falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
- Thread starter
- #121
gharama za maladhi. Hata huku unaweza kupata sio mpaka kinshasha.....teh teh teh. Ni sheeeDah
yawezekana hujaelewa swali
gharama za maladhi. Hata huku unaweza kupata sio mpaka kinshasha.....teh teh teh. Ni sheeeDah
kuhusu nafasi za biashara kama unaweza kusafirisha hata gunia la ndizi basi nenda nalo...mara ya mwisho kwenda pande hizo walikua wana import mpaka mikate...chakula kinalipa sana huko tatizo kukifikisha..
DRC/RDC mpaka leo bado barabara zao ni shida yaani tunawapita hata sie watanzania kwa ubora. Kwa sasa chakula ni kingi tu ila bado fursa ipo kwani kuna wafanya biashara wengi wa kule wanapenda sana kuingiza biashara hata kama hazina faida kwao na hazilipi ili mradi tu ana duka.
Cabinda/Kinshasa
piga kimyaEeeh, hatari! Tungo tata hii!
Sijui ulifikiria nini kuandika hivyoMombasa hakulipi?? Kinshasa kila mtu kajichubua kule si mwanamke wala mwanaume, jaribu kuangalia soko sehemu zingine.
Jamani kwa yeyote aliyefika kati ya sehemu hizo mbili Lubumbashi na Kinshasa tujuzane uzoefu nategemea kwenda huku august kuspend kwa wiki mbili,nia na madhumuni kujifunza na kuongeza upeo lakin kubwa zaidi kuangalia nafasi za kibiashara,nijuzeni gharama za malazi, chakula,malaya vp wanapatikana kwa urahisi ? na vingine vyote ambavyo kama mgeni napaswa kuvijua
Jamani kwa yeyote aliyefika kati ya sehemu hizo mbili Lubumbashi na Kinshasa tujuzane uzoefu nategemea kwenda huku august kuspend kwa wiki mbili,nia na madhumuni kujifunza na kuongeza upeo lakin kubwa zaidi kuangalia nafasi za kibiashara,nijuzeni gharama za malazi, chakula,malaya vp wanapatikana kwa urahisi ? na vingine vyote ambavyo kama mgeni napaswa kuvijua
Hawa watu ni wavivu kumbeTupo pamoja mkuu usikonde.Ni kweli Congo chakula ni dili.Nafikiri pia ni kutokana na utamaduni wa maisha ya wakongo kilimo hakikupewa kabisa kipaumbele na kila mkongolee anawaza na kutamani kuwa mfanyabiashara na pia wana asili ya uvivu.Inastaajabisha na kusikitiza kumkuta mkaazi wa kijijini kwenye ardhi yenye rutuba na mvua za kutosha akikulalamikia ana siku mbili hajakula.
Nimesoma Uzi vizuri na umenipa mwanga ila hapa pameniogopesha,sasa ilikukabiliana na hili mliokuwa huko mnatumia mbinu gani kukwepa tabia hii yao ya utapeli na usaliti kwa sisi wafanyabiashara tunaoitaji kwenda huko?mkuu epuka sana wanawake wa kasumbalesa.mchana watu usiku majini.take care.lubumbash ni jiji so hayo usemayo ya anasa utapata.ila watu si wakarimu.km bongo.kukuzunguka ni mchezo mdogo sana hasa km umeenda kibiashara.