Kwa wapenzi wa documentaries

Kwa wapenzi wa documentaries

kama ni mpenzi wa documentaries share ulizoangalia pamoja nasi. itapendeza ukitueleza kidogo inahusu nini. mimi naanza na darwins niightmares. hii imetengenezewa mwanza tanzania na inazungumzia jjinsi samaki wasivyo nufaisha wenyeji..
wewe umeona zipi?

 
Last edited by a moderator:
Wakuu Kuna documentary nzuri za al jazeera nimeziona IV karibuni kupitia YouTube just search....risking it all zitakuja ,actually wanazungumzia jinsi watu wqnavyo risk maisha ili kupata mkate wao WA kila cku
 
kuna nyingine inaitwa zeitgeist. hii documentary inasisimua sana. inazungumzia conspirancies around religion, war on terror, 911 na uanzishwaji wa federal reserve bank.
 
kuna nyingine inaitwa the world according to monsanto. inafanana sana na food inc. kama unakumbuka hii kampuni ilizua mjadala mkubwa sana bungeni
 
"Extraordinary people: The boy with incredible brain" hii iko sawa kama The real rain man, zote zinahusu watu wenye akili zisizo za kawaida mfano kufanya hesabu kubwa kutumia kichwa
 
kuna nyingine nimecheki karibuni inaitwa money as debt. inaelezea historia ya banking na historia ya pesa. ziko tatu ila nimecheki 1&2. ni documentary moja nzuri sana na inafungua sana akili.
 
Daaa Nimefurah nilipoiona hii thread itabid niziyafute zote zinazosemekana ni nzur me nimeona ile ya Oasis of the Seas inayoonyesha meli kubwa dunian.
World Biggest Airliner (Airbus A380) ndege kubwa dunian, wanaonyesha jins ilivyotengenezwa had ilivyoruka mara ya kwanza.
Dubai Palm Island inaonyesha jinsi hicho kisiwa huko Dubai kilivyojengwa.
 
Daaa Nimefurah nilipoiona hii thread itabid niziyafute zote zinazosemekana ni nzur me nimeona ile ya Oasis of the Seas inayoonyesha meli kubwa dunian.
World Biggest Airliner (Airbus A380) ndege kubwa dunian, wanaonyesha jins ilivyotengenezwa had ilivyoruka mara ya kwanza.
Dubai Palm Island inaonyesha jinsi hicho kisiwa huko Dubai kilivyojengwa.
nimeiona hii oasis of the seas. inastaajabisha sana. harafu mbona wabeba maboksi wote ni blacks!?.
 
kuna moja nimeangalia juzi inaitwa the russian mafia. ina elimu nzuri.
 
Ingieni Youtube angalieni Seven sisters imetayalishwa na Al Jazeera ni zaidi ya elimu humo kuna untold story.
 
hivi karibuni nimecheki documentary moja inaitwa food inc. inazungumzia jinsi makampuni makubwa yalivyomonopolize biashara ya chakula na athari zake kwa wakulima na walaji. jinsi azam anavyojitanua na sisi itakuja sasa hivi. si mbaya kujitanua ila documentary kama hizi zinaatakiwa kutusaidia kuweka taratibu kuepuka maafa yawapatao wenzetu. ni documentary nzuri sana

Food inc nimeipenda
 
inawezekana labda kutokana na elimu yao ndogo wakaamua wafanye kaz hizo
wazembe kweli! madereva wa forklift wote ni wao. hamna kitu muhimu duniani kama elimu. blacks we learn this the hard way.
 
Huu muda unaoutumia JF unashindwa kuingia Youtube na kuangalia au download kwenye cd? Unafahamu maana ya untold story?
ungeweka hapa si kwa faida yangu tu wengi wanapita hapa wangefaidika. dhumuni la uzi ni kusaidiana kuchagua documentary na si kwamba tumeshindwa kwenda IMDb kuperuzi. ukitaja jina tu unakuwa haujasaidia.
 
Back
Top Bottom