falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
- Thread starter
- #101
vp kinshasa hakuna kadhia za makundi na vurugu za waasi
Hotel nzuri kinshansa inaitw memling jiandae kula nyani
Mzuri chips kavu
Jamani kwa yeyote aliyefika kati ya sehemu hizo mbili Lubumbashi na Kinshasa tujuzane uzoefu nategemea kwenda huku august kuspend kwa wiki mbili,nia na madhumuni kujifunza na kuongeza upeo lakin kubwa zaidi kuangalia nafasi za kibiashara,nijuzeni gharama za malazi, chakula,malaya vp wanapatikana kwa urahisi ? na vingine vyote ambavyo kama mgeni napaswa kuvijua
Yani we we kijana du!
mkuu GOKILI umenikosha yaani umeenda ngazi kwa ngazi,nilichogundua hadi sasa kule chakula ni dili
Lubumbashi ina fursa nyingi za biashara.Kuanzia vyakula,electronic goods,mavazi,vipuri vya magari,hata usafirishaji ukiweza kuingiza lori zako.
Mambo ya mlo ni tatizo.Bei iko juu na viwango vya mapishi ni duni.Chunga sana kulakula ovyo hasa nyama chuma utakula mbwa .Hapo Lubumbshi mbwa wanaliwa ile mbaya pia paka,nyani,na nyamafu wanagonga hakitupwi kitu.
Malazi yako juu,kwa dola 25-30 utapata gesti ambayo TZ ingegharimu elfu 10 -15.Usipende kutembea usiku zaidi ya saa 3.Wale polisi na wanajeshi wanaokubomu mia tano mia tano mchana usiku hawafai hata chembe ukiingia 18 zao.Kongo ukabila umeota mizizi hivyo kuwa makini na utakao deal nao.Kama uta deal na watu wawili tofauti na wa makabila tofauti tegemea mikwamo maana kila mmoja atataka kumharibia mwenzie ili umthamini yeye na kitachotokea ni wewe kuharibikiwa.Rushwa ni nje nje,tegemea kuzinguliwa na watu wa immigration pale Kasumbalesa na watakupiga $ 10-50 inategemea na ujanja wako.Na kutoka ni hivyo hivyo.
Mkuu mbona unasema unataraji kukaa kule takribani wiki mbili sasa huwezi kukoomaa tu bila kugonga?au ndo mambo ya kukuza CV?Malaya ,wanaitwa Wandumba wamejaa lakini mmh kinyaa tupu.Kama we uko na makuta munene angalia usicomplicee mambo ya biznes na mipango hiyo.Ziko ndumba za kila aina kuanzia wale wa miaka 13/15 hadi ile migungumalo.Naishia hapa kwa sasa ntarudi tena kukuongeza mengine.
Hebu weka bei za wandumba! Na style ya kuwapata
Hebu weka bei za wandumba! Na style ya kuwapata
umetisha mkuu katika yote hayo,mkuu we umetaka bei ya wandumba tu,hata msosi hupigi ?
Du hapa mdogo sina,, anyway Nimefika kinshasa au KIN kama wanavyojiita wao,, gjarama za maisha inatengemeana na eneo mfano Commune Gombe... pale kuna hotel ya kawaida sana inaitwa Belle Ville 1 hapo kulala ni 100$ kwa usiku na unapata chai y maharwe asubuhi na kimkate na kandizi kaliko konda.... ujue KIN sio kama dar kwa misosi usitengemee minyama choma yako ya Manzese... kwa yale mambo yenu vijana ( god forbit ) utagongwa dollar 50$ au hata 30$ na akili zikutuwe na uzinzi wako.... kule Matonge hotel mpaka za 50$ unapata... puplic transport zina category zingine bora gari za jela.. nyingine za luxury... wakinwa ni watu wa mbwebwe sana lakini kwa pesa hakuna wanashindwa sana na watu EAST DRC.( Goma, Lubumbashi, Bukavu, Kisangani na kwingeko) mji wa Kinshasa kwa sasa ni super sana barabara pana na kwa kweli wametushinda... hawana sky scrapers zetu na sisi hapo tumewachapa... walevi sana kila hatua kama 10 kijiwe cha pombe... kwa muzik pale CHEZ NTENBA, gombe safi ila ukiwa na mshipa wa Ngiri kazi kwako... (mimi ustadh) opps msosi nikama 10$ chips na kuku,, na huko uswekeni ni chini ya hapo kidogo
Njoo Goma, hapa tatizo ni Mjomba wa URUSI nje nje lakini pako poa misosi kwa wingi na fursa za biashara kibao ila ujambawazi balaa.... Lubumbashi sijafika nimefika BUKAVU, UVIRA, KINSHASA, BENI, na Hapa Goma ninapoishi... unaswalli zaidi....
Mi nikikosa msosi navumilia ila nikikosa mbunye siwezi kuvumilia
Lubumbashi ina fursa nyingi za biashara.Kuanzia vyakula,electronic goods,mavazi,vipuri vya magari,hata usafirishaji ukiweza kuingiza lori zako.
Mambo ya mlo ni tatizo.Bei iko juu na viwango vya mapishi ni duni.Chunga sana kulakula ovyo hasa nyama chuma utakula mbwa .Hapo Lubumbshi mbwa wanaliwa ile mbaya pia paka,nyani,na nyamafu wanagonga hakitupwi kitu.
Malazi yako juu,kwa dola 25-30 utapata gesti ambayo TZ ingegharimu elfu 10 -15.Usipende kutembea usiku zaidi ya saa 3.Wale polisi na wanajeshi wanaokubomu mia tano mia tano mchana usiku hawafai hata chembe ukiingia 18 zao.Kongo ukabila umeota mizizi hivyo kuwa makini na utakao deal nao.Kama uta deal na watu wawili tofauti na wa makabila tofauti tegemea mikwamo maana kila mmoja atataka kumharibia mwenzie ili umthamini yeye na kitachotokea ni wewe kuharibikiwa.Rushwa ni nje nje,tegemea kuzinguliwa na watu wa immigration pale Kasumbalesa na watakupiga $ 10-50 inategemea na ujanja wako.Na kutoka ni hivyo hivyo.
Mkuu mbona unasema unataraji kukaa kule takribani wiki mbili sasa huwezi kukoomaa tu bila kugonga?au ndo mambo ya kukuza CV?Malaya ,wanaitwa Wandumba wamejaa lakini mmh kinyaa tupu.Kama we uko na makuta munene angalia usicomplicee mambo ya biznes na mipango hiyo.Ziko ndumba za kila aina kuanzia wale wa miaka 13/15 hadi ile migungumalo.Naishia hapa kwa sasa ntarudi tena kukuongeza mengine.
falcon mombasa at his peak performance! malaya wapo kila sehemu labda kama unataka zile alternatives zenu za mombasa za kina aunt hamis
Yaani unanifurahisha kukiwa na malaya wengi ndio unapenda!! powa bwana angalia usije fia kwenye kinena cha mwanamke
hahahahaaaaa! mm member mzuri tu
Wadhamini!! haya nduguhao ni wadhamini baada ya mihangaiko ya siku nzima unapata kiburudisho