Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

kama unaenda na usafiri binafsi jihadhari ukishaingia lubumbashi kwenye sehemu ya mataa wanaita T kuna machokoraa ni wezi kinyama,pia hata vibibi kwa barabara za mtaani wanashusha mizigo kutoka kwenye gari,kikubwa ulinzi wa mali zako upo juu yako mwenyewe usitegemee polisi kwa sana kwani hata wao ni mpaka uwape makuta ndo mnaelewana
 
Bacongo, Bazaire kila kitu tapata, bamutu ya hapa bakarimu,
Nitarudi tena nibbaelezee nibaelezee kila mutu baelewe
 
Kama ni rubumbashi jiandae na hela ya hakiba kwaajili ya mapolisi wa usalama brbrni kwani ni umiza kichwa ile mbaya ni ving'ang'anizi sana.
Pia jiandae na kulipia ushuru wa barabara kila uingiapo mkoa kwa mkoa wenyewe wana ita peash.
Lingine chakula cha huku kipo ila ukiwa hapo kisanga ndo utapata cha kibongo ila ukiwa mroho kule utakula panya,wadudu dizain ya washawasha,nyani huta kula kwani bei sana kuliko nyama ingine.
Pia matapeli ni wengj sana kuliko unavyo zani,pia mwanamke kule sumu utaliwa pesa bure.
 
Mimi niliwahi kaa hotel fulani inaitwa Belle view kama sijakosea kwa muda wa kama mwaka na nusu hivi. Nilikuwa napata shida sana kwenye misosi. Msosi kule ni shida. Kuna fasf food fulani inaitwa KFC(sio Kentucky) ndipo nilipokuwa najaza tumbo. Jamaa wanapenda rushwa ajabu. Hata ukitaka exit visa bila sukree hugongewi. Na trafiki polisi wao wanakelele hao. Wanavaa helmet halafu wanaongoza magari kwa kupiga filimbi kama alivyokuwaga Majambo au wapiga sangura.

huo ni mji gani mkuu,kinshasa au lubumbashi? vp gharama za hotel zikoje,na vyakula vyao vinalika kweli au nibebe vyakula vya kwenye makopo kabisa,vp hiyo miji miwili ni mikubwa kufananisha na dar ,nairobi au mombasa ?
 
Kama ni rubumbashi jiandae na hela ya hakiba kwaajili ya mapolisi wa usalama brbrni kwani ni umiza kichwa ile mbaya ni ving'ang'anizi sana.
Pia jiandae na kulipia ushuru wa barabara kila uingiapo mkoa kwa mkoa wenyewe wana ita peash.
Lingine chakula cha huku kipo ila ukiwa hapo kisanga ndo utapata cha kibongo ila ukiwa mroho kule utakula panya,wadudu dizain ya washawasha,nyani huta kula kwani bei sana kuliko nyama ingine.
Pia matapeli ni wengj sana kuliko unavyo zani,pia mwanamke kule sumu utaliwa pesa bure.

vp wali kuku naweza kupata,au nyama choma za kibongobongo,nitatumia usafiri wa basi ,gharama za ushuru wa barabara zikoje ? wanawake wao hawaliki kwanini ?
 
Kakamate fursa mkuu. Ngoja nikuitie mdau aliepo kule... msumeno ukuje pande hizi kuna chalii anatakakuja pande hizo.
 
Last edited by a moderator:
Kakamate fursa mkuu. Ngoja nikuitie mdau aliepo kule... msumeno ukuje pande hizi kuna chalii anatakakuja pande hizo.

si unajua kaka tukishazeeka hata nguvu za kutafuta zinaisha. karibu mombasa mkuu
 
Last edited by a moderator:
si unajua kaka tukishazeeka hata nguvu za kutafuta zinaisha. karibu mombasa mkuu

Kweli kabisa mkuu, msa ntakuja kuna mambo yaliingiliana tu ila ratiba ipo palepale.
Search uzi wa msumeno alishawahielezea fursa kibao zipatikanazo DRC.
 
Last edited by a moderator:
Nipe deal ya hiriki mkuu falcon mombasa hapa nilipo nawezapata mzigo wa maana.
 
Last edited by a moderator:
tatizo la wabongo hatuko serious ktk masuala ya msingi,Mombasa sihami bali nataka kujitanua kibiashara zaidi na zaidi.ni utaratibu niliojiwekea kila baada ya miezi mitatu nasafiri mji ambao sijawahi kufika ili nijifunze mambo mengi zaidi. kwa mfano after kongo napenda kwenda madagascar

kujifunza kulala na malaya?
 
Enzambe episiyo makasi mingi, bakuye na famili kincchaza iko bye na ile kitu bakongolee natumiaga ipo na inapatia mutu yoyote inakuja hapa.
 
ezali na biloko ako lingaka mobali soki yamoni namosolo.nzambe na mopesi mobimba ya bolingo nayo
 
Mfanyabiashara anaenda kusoma mazingira ya biashara anajumlishia na gharama za malaya au soko lake limewatarget na wao?
 
Lubumbashi nilishaishi.Utaenda kwa ndege au barabara kupitia Kasumbalesa?Ni PM nikupe ya Lubumbashi ndugu yangu mengine si ya kuandika hapa.
 
Back
Top Bottom