Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
"BINDUKI"manake nini
"BINDUKI"manake nini
im utaweza epuka anasa.fuata kilichokupeleka.ama nenda kwe starehe na watu mnaofahamiana.usimdandie mwanamke kihovyo hovyo.wakijua ww mgeni na mkakubaliana kuzini,wanatabia ya kufanya fujo na huwa wanamchongo na askari,utashangaa mzee mtu anabadirika na kuanza kulia kwa kelele na kudai umemwingilia kinyume na maumbile mara anataja mliahidiana hela kuuubwa na ukizingatia kule ukahaba ni biashara inayojulikana km halali vile.mzee utaitiwa ba sorder na watakuja kukutandika na kukupiga faini kubwa sana na yamkini ukadhurumika.Nimesoma Uzi vizuri na umenipa mwanga ila hapa pameniogopesha,sasa ilikukabiliana na hili mliokuwa huko mnatumia mbinu gani kukwepa tabia hii yao ya utapeli na usaliti kwa sisi wafanyabiashara tunaoitaji kwenda huko?
Shukrani mkuuim utaweza epuka anasa.fuata kilichokupeleka.ama nenda kwe starehe na watu mnaofahamiana.usimdandie mwanamke kihovyo hovyo.wakijua ww mgeni na mkakubaliana kuzini,wanatabia ya kufanya fujo na huwa wanamchongo na askari,utashangaa mzee mtu anabadirika na kuanza kulia kwa kelele na kudai umemwingilia kinyume na maumbile mara anataja mliahidiana hela kuuubwa na ukizingatia kule ukahaba ni biashara inayojulikana km halali vile.mzee utaitiwa ba sorder na watakuja kukutandika na kukupiga faini kubwa sana na yamkini ukadhurumika.
afu zingatia sana chenji kwe mafranga yao.
Khasante nimekuelewaim utaweza epuka anasa.fuata kilichokupeleka.ama nenda kwe starehe na watu mnaofahamiana.usimdandie mwanamke kihovyo hovyo.wakijua ww mgeni na mkakubaliana kuzini,wanatabia ya kufanya fujo na huwa wanamchongo na askari,utashangaa mzee mtu anabadirika na kuanza kulia kwa kelele na kudai umemwingilia kinyume na maumbile mara anataja mliahidiana hela kuuubwa na ukizingatia kule ukahaba ni biashara inayojulikana km halali vile.mzee utaitiwa ba sorder na watakuja kukutandika na kukupiga faini kubwa sana na yamkini ukadhurumika.
afu zingatia sana chenji kwe mafranga yao.
Hao ni wakuwaepuka kama ukomaim utaweza epuka anasa.fuata kilichokupeleka.ama nenda kwe starehe na watu mnaofahamiana.usimdandie mwanamke kihovyo hovyo.wakijua ww mgeni na mkakubaliana kuzini,wanatabia ya kufanya fujo na huwa wanamchongo na askari,utashangaa mzee mtu anabadirika na kuanza kulia kwa kelele na kudai umemwingilia kinyume na maumbile mara anataja mliahidiana hela kuuubwa na ukizingatia kule ukahaba ni biashara inayojulikana km halali vile.mzee utaitiwa ba sorder na watakuja kukutandika na kukupiga faini kubwa sana na yamkini ukadhurumika.
afu zingatia sana chenji kwe mafranga yao.
MajangaNasikia huko ni kawaida kumkuta mtu anadrive hammer halafu nyumba anayoishi ni ya matope ama mabox
Fursa zipo lakini?Ila ukija ujiaendae kushinda njaa maana chakula huku tabu labda ujipikie mwenyewe na ghara za kuishi ni juu sana kuliko maelezo.
Usumbufu gani?Zipo ila pana usumbufu sana.