Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

Kwann usipande meli.unapandia pale kigoma had goma nauli 18000tsh ni rahis mno na unabeba vitu ving vya kibiashara
 
Bamutu ba Mombasa karibu hapa Lubumbashi eeh!! Kwa moyo moja banacongo wote penda karibisha sawa wewe ....mutu yoyote penda kuja huku karibishwa sana

Ni mimi papaa Mwamba mutu ya nzambe

...Mutu Mingi Yakongo Sa Bhanapendaka Kujiambizee Nijuu Bhafananake Na Bhatu Ba Ngambo Ya Mbali!
 
Kakamate fursa mkuu. Ngoja nikuitie mdau aliepo kule... msumeno ukuje pande hizi kuna chalii anatakakuja pande hizo.

Fursa gani unayomwambia akakamate wakati anaulizia malaya na machangudoa!! Mada nyingine ndio maana hatushauri zimekaa kizinzi tu
 
Fursa gani unayomwambia akakamate wakati anaulizia malaya na machangudoa!! Mada nyingine ndio maana hatushauri zimekaa kizinzi tu

we hujui hata kwa malaya kuna fursa flani,we unajua kugegedana tu kila unaposkia suala la malaya.
 
Sihami bongo hata iweje aisee nlienda lubumbashi na kigali ni pa ajabu mno
 
jamani kwa yeyote aliyefika kati ya sehemu hizo mbili lubumbashi na kinshasa tujuzane uzoefu nategemea kwenda huku august kuspend kwa wiki mbili,nia na madhumuni kujifunza na kuongeza upeo lakin kubwa zaidi kuangalia nafasi za kibiashara,nijuzeni gharama za malazi, chakula,malaya vp wanapatikana kwa urahisi ? Na vingine vyote ambavyo kama mgeni napaswa kuvijua
kinshansa lazima ukwee pipa
lubumbashi,hata kwa bazi through tunduma na kasumbaresa border.
mapendekezo.
tumia basi elekea katanga province mji ndo lubumbashi
kwa papa moise chapwee.
Gramentee kayemba.
Bayeba te.
 
Fursa gani unayomwambia akakamate wakati anaulizia malaya na machangudoa!! Mada nyingine ndio maana hatushauri zimekaa kizinzi tu

Mkuu mimi nimepeak vya mhimu tu hasa issues za bzness make nafahamu mtoa mada ni mpiganaji so sijajua km bzness zake anakutana na hao aliowataja. Anyway mengine ni personal issues zake!!
 
Kule askari wanapenda rushwa sana zaidi ya tz. Ukimpa rushwa askari mkubwa.na mdogo pia umpe hapohapo kila MTU na chake.Malaya wa kumwaga dola 20-50 .askari wakike wanachapika tu na bundukizao .
 
tatizo la wabongo hatuko serious ktk masuala ya msingi,Mombasa sihami bali nataka kujitanua kibiashara zaidi na zaidi.ni utaratibu niliojiwekea kila baada ya miezi mitatu nasafiri mji ambao sijawahi kufika ili nijifunze mambo mengi zaidi. kwa mfano after kongo napenda kwenda madagascar

Una mtaji kiasi gani wewe nikufundishe kuwa bilionea ukiwa umelala
 
Back
Top Bottom