Kwa wapenzi wa documentaries

Kwa wapenzi wa documentaries

where to invade next. ni documentary ya Michael Moore. inaongelea mambo ambayo USA inaweza jifunza kutoka mataifa mengine.

where_to_invade_next_grande.png
 
Kumbe JF pia kuna wapenzi wa documentaries. Huu mimi ni ugonjwa wangu, napenda zaidi Documentaries kuliko hata movies. Kali nilizoziona mpaka sasa ni :

1.Bowling for Columbine (Kuhusu wanafunzi wa Columbine high school, huko Colorado USA walivyowaua wenzao na gun culture huko
Marekani kwa ujumla)

2.Inside Job (Kuhusu nani hasa walihusika kusababisha global financial crisis mwaka 2008)

3.AIDS Inc. (Kuhusu jinsi ambavyo tatizo la Ukimwi limegeuzwa kuwa la kisiasa na si la kiafya)

4.Fahrenheit 911 (Kuhusu jinsi wamarekani walivyoongopewa na serikali yao mpaka wakakubali kuvamia Iraq baada ya matukio ya 9/11)

5.The smartest guys in the room (Kuhusu jinsi Kampuni kubwa ya nishati ya ENRON ilivyoporomoka)

6.Capitalism - a love story (Hii ni kama Inside Job hapo juu)

7.Religulous (Bill Maher ana-exprole imani za dini mbalimbali kubwa duniani)

8.Sicko (Inahusu jinsi gani mfumo wa huduma za afya nchini Marekani ulivyokuwa mbovu)

9.How to get rich selling drugs (Hii inajieleza yenyewe, utakutana na wataalamu wa shughuli hizo)

10.Inside the American Mob (Part 1-6) (Kwa wale wanaopenda kujua kuhusu historia ya American Mafia hizi zitawafaa)

11.The Grizzly Man ( Timothy treadwell aliwapenda sana Grizzly Bears wa huko Alaska, akaenda kuishi sehemu wanazoishi ili kufuatilia
maisha ya na "kuwalinda". Akaja kuuawa, na Bears hao hao aliokuwa anawalinda!)

12.Documentaries zoote kuhusu Tupac

13.Something from nothing: The art of Rap ( Hii inahusu history ya muziki wa rap)

14.Welcome to Deathrow ( Historia ya mojawapo ya hip hop record label zilizopata umaarufu mkubwa)

15.Beef (Part 1-4) (Huhusu historia ya beef (malumbano) kwenye muziki wa rap)

16.Chasing Maddoff (Whisleblowers waliokuwa wakimfuatilia tapeli Bernard Maddoff)

17.The Carter Documentary (Maisha ya Lil Wayne)

18.Living with Michael Jackson ( Mwandishi wa habari Martin Bashir alipewa nafasi ya kuishi na Michael Jackson kwa miezi 6)

19.Backstage (Roc-a-fella, Ruff Ryders Hardknock Life Tour)

20.Street is watching ( Documentary ya kwanza ya Jay Z)

21.Fade to black ( Pia ya Jay Z)

Na nyingine nyingi siwezi kutaja zote.
Mkuu huu ndo ugonjwa wangu mkuu,nitazipataje hizi...am getting excited!
 
Mimi huu ndo ugonjwa wangu mkuu.Ambazo ninazo mpaka sasa hivi hapa;
1) Extreme engineering-Dubai Palm Island(walikuwa wanaonyesha jinsi walitengeneza kisiwa cha kifahari dubai ambacho hakikuwepo)
2) Fabolous life of rich billionaires
3) Thriller in manila (muhammad ali)
4) The true story of killing Pablo Escobar
5) Tyson
6) Made in America (Jay Z)
7) Dr.Dre-Behind the music
8) J.Cole-Made in America
9) Kendrick Lamar-Theses walls
10) Aphrosidiac-The sexual secret of marijuana
11) Gun, Germs and steel-conquest,into the tropics,out of eden(factor zilizofanya wazungu walivyoweza kuwa mbele kimaendeleo kuliko race zingine)
12) Human Planet-Grassland,jungle,seas,arctic,mountains,rivers(maisha ya binadamu katika mazingira hayo tofauti)
13) King Leopard Ghost-unyama wa king leopord huko kongo
14) Last days in vietnam
15) The assasination of Patrick Lumumba
16) Marley(maisha ya Bob Marley)
17) When we were kings (muhammad ali -kinshasa)
18) Terror in the mall-tukio la kigaidi West gate nairobi
19)American Pimps-Wauza malaya wa marekani
20)Soul power

Na nyingine nyingi.Sasa hivi nataka niachane na movie niangalie documentries tu kama 100
 
Mi napenda story za crime n how they were solved. Forensic files or forensic detectives. Forensic technology imefika mbali. I wish i was a cop
 
sherpa. inahusu wapagazi na upandaji wa mlima everest.
sherpa-02.jpg
 
Mi napenda story za crime n how they were solved. Forensic files or forensic detectives. Forensic technology imefika mbali. I wish i was a cop
Nitajie filamu moja uliyo angalia hivi karibuni ili niitafute na kuiangalia weekend hii.
 
73501.jpg


😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀...sorry mkuu ila hiki kitu kimenichekesha sana!!!
 
Kama ni mpenzi wa documentaries share nasi baadhi kati ya ulizoangalia. Itapendeza ukitueleza kidogo inahusu nini. Mimi naanza na darwins niightmares.

Hii imetengenezewa Mwanza Tanzania na inazungumzia jinsi samaki wasivyo nufaisha wenyeji.
asian_carp_mississippi_darwins_nightmare_.jpg


wewe umeona zipi?
Kuna 42 ,inaongelea ubaguzi wa rangi ulivyotamalaki kipindi hicho ncjini Marekani, Jack Robinson anavunja mwiko na kuwa mweusi wa kwanza kucheza major league baseball,Alibaba shida balaa,
Halafu kuna hii ya mwaka huu ya the Race" ikimuongelea mwanariadha mweusi wa Marekani ,Jesse Owen ambaye katika michezo ya olympics 1936 alishinda medali tatu za dhahabu lakini bado serikali ya Marekani ilikataa kumtambua na kumthamini
 
winter on fire: hii iinahusu maandamano ya miezi mitatu ya wananchi wa Ukraine kuiangusha serikali ya Yanukovichy. ni nzuri, ipo organized na inasisimua sana.

131201133946-09-ukraine-protest-1201-horizontal-gallery.jpg

Hii documentary nimeingalia nikaipenda sana. Scene nyingi zilikuwa na matukio halisi ya kipindi cha kutaka mabadiliko..
 
Home.
Inaelezea jinsi gani mazingira yanachafuliwa kwa shughuli za binadam. Kikubwa kweny documentary hii imechukuliwa sehem nyingi za dunia hii. Hadi tz maeneo ya kanda ya ziwa kwenye shughuli za uvuvi imeonyesha.
 
Back
Top Bottom