Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Haka kathread kumbe ka wamama...

anyways...

Michepuko naitamani, mke nampenda.

Mwanaume asiyechepuka ni Yesu peke yake...
 
Aiseee wewe ni Akili njema haaaa
Where have you been all this time
Madini haya

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndiyo hivyo mwaya! Sifa na Utukufu apewe Bwana! Unajua nimekuwa nikitafali Neno la Mungu pale palipoandikwa "Mume na Mke wasiachane isipokuwa Kwa Habari ya Uasherati " nikaelewa Mungu ni Mkuu sana, alijua kuna nyakati Kama hizi kutakuwa na magonjwa yasiyo na tiba wala kinga ambayo Kwa sehemu kubwa hupatikana kupitia Uasherati , Kwa hiyo Mungu ikabidi aingilie kati aruhusu Talaka pale tu itakapothibitika pasina Shaka kuwa mmoja wa wana ndoa Au wote wamefanya uasherati hapo Talaka ruksa! Sasa nimekuwa nikiwauliza wachungaji wachache Kwenye semina mbalimbali za ndoa kuwa kwanini ninyi huwa mnadiscourage Watu kupeana Talaka wakati maandiko yako wazi na Kama ni swala la uasherati limethibitika na pengine Kama ni mtoto ameshazaliwa nje ya ndoa? Wakasema inabidi kusameheana, nikawaambia sawa lakini kusameheana kupo na swala la kuachana ni lingine na Kama ni hivyo ingeandikwa mojamoja kuwa Watu wasemeheane wasiachane !
 
Wanaume ni polygamy in nature...na wanawake tumeumbwa wengi kuliko wanaume...hiyo unaongeza demand ya nyumba ndogo...kila mwanaume angekuwa strictly na mke wake...basi kuna wanawake wangeishi na kufa bila wanaume kabisa....naona shida inaanzia hapo...wanaume siku hizi ndo wanategwa na kutongozwa coz wamekuwa scarcty resource.....ni wanaume wachache sana tena wenye hofu ya Mungu kweli kweli ambao wanaweza kuhandle hiyo hali ya kutongozwa....So ili mwanaume asichepuke inategemea na hofu ya Mungu aliyonayo yeye na sio viuno vyetu...sababu hata huko anakoenda mwenzio naye anakata ili amshike...tena anado more ili amkamate...tuwaombee wawe na hofu ya Mungu na sio hofu zetu....lkn ukiwa kwenye ndoa hilo lisikutishe....wanafika mahali wanatuliaga wenyewe tu....tunamifano ya ndugu na baba zetu...walisumbua weeeee ila mwisho wa siku wametulia....Tuendelee kupiga goti na badala ya kumbeba mume kumpeleka Bar...tuwabebe na kuwapeleka katika nyumba za ibada....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo hivyo mwaya! Sifa na Utukufu apewe Bwana! Unajua nimekuwa nikitafali Neno la Mungu pale palipoandikwa "Mume na Mke wasiachane isipokuwa Kwa Habari ya Uasherati " nikaelewa Mungu ni Mkuu sana, alijua kuna nyakati Kama hizi kutakuwa na magonjwa yasiyo na tiba wala kinga ambayo Kwa sehemu kubwa hupatikana kupitia Uasherati , Kwa hiyo Mungu ikabidi aingilie kati aruhusu Talaka pale tu itakapothibitika pasina Shaka kuwa mmoja wa wana ndoa Au wote wamefanya uasherati hapo Talaka ruksa! Sasa nimekuwa nikiwauliza wachungaji wachache Kwenye semina mbalimbali za ndoa kuwa kwanini ninyi huwa mnadiscourage Watu kupeana Talaka wakati maandiko yako wazi na Kama ni swala la uasherati limethibitika na pengine Kama ni mtoto ameshazaliwa nje ya ndoa? Wakasema inabidi kusameheana, nikawaambia sawa lakini kusameheana kupo na swala la kuachana ni lingine na Kama ni hivyo ingeandikwa mojamoja kuwa Watu wasemeheane wasiachane !
Swali zuri umeuliza lakin hakuna kitu ambacho Mungu anachukia kama kuachana,

Mungu anachukia kuachana
Mungu anachukia kuachana

Ukibase kwenye Bible katika upande mmoja, unaweza ona Bible inajichanganya lakini sivyo

Ukitakata kuelewa Bible kuwa vizur inabidi utulivu na Roho Mtakatifu ndani yake akufundishe

Mungu aliumba mke na mume( Hii ni taasisi)

Ndio maana shetani anaipiga vita kwa kuleta kuachana,
Hilo andiko lipo lakin usi egemee Mungu karuhusu kuachana

Mwanamke/mwanaume ataacha wazazi wake ataambatana na mume/mke wake

Na alicho kiunganisha mtu binadamu asikitenganishe, ni kifo tuuuu ni cha kutenganisha


Kama huko kuachana watu wengi wangeachana katika hizi ndoa, cha muhimu jua nini position yako katika ndoa, ukijua nini position yako katika ulimwengu wa roho na nini nguvu yako katika nafasi kama mwanamke kamwe huto tetereka

Sio kuwa huto face vita katika ndoa, vita vipo lakini Biblia niisomayo inanianiambia Hazitafanikiwa, isaya 54:17

Ila know ua position, know your position,

Jua jinsi ya kuitumia, jua jinsi ya kuitumia

Ukijua jinsi ya kuitumia talaka haitokuwa kwenye kinywa cha mwanamke,

Mwanamke mmoja ni jeshi kubwa mnooo

Sasa kama mwanamke hajui kama yeye ni jeshi lazima adui aingilie kati

Usipo jua haki zako lazima shetani akukamate, lazima akuletee na andiko watu wasiachane ila kwa uzinzi

Unajua shetani anajua Bible yote, na Biblia Yangu inaniambia andiko huua lakini neno huhuisha hivyo shika Neno na sio andiko

Neno linakuja na Roho Mtakatifu ndani yake na lina uzima na pumzi ndani yake kama neno ni uzima haliwez ua kitu cha Mungu, anaye ua ni shetani ambalo ni andiko linakuja kama Hadithi jins lilivyo halina nguvu ndani yake na mtu analibeba tuu,

(2corinth 3:6a) si wa andiko, bali wa roho, kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha

Mungu anaposema mwanamke atamlinda mume wake, ni katika vitu vingi mno, na kwa njia ya maombi,

Wewe ni Jeshi kubwa

Mungu anapo kupa mume nina uhakika uliomba, na Mungu akakupa huyu ndiye kama ni mume Mungu kakupa, Mungu sio dhalimu akupe mume ambaye baadaye anasema wataachana

Huyo sio Mungu tunaye mtumikia, huyo siyo Mungu tunaye muambudu aseme uongo Mungu wetu ni mkweli wala sio Muongo

Nina uhakika ulipo omba mume lazima alikupa jibu ndio ama siye , shida inakuja hapa kwetu sisi wamama au wadada kuolewa na waume ambao sio wetu

Ni hivi Mungu anapo sema nitakupa wa kufanana naye ina maana anakupa mtu ambaye utakuwa tayari kubeba udhaifu wake na yeye kubeba udhaifu wako,

Na kama unaona huwez beba udhaifu wa mwenzio huyo sio mume wako,

Mungu sio dhalimu narudia tena Mungu sio dhalimu

Hawez kukupa ndoa leo na baada ya mwaka ikavunjika sio Mungu tunaye mtumikia.

Mungu anatuwazia mema na wala si mabaya yeremia 29:11

[emoji115] [emoji115] kama anatuwazia mema hawez kutuachilia tuachane au uachane na mume wako

Unless otherwise hukumsikia Mungu wakati wa kuolewa ama ulimsikia na ukalazimisha kuolewa hata kama mlipendana na Mungu akaona huto dumu sababu sio match yako


Shida nyingi ni kutomsikia Mungu au kuweka kama husikii kama Mungu kakuambia sio mume wako subiria sababu Biblia inaniambia kuwa yeye anaujua mwanzo hadi mwisho, nina uhakika aliona hii ndoa itaishia nusu hivyo akatumia njia hadi ya ndoto kukuonya lakin unaamka unasema ndoto tuu

Lakin si ndoto ni Mungu anajaribu kukuambia

Udhaifu hatubebi tuu ila tuna ubeba katika kiti cha neema kwa maombi hadi mtu atakapo kaa sawa

Sasa ukiona huwez beba udhaifu wa mume kwa maombi hujui nini position yako as a praying woman

Au hakuwa mume wako uliingiia tu

Kiti cha Neema na Rehema ndipo tunapo pata mahitaji yetu na udhaifu wetu unashughulikiwa hapo

Mwanamke ni mlinzi kwa njia ya maombi, unaweza amua kuwa mke as mke au kuwa mke mlinzi sababu sio kila mke ni mlinzi, lakini kuna mke +mlinzi pia

Ukikaa katika hiyo position ya ulinzi na mke pia kila challenge inayokuja katika ndoa yako utajua tu kuna gap niliacha wazi ndio maana hichi kikapita

Yesu alipo mwambia Petro rudi nyuma ewe shetani
[emoji115] [emoji115]

Kwanini asimkemee Petro au amtoe Petro katika wanafunzi wake
Kwanini alimkemea shetani aliye ndani ya Petro?

Alijua kuwa sio Petro, ni shetani kamvaa Petro hivyo haku mpush away Petro ila alimkemea shetani aliye ndani ya Petro lakini Petro alibaki kuwa mwanafunzi wake

Hivyo unapo kutana na shida lazima ujue Petro sio wa kumfukuza ila shetani aliye ndani ya Petro ili Petro abaki atimize kusudi la Mungu.

Na unaona alicho ambiwa aliambiwa wewe ndiwe Petro juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu halitalishinda,
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni...

Mathayo 16:18-19
Huyo huyo Petro aliyevaliwa na shetani bado alipewa mamlaka kuu

In ua Presence Jesus is where I belong
 
Nje kuna vitu adimu ambavyo ukiomba nyumba kubwa, yataanza maswali "nani kakufundisha hii tabia".
 
Swali zuri umeuliza lakin hakuna kitu ambacho Mungu anachukia kama kuachana,

Mungu anachukia kuachana
Mungu anachukia kuachana

Ukibase kwenye Bible katika upande mmoja, unaweza ona Bible inajichanganya lakini sivyo

Ukitakata kuelewa Bible kuwa vizur inabidi utulivu na Roho Mtakatifu ndani yake akufundishe

Mungu aliumba mke na mume( Hii ni taasisi)

Ndio maana shetani anaipiga vita kwa kuleta kuachana,
Hilo andiko lipo lakin usi egemee Mungu karuhusu kuachana

Mwanamke/mwanaume ataacha wazazi wake ataambatana na mume/mke wake

Na alicho kiunganisha mtu binadamu asikitenganishe, ni kifo tuuuu ni cha kutenganisha


Kama huko kuachana watu wengi wangeachana katika hizi ndoa, cha muhimu jua nini position yako katika ndoa, ukijua nini position yako katika ulimwengu wa roho na nini nguvu yako katika nafasi kama mwanamke kamwe huto tetereka

Sio kuwa huto face vita katika ndoa, vita vipo lakini Biblia niisomayo inanianiambia Hazitafanikiwa, isaya 54:17

Ila know ua position, know your position,

Jua jinsi ya kuitumia, jua jinsi ya kuitumia

Ukijua jinsi ya kuitumia talaka haitokuwa kwenye kinywa cha mwanamke,

Mwanamke mmoja ni jeshi kubwa mnooo

Sasa kama mwanamke hajui kama yeye ni jeshi lazima adui aingilie kati

Usipo jua haki zako lazima shetani akukamate, lazima akuletee na andiko watu wasiachane ila kwa uzinzi

Unajua shetani anajua Bible yote, na Biblia Yangu inaniambia andiko huua lakini neno huhuisha hivyo shika Neno na sio andiko

Neno linakuja na Roho Mtakatifu ndani yake na lina uzima na pumzi ndani yake kama neno ni uzima haliwez ua kitu cha Mungu, anaye ua ni shetani ambalo ni andiko linakuja kama Hadithi jins lilivyo halina nguvu ndani yake na mtu analibeba tuu,

(2corinth 3:6a) si wa andiko, bali wa roho, kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha

Mungu anaposema mwanamke atamlinda mume wake, ni katika vitu vingi mno, na kwa njia ya maombi,

Wewe ni Jeshi kubwa

Mungu anapo kupa mume nina uhakika uliomba, na Mungu akakupa huyu ndiye kama ni mume Mungu kakupa, Mungu sio dhalimu akupe mume ambaye baadaye anasema wataachana

Huyo sio Mungu tunaye mtumikia, huyo siyo Mungu tunaye muambudu aseme uongo Mungu wetu ni mkweli wala sio Muongo

Nina uhakika ulipo omba mume lazima alikupa jibu ndio ama siye , shida inakuja hapa kwetu sisi wamama au wadada kuolewa na waume ambao sio wetu

Ni hivi Mungu anapo sema nitakupa wa kufanana naye ina maana anakupa mtu ambaye utakuwa tayari kubeba udhaifu wake na yeye kubeba udhaifu wako,

Na kama unaona huwez beba udhaifu wa mwenzio huyo sio mume wako,

Mungu sio dhalimu narudia tena Mungu sio dhalimu

Hawez kukupa ndoa leo na baada ya mwaka ikavunjika sio Mungu tunaye mtumikia.

Mungu anatuwazia mema na wala si mabaya yeremia 29:11

[emoji115] [emoji115] kama anatuwazia mema hawez kutuachilia tuachane au uachane na mume wako

Unless otherwise hukumsikia Mungu wakati wa kuolewa ama ulimsikia na ukalazimisha kuolewa hata kama mlipendana na Mungu akaona huto dumu sababu sio match yako


Shida nyingi ni kutomsikia Mungu au kuweka kama husikii kama Mungu kakuambia sio mume wako subiria sababu Biblia inaniambia kuwa yeye anaujua mwanzo hadi mwisho, nina uhakika aliona hii ndoa itaishia nusu hivyo akatumia njia hadi ya ndoto kukuonya lakin unaamka unasema ndoto tuu

Lakin si ndoto ni Mungu anajaribu kukuambia

Udhaifu hatubebi tuu ila tuna ubeba katika kiti cha neema kwa maombi hadi mtu atakapo kaa sawa

Sasa ukiona huwez beba udhaifu wa mume kwa maombi hujui nini position yako as a praying woman

Au hakuwa mume wako uliingiia tu

Kiti cha Neema na Rehema ndipo tunapo pata mahitaji yetu na udhaifu wetu unashughulikiwa hapo

Mwanamke ni mlinzi kwa njia ya maombi, unaweza amua kuwa mke as mke au kuwa mke mlinzi sababu sio kila mke ni mlinzi, lakini kuna mke +mlinzi pia

Ukikaa katika hiyo position ya ulinzi na mke pia kila challenge inayokuja katika ndoa yako utajua tu kuna gap niliacha wazi ndio maana hichi kikapita

Yesu alipo mwambia Petro rudi nyuma ewe shetani
[emoji115] [emoji115]

Kwanini asimkemee Petro au amtoe Petro katika wanafunzi wake
Kwanini alimkemea shetani aliye ndani ya Petro?

Alijua kuwa sio Petro, ni shetani kamvaa Petro hivyo haku mpush away Petro ila alimkemea shetani aliye ndani ya Petro lakini Petro alibaki kuwa mwanafunzi wake

Hivyo unapo kutana na shida lazima ujue Petro sio wa kumfukuza ila shetani aliye ndani ya Petro ili Petro abaki atimize kusudi la Mungu.

Na unaona alicho ambiwa aliambiwa wewe ndiwe Petro juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu halitalishinda,
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni...

Mathayo 16:18-19
Huyo huyo Petro aliyevaliwa na shetani bado alipewa mamlaka kuu

In ua Presence Jesus is where I belong

Kwenye baadhi ya mambo nimekuelewa! Lakini hebu niambie 1. uko na ndoa ya umri gani? 2. Naomba unisaidie kujua tofauti iliyopo kati ya Andiko na Neno. Ila bado nasisitiza lile andiko la kusema wanandoa wasiachane isipokuwa Kwa Habari ya uasherati hili andiko haikuwa Bahati mbaya kuwepo na kuandikwa limebeba kusudi la Mungu kabisa!
 
La sivyo Mungu asingesema Watu waachane inapothibitika kufanyika Kwa uasherati , angeishia kusema Watu wavumuliane tu! Talaka kiblia inaruhusiwa ili mradi uwepo ushahidi usio Shaka kuwa Mume Au Mke mwana do Au wote wamefanya uasherati /uzinzi
 
Kwenye baadhi ya mambo nimekuelewa! Lakini hebu niambie 1. uko na ndoa ya umri gani? 2. Naomba unisaidie kujua tofauti iliyopo kati ya Andiko na Neno. Ila bado nasisitiza lile andiko la kusema wanandoa wasiachane isipokuwa Kwa Habari ya uasherati hili andiko haikuwa Bahati mbaya kuwepo na kuandikwa limebeba kusudi la Mungu kabisa!
Nimeelezea huko juu vizuri tu rudia usome tena mumy

In ua Presence Jesus is where I belong
 
Nje kuna vitu adimu ambavyo ukiomba nyumba kubwa, yataanza maswali "nani kakufundisha hii tabia".
Kaka jambazi upo??
Wewe ndo unaendekeza tunayokataaa.
Watoto wa mitaani
Turudi kwenye kanuni Na mafundisho
Mambo gani ambayo mke au.mume atakuuliza umejifunzia wapi
Si unaweza jifunza hata kwa kusoma au kwenye kideo?
Acha hizo wewe Bandit Brother

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka jambazi upo??
Wewe ndo unaendekeza tunayokataaa.
Watoto wa mitaani
Turudi kwenye kanuni Na mafundisho
Mambo gani ambayo mke au.mume atakuuliza umejifunzia wapi
Si unaweza jifunza hata kwa kusoma au kwenye kideo?
Acha hizo wewe Bandit Brother

Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi We Heloo ujui kama huko maparokiani kuna kesi za kulalamikia mambo mfano, kubadili staili tu!
 
Hahaaaahahaaaaa! MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION INDEED! Basi yeyeakiwa ana dadisi K na wewe una dadisi. Sampuli za midushelele tu, akirudiunarudi ngoma droooo! Mwaga mboga nimwage ugali, Hii mambo unakaa kimya unaletewa watoto wa 3wa nje, mchezo sasa!

Shosti yangu Amber rose kimenuka tayari anamuacha Wiz khalifa! Hahaaa!
ttz wanawake mnakasumba ya kudata mnaweza kukutana na Jangombe ya mchepukoz la haja ukamsahua bamia ya mumeo Nuktaaa....
 
Back
Top Bottom