Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

Jamani kwa yeyote aliyefika kati ya sehemu hizo mbili Lubumbashi na Kinshasa tujuzane uzoefu nategemea kwenda huku august kuspend kwa wiki mbili,nia na madhumuni kujifunza na kuongeza upeo lakin kubwa zaidi kuangalia nafasi za kibiashara,nijuzeni gharama za malazi, chakula,malaya vp wanapatikana kwa urahisi ? na vingine vyote ambavyo kama mgeni napaswa kuvijua

Yani we we kijana du!
 
Lubumbashi ina fursa nyingi za biashara.Kuanzia vyakula,electronic goods,mavazi,vipuri vya magari,hata usafirishaji ukiweza kuingiza lori zako.
Mambo ya mlo ni tatizo.Bei iko juu na viwango vya mapishi ni duni.Chunga sana kulakula ovyo hasa nyama chuma utakula mbwa .Hapo Lubumbshi mbwa wanaliwa ile mbaya pia paka,nyani,na nyamafu wanagonga hakitupwi kitu.
Malazi yako juu,kwa dola 25-30 utapata gesti ambayo TZ ingegharimu elfu 10 -15.Usipende kutembea usiku zaidi ya saa 3.Wale polisi na wanajeshi wanaokubomu mia tano mia tano mchana usiku hawafai hata chembe ukiingia 18 zao.Kongo ukabila umeota mizizi hivyo kuwa makini na utakao deal nao.Kama uta deal na watu wawili tofauti na wa makabila tofauti tegemea mikwamo maana kila mmoja atataka kumharibia mwenzie ili umthamini yeye na kitachotokea ni wewe kuharibikiwa.Rushwa ni nje nje,tegemea kuzinguliwa na watu wa immigration pale Kasumbalesa na watakupiga $ 10-50 inategemea na ujanja wako.Na kutoka ni hivyo hivyo.
Mkuu mbona unasema unataraji kukaa kule takribani wiki mbili sasa huwezi kukoomaa tu bila kugonga?au ndo mambo ya kukuza CV?Malaya ,wanaitwa Wandumba wamejaa lakini mmh kinyaa tupu.Kama we uko na makuta munene angalia usicomplicee mambo ya biznes na mipango hiyo.Ziko ndumba za kila aina kuanzia wale wa miaka 13/15 hadi ile migungumalo.Naishia hapa kwa sasa ntarudi tena kukuongeza mengine.
 
mkuu GOKILI umenikosha yaani umeenda ngazi kwa ngazi,nilichogundua hadi sasa kule chakula ni dili
 
mkuu GOKILI umenikosha yaani umeenda ngazi kwa ngazi,nilichogundua hadi sasa kule chakula ni dili

Tupo pamoja mkuu usikonde.Ni kweli Congo chakula ni dili.Nafikiri pia ni kutokana na utamaduni wa maisha ya wakongo kilimo hakikupewa kabisa kipaumbele na kila mkongolee anawaza na kutamani kuwa mfanyabiashara na pia wana asili ya uvivu.Inastaajabisha na kusikitiza kumkuta mkaazi wa kijijini kwenye ardhi yenye rutuba na mvua za kutosha akikulalamikia ana siku mbili hajakula.
 
Lubumbashi ina fursa nyingi za biashara.Kuanzia vyakula,electronic goods,mavazi,vipuri vya magari,hata usafirishaji ukiweza kuingiza lori zako.
Mambo ya mlo ni tatizo.Bei iko juu na viwango vya mapishi ni duni.Chunga sana kulakula ovyo hasa nyama chuma utakula mbwa .Hapo Lubumbshi mbwa wanaliwa ile mbaya pia paka,nyani,na nyamafu wanagonga hakitupwi kitu.
Malazi yako juu,kwa dola 25-30 utapata gesti ambayo TZ ingegharimu elfu 10 -15.Usipende kutembea usiku zaidi ya saa 3.Wale polisi na wanajeshi wanaokubomu mia tano mia tano mchana usiku hawafai hata chembe ukiingia 18 zao.Kongo ukabila umeota mizizi hivyo kuwa makini na utakao deal nao.Kama uta deal na watu wawili tofauti na wa makabila tofauti tegemea mikwamo maana kila mmoja atataka kumharibia mwenzie ili umthamini yeye na kitachotokea ni wewe kuharibikiwa.Rushwa ni nje nje,tegemea kuzinguliwa na watu wa immigration pale Kasumbalesa na watakupiga $ 10-50 inategemea na ujanja wako.Na kutoka ni hivyo hivyo.
Mkuu mbona unasema unataraji kukaa kule takribani wiki mbili sasa huwezi kukoomaa tu bila kugonga?au ndo mambo ya kukuza CV?Malaya ,wanaitwa Wandumba wamejaa lakini mmh kinyaa tupu.Kama we uko na makuta munene angalia usicomplicee mambo ya biznes na mipango hiyo.Ziko ndumba za kila aina kuanzia wale wa miaka 13/15 hadi ile migungumalo.Naishia hapa kwa sasa ntarudi tena kukuongeza mengine.

Hebu weka bei za wandumba! Na style ya kuwapata
 
Hebu weka bei za wandumba! Na style ya kuwapata

Bei zao nasikia ni kati ya $ 30 -70 ila inategemea na mahali ulipomtoa.Wandumba utawapata maeneo ambayo watu wanafanya ambiance kama kwenye groceries,bar,nightclubs na wapo wengine kitongoji kilichoko jirani ya uwanja wa mpira wa TPMazembe wana ile miondoko ya akina ………bota.
 
Du hapa mdogo sina,, anyway Nimefika kinshasa au KIN kama wanavyojiita wao,, gjarama za maisha inatengemeana na eneo mfano Commune Gombe... pale kuna hotel ya kawaida sana inaitwa Belle Ville 1 hapo kulala ni 100$ kwa usiku na unapata chai y maharwe asubuhi na kimkate na kandizi kaliko konda.... ujue KIN sio kama dar kwa misosi usitengemee minyama choma yako ya Manzese... kwa yale mambo yenu vijana ( god forbit ) utagongwa dollar 50$ au hata 30$ na akili zikutuwe na uzinzi wako.... kule Matonge hotel mpaka za 50$ unapata... puplic transport zina category zingine bora gari za jela.. nyingine za luxury... wakinwa ni watu wa mbwebwe sana lakini kwa pesa hakuna wanashindwa sana na watu EAST DRC.( Goma, Lubumbashi, Bukavu, Kisangani na kwingeko) mji wa Kinshasa kwa sasa ni super sana barabara pana na kwa kweli wametushinda... hawana sky scrapers zetu na sisi hapo tumewachapa... walevi sana kila hatua kama 10 kijiwe cha pombe... kwa muzik pale CHEZ NTENBA, gombe safi ila ukiwa na mshipa wa Ngiri kazi kwako... (mimi ustadh) opps msosi nikama 10$ chips na kuku,, na huko uswekeni ni chini ya hapo kidogo

Njoo Goma, hapa tatizo ni Mjomba wa URUSI nje nje lakini pako poa misosi kwa wingi na fursa za biashara kibao ila ujambawazi balaa.... Lubumbashi sijafika nimefika BUKAVU, UVIRA, KINSHASA, BENI, na Hapa Goma ninapoishi... unaswalli zaidi....

Brother nlkupm but hukunijbu
 
falcon mombasa at his peak performance! malaya wapo kila sehemu labda kama unataka zile alternatives zenu za mombasa za kina aunt hamis
 
Lubumbashi ina fursa nyingi za biashara.Kuanzia vyakula,electronic goods,mavazi,vipuri vya magari,hata usafirishaji ukiweza kuingiza lori zako.
Mambo ya mlo ni tatizo.Bei iko juu na viwango vya mapishi ni duni.Chunga sana kulakula ovyo hasa nyama chuma utakula mbwa .Hapo Lubumbshi mbwa wanaliwa ile mbaya pia paka,nyani,na nyamafu wanagonga hakitupwi kitu.
Malazi yako juu,kwa dola 25-30 utapata gesti ambayo TZ ingegharimu elfu 10 -15.Usipende kutembea usiku zaidi ya saa 3.Wale polisi na wanajeshi wanaokubomu mia tano mia tano mchana usiku hawafai hata chembe ukiingia 18 zao.Kongo ukabila umeota mizizi hivyo kuwa makini na utakao deal nao.Kama uta deal na watu wawili tofauti na wa makabila tofauti tegemea mikwamo maana kila mmoja atataka kumharibia mwenzie ili umthamini yeye na kitachotokea ni wewe kuharibikiwa.Rushwa ni nje nje,tegemea kuzinguliwa na watu wa immigration pale Kasumbalesa na watakupiga $ 10-50 inategemea na ujanja wako.Na kutoka ni hivyo hivyo.
Mkuu mbona unasema unataraji kukaa kule takribani wiki mbili sasa huwezi kukoomaa tu bila kugonga?au ndo mambo ya kukuza CV?Malaya ,wanaitwa Wandumba wamejaa lakini mmh kinyaa tupu.Kama we uko na makuta munene angalia usicomplicee mambo ya biznes na mipango hiyo.Ziko ndumba za kila aina kuanzia wale wa miaka 13/15 hadi ile migungumalo.Naishia hapa kwa sasa ntarudi tena kukuongeza mengine.

uko sawa kabisa, hakika umeishi congo
 
falcon mombasa at his peak performance! malaya wapo kila sehemu labda kama unataka zile alternatives zenu za mombasa za kina aunt hamis

hehehehe mi mtz,ila naishi hapa mombasa,wale mabwabwa hata dar wamejaa, afu we kwanini mawazo yako umepeleka moja kwa moja kwenye malaya wakati hapo vimeongelewa vingi kaka mkubwa, na wewe memba ?
 
Back
Top Bottom