafafana sana namna ya kuleta ujumbe.,nadhani hata uienda wikipedia wamefafanua!. lengo la documentary ni kuleta uelewa wa wewe unayesikiliza au kuangalia kipindi hicho, ulike conspiracy lengo lake ni kukuchagulia upande wewe msikilizaji kwa kukupa taarifa za upande fulani, ndio maana nikakwambia kuwa mara nyingi huwa haziwi aired kwa kuwa contents zake ni uchochezi dhidi ya serikali au kikundi fulani.

Umekuwa ukirudia kuwa umeangalia documentary nyingi ,mi nasema nimeziona za kutosha !! naepuka kukwambia nimeziona ngapi sababu sikumbuki na wingi unaosemea siujui unatumia kipimo gani.katika list yako, smart guys (Enron) ni moja ya documentary ,ile ya farenheit 9/11 ni conspiracy.

Kifo cha rais JFK ni moja vifo vyenye conspiracy nyingi sana , kina husishwa na mafia , kuna wenye kuhusisha na russia's KGB , inner cycle haters , womenising habits za JFK .n.k, nimeangalia filamu za kutosha kuhusiana na kifo cha rais huyo ,mind you siku kennedy anauwawa body guard alikua Clinton Hill, maelezo yake ukisikiliza utagundua kifo kilichotokana na just one hatter.

next time chunguza unachoangalia !! ukiona narrator anaelemea upande fulani na wachangiaji wako upande wa msimuliaji jua umenasa kwenye mtego wa conspiracy, It's a bit tricky kufahamu hilo, kwa kuwa nao ni maexpert wa kufanya idea zao kuwa karibu na ukweli,


Mkuu naona we have to agree to disagree kwani inaonekana tuna uelewa tofauti, anyway it was great discussion, I really enjoyed it. Tuendelee kuelimishana kupitia jukwaa letu la JF.
 
wakuu beefinjector na t blj mmetisha sana. kuna hii nyingine inaitwa congo: the river that swallow all rivers. inazungumzia course ya mto congo. kumbe chanzo chake ni huko rukwa kwenye kalambo falls!. pia huu ni mto wa pili kwa ukubwa duniani! (by water volume). ni documentary ya BBC na ni nzuri sana.
 
Last edited by a moderator:
Oh pole!! lakini hutakiwi kuikosa !!
Fanya hivi , kwenye search bar type "smartest guys in the room" nina asume kuwa unatumia torrents as your downloading means , hakikisha kwenye list yako ya search engines ipo bitsnoop, pirate bay , kickass ,vector etc.. Mkuu unlike movies or music ,documentaries hazipatikani kila search engines.
kama unatapendelea kusikiliza nenda bbcpodcast/documentary zipo nyingi sana pale hadi za miaka ya nyuma .unaweza ku downloads na ku save as mp3,
thanks mkuu. lakini nimependa sana kitabu. mi sio mtu niliyesoma biashara hivyo nafurahi kujifunza vitu kama liabilities, equity, poisonous pills, golden parachute na ishu kibao kuhusu biashara.
 
kama ni mpenzi wa documentaries share ulizoangalia pamoja nasi. itapendeza ukitueleza kidogo inahusu nini. mimi naanza na darwins niightmares. hii imetengenezewa mwanza tanzania na inazungumzia jjinsi samaki wasivyo nufaisha wenyeji..
wewe umeona zipi?

me naitafuta hiyo mkuu we uliipataje kwani
 
Kumbe JF pia kuna wapenzi wa documentaries. Huu mimi ni ugonjwa wangu, napenda zaidi Documentaries kuliko hata movies. Kali nilizoziona mpaka sasa ni :

1.Bowling for Columbine (Kuhusu wanafunzi wa Columbine high school, huko Colorado USA walivyowaua wenzao na gun culture huko
Marekani kwa ujumla)

2.Inside Job (Kuhusu nani hasa walihusika kusababisha global financial crisis mwaka 2008)

3.AIDS Inc. (Kuhusu jinsi ambavyo tatizo la Ukimwi limegeuzwa kuwa la kisiasa na si la kiafya)

4.Fahrenheit 911 (Kuhusu jinsi wamarekani walivyoongopewa na serikali yao mpaka wakakubali kuvamia Iraq baada ya matukio ya 9/11)

5.The smartest guys in the room (Kuhusu jinsi Kampuni kubwa ya nishati ya ENRON ilivyoporomoka)

6.Capitalism - a love story (Hii ni kama Inside Job hapo juu)

7.Religulous (Bill Maher ana-exprole imani za dini mbalimbali kubwa duniani)

8.Sicko (Inahusu jinsi gani mfumo wa huduma za afya nchini Marekani ulivyokuwa mbovu)

9.How to get rich selling drugs (Hii inajieleza yenyewe, utakutana na wataalamu wa shughuli hizo)

10.Inside the American Mob (Part 1-6) (Kwa wale wanaopenda kujua kuhusu historia ya American Mafia hizi zitawafaa)

11.The Grizzly Man ( Timothy treadwell aliwapenda sana Grizzly Bears wa huko Alaska, akaenda kuishi sehemu wanazoishi ili kufuatilia
maisha ya na "kuwalinda". Akaja kuuawa, na Bears hao hao aliokuwa anawalinda!)

12.Documentaries zoote kuhusu Tupac

13.Something from nothing: The art of Rap ( Hii inahusu history ya muziki wa rap)

14.Welcome to Deathrow ( Historia ya mojawapo ya hip hop record label zilizopata umaarufu mkubwa)

15.Beef (Part 1-4) (Huhusu historia ya beef (malumbano) kwenye muziki wa rap)

16.Chasing Maddoff (Whisleblowers waliokuwa wakimfuatilia tapeli Bernard Maddoff)

17.The Carter Documentary (Maisha ya Lil Wayne)

18.Living with Michael Jackson ( Mwandishi wa habari Martin Bashir alipewa nafasi ya kuishi na Michael Jackson kwa miezi 6)

19.Backstage (Roc-a-fella, Ruff Ryders Hardknock Life Tour)

20.Street is watching ( Documentary ya kwanza ya Jay Z)

21.Fade to black ( Pia ya Jay Z)

Na nyingine nyingi siwezi kutaja zote.

Mdau kwenye list yako mi nimeambulia namba 18 Living with Michael Jackson...I guess na moja ilikua inaongelea "the man behind Tupac's death"
Otherwise documentary niliziwai ziona na kuzifurahia no
The Men Who Built America (hii ndio my favorite) itafuteni wadau mtaipenda inahusu how America rose to become the strongest capitalist country na jinsi hao matajiri wa kipindi hicho walivyokua wanaziona opportunities na kuzidominate..
Nyingine ni "how CIA protects US president "
Steve Jobs the documentary..
Killing of Lincoln...
Downs Nightmares
D.Day how hitler was defeated
 
kuna nyingine inaitwa chasing ice. inahusu ushahidi mabadiliko ya tabia nchi kwa kuangalia kuyeyuka kwa barafu.. ni nzuri kwa wale wanaopenda documentary za mazingira.
 
1.The Art of war- Sun Tsu (A Chinese general who wrote down the guidelines of how war should be fought and won repeatedly. Alikabithiwa jeshi la 30K men na akapiga watu 10 times the size, principle alizoziandika zilipredict fall of Nazi, na defeat of U.S in Vietnam. Mbinu alizoandika zinatumika sasa in not only war but biashara na kadha wa kadha. Very interesting stuff): Fav quote "If you are far from the enemy, make him believe you are near."
Sun Tzu
.....
2.
PLANET ANT- LIFE INSIDE AN ANTCOLONY BBC DOCUMENTARY:(well jamaa wamechukua queen wa sisimiz na kumuweka kwenye transparent container yenye chambers mbali mbali kukiwa na vyakula na cameras everywhere. I was amaized jinsi sisimizi wanavyoshilikiana na kulima uyoga huku chemba moja ikiwa ni ya maiti tu na uchafu na inakua monitored constantly! Also very interesting)
.......
3.HOW TO KILL A HUMAN BEING DOCUMENTARY:(Hii ni very dark, na kama una roho nyepesi sio ya kuangalia, jamaa wanaangalia njia zinazotumika kuulia wahalifu i.e kunyonga, sindano za sumu, gas chambers na electrocution. Ambazo the thing walichoona ni kua hizi njia ni horribly painful. Zote unakufa in huge pain hata sindano pia, so jamaa wanatafuta njia ya kumuua binadamu kiungwana bila maumivu. Oh Spoiler, walifanikiwa kupata njia hio na walipopeleka pendekezo serikalini majibu waliyopewa ni basically "Punishment is suppose to be painful and
unpleasant..." If this stuff is ur thing then go for t!!(I like watching hizi dark documentary kama kuna m2 like that hit me up, zingine naogopa hata kuziweka hapa!! )
...

4.Also kuna documentaries za scientists: hizi pia zimenishika kweli: mainly Nikola Tesla, Isaac Newton, Leonardo Da Vinci, Albert Einstein, Fibonnacci and
Archimedes!! These men wana IQ off the chart maisha yao ni interesting mwanzo mpaka mwisho!!
.....
5. Nuclear Bombs: Sijui kama lads mshaona shear power of this bombs, if not then this will show it to you!

LINKS
1.HISTORY CHANNEL - The Art of War Sun Tsu Full Documentary - YouTube
2.Planet Ant - Life Inside The Colony (Ant Documentary) Made by the BBC - YouTube
3.How to Kill a Human Being Documentary - YouTube

4 SCIENTISTS
 
ila hata ushahidi uweje uwepo wa samaki wattu ni hekaya tu.

Mkuu kwani nini kazi ya ushahidi...nielewavyo mimi kazi ya ushahidi ni kuprove any fact..
Sasa kama wewe huna ushahidi unaopinga ushahidi unatolewa na watafiti..au unabisha tu kwa kuwa hutaki kukubali...
Napenda documentaries because huwa zinatoa unknown/hidden facts au zinakupa invented/discovered facts mwisho nakufanya huwe na mawazo ambayo hajajifunga..you thinking outside the box
 
1. Seconds from Disaster
2. Nazi Underworld
3. Appocalypse of WW II (nzuri sana.
4. The Secreat of CIA Black Ops
5. Banged up Abroad
6. The Killing of Kennedy
7. Nightmare Next Door
8. Deadly Women
9. The Monster of Belgium
10. Forensic Detectives
11. Frenemies
12. Who on Eearh Did I Marry
13. Undercover Detectives
14. Dead or Alive
15. Al Nakba (very interesting)
16. The Mossad
17. Megafactories
18. The Mafia Ring
19. Korean Airline 007
20. I was Murdered
21. Deadly Sins
22. Couples who Kill
23. Disappear
24. The Aviators
25. Combat Countdown
26. On the Case with Paula Zahn
27. Hollywood: True Story
28. Treasure Quest
And so on.. Ila No. 3 & 15 are deadly the best.
 
Mkuu kwani nini kazi ya ushahidi...nielewavyo mimi kazi ya ushahidi ni kuprove any fact..
Sasa kama wewe huna ushahidi unaopinga ushahidi unatolewa na watafiti..au unabisha tu kwa kuwa hutaki kukubali...
Napenda documentaries because huwa zinatoa unknown/hidden facts au zinakupa invented/discovered facts mwisho nakufanya huwe na mawazo ambayo hajajifunga..you thinking outside the box
sure mkuu. niliandika vile sababu ninajua wanachoita samaki mtu ni samaki aina ya nguva.
 
Mkuu hatubishani tunaeleweshana!! Ndio thamani halisi ya jamvi hili , kuna tofauti kati ya documentary na conspiracy theories japo zote huonekana kama zinafanana , documentary ni factual story zilizowahi kutokea kunakuwa na msimuliaji ambaye anakuunganisha na wahusika wa stori kwa kuwahoji au kuchukua mawazo yao, mara zote ,yeye huwa hayuko upande wowote wa story .nia na madhumuni ni kukupa wewe msikilizaji uelewa wa jambo linalozungumziwa bila kukuchagulia upande..
conspiracy theories nazo huwa ni fact zilizowahi kutokea , tofauti ni kuwa msimuliaji huwa ana upande anaoelemea na wahusika wanaohojiwa au kutoa maoni huwa wahusika kamili wa tukio, ambao hutoa maoni ya kushabihiana na mawazo ya msimuliaji ,malengo hasa ni kukuaminisha mambo ambayo mtengenezaji au msimuliaji anadhani yako hivyo.
mkuu mara nyingi documentary sources zake huwa ni news tv channels science findings and the likes , bbc cnn discovery nat geo history chanell e.tc na unaweza kutrace mpaka siku zilipokuwa aired kwa mara ya kwanza ,conspiracy mara nyingi hutokea kwa kikundi au mtu fulani ambaye anaopingana na serikali yake kwa sababu kadhaa, nyingi ya theories zinakufikia kwa namna ya dvd ,kwa sababu sources zake sio reliable,mfano michael moore ni maarufu sana amerika kwa upande wa conspirancy.

Kwa uelewa wangu nahisi conspiracy ni shemu ya documentary na wakati huo huo inawezakua ni documentary au movie..hii inategemeana na nia ya mtaarishaji..mfano kuna documentary ya "killing of Lincoln " na movie inayoitwa "Abraham Lincoln " zote zinaongelea conspiracy behind the death OG Lincoln...
Documentary zote ni narrative stories ambazo uhoji watu tofauti tofauti hili kutoa facts za jambo fulani.
Kwahiyo Documentary fulani inaweza kuwa katika muktaza wa conspiracy while nyingine ikawa katika muktadha wa proved facts lakini zote zinabaki katika mwamvuli mmoja wa documentary...
 
Kuna moja inautwa "THE SHRUB OF TURIN RESEACH" Hii inahusu Vatican walivyokubali kutoa kipande cha msalaba alichigongewa YESU na kuweza kufanya carbon 14 dating, if Is true that up to the present the shrub JESUS crucified aged 2000 years!

I guess hii ilikua inahusu sanda ya Yesu na sio msalaba...au zipo mbili mkuu..?? Maana niliyoiona mimi ni kuhusu sanda
 
Mi napenda sana za kijasusi!!! Juzi nimemaliza moja inayoongelea shirika la kijasusi la israel yaani MOSSAD...ya CIA ndo nimeimaliza!!!

Kuna hizi za hawa ma injinia wanavyoendesha ma project makubwa duniani!!! Hizi zinanivutia sana hasa jinsi jamaa wanavyofanya kazi!!!
 
Mi napenda sana za kijasusi!!! Juzi nimemaliza moja inayoongelea shirika la kijasusi la israel yaani MOSSAD...ya CIA ndo nimeimaliza!!!

Kuna hizi za hawa ma injinia wanavyoendesha ma project makubwa duniani!!! Hizi zinanivutia sana hasa jinsi jamaa wanavyofanya kazi!!!
mimwenyewe napenda sana za mainjinia. nilicheki moja wanaonyesha uujenzi wa hongkong international airport ni nzuri sana. kuna nyingine walikuwa wana design reli kukatisha bahari ya antlantic nayo nzuri sana. natafuta zinazohusu ujenzi wa hoover na 3 gorge dams.
 
Back
Top Bottom