Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

Lubumbashi pako poa ila maisha yako juu sana usishangae $100 ikaisha kwa siku kulingana na matumizi yako chakula ni tatizo sana kama ni mnywaji usitegemee supu bar labda michopoo nyama ya mbuzi ya kuchoma pia dada poa wa chini ni $20 ila nakushauri achana nao
 
Lubumbashi pako poa ila maisha yako juu sana usishangae $100 ikaisha kwa siku kulingana na matumizi yako chakula ni tatizo sana kama ni mnywaji usitegemee supu bar labda michopoo nyama ya mbuzi ya kuchoma pia dada poa wa chini ni $20 ila nakushauri achana nao

kumbe wanatumia dollar mkuu? na vp wanasema gharama za ushuru wa barabara
 
Mkuuu falcon mombasa nimesomaa comment za wadau wengiii hapaa kwenye threat wana lalamika mambo ya msosii...
Ushauri wanguu chukua hiyo kama fursaa mojawapo coz nimeona umeandikaa unaenda kutafuta fursa za kibiasharaaa....
Ichukue hiyo point uende mayo kichwani moja ya fursaa nikufungua mgahawa wa chakula kizuriii...
 
Last edited by a moderator:
Dolla moja kwa chenji ya sasa ni franca 900 hadi 950 wakati dolla moja kwa Rwanda ni Franca 650 hadi 700 wakati kwa bongo dollar moja ni TSH 2150 hadi 2200 kwa Congo franga 90 elfu hadi laki moja yao ndo sawa na dolla 100
 
Kwa njia ya basi unatoka Dar hadi Tunduma, halafu unavuka upande wa Nakonde 'zambia pale utachukua mabasi yanaitwa Power Tools ndo unaenda hadi Kasumbalesa then Lubumbashi na unaweza kupanda magari ya Taqwa moja kwa moja kutoka Dar to Lubumbashi na kwenye vyakula wadau hawajakosea malazi pia yako juu na msosi bei juu
 
Baadhi ya fursa Nzuri ni maduka ya vyakula , Migahawa, au kupeleka vyakula vibichi kama dagaa na Samaki nayo sio mbaya lakini pia Congo hawana viwanda hivyo kila kitu wana import kutoka Nchi za nje na watu wa Taqwa hua wanabeba hadi Nyama ya ng'ombe kupeleka Lubumbashi
 
Nizidi kuwasihi ndugu zangu linapokuja suala la kujadili fursa za eneo fulani jitahidini kua serious maisha hayatotusubiri inabidi ukimbizane na muda kwani muda wa kutafuta ni mfupi mno kuliko tunavodhani kwa hali ya kawaida na ni boara kupeana fursa kiufasaha zilizopo katika maeneo mbali mbali tuliyopita au kuishi
 
Nizidi kuwasihi ndugu zangu linapokuja suala la kujadili fursa za eneo fulani jitahidini kua serious maisha hayatotusubiri inabidi ukimbizane na muda kwani muda wa kutafuta ni mfupi mno kuliko tunavodhani kwa hali ya kawaida na ni boara kupeana fursa kiufasaha zilizopo katika maeneo mbali mbali tuliyopita au kuishi

dah ushauri mzuri sana wa maisha,nazidi kuwa inspired
 
Kwa njia ya basi unatoka Dar hadi Tunduma, halafu unavuka upande wa Nakonde 'zambia pale utachukua mabasi yanaitwa Power Tools ndo unaenda hadi Kasumbalesa then Lubumbashi na unaweza kupanda magari ya Taqwa moja kwa moja kutoka Dar to Lubumbashi na kwenye vyakula wadau hawajakosea malazi pia yako juu na msosi bei juu

nauli inaweza kufika kiasi gani mkuu
 
Mkuuu falcon mombasa nimesomaa comment za wadau wengiii hapaa kwenye threat wana lalamika mambo ya msosii...
Ushauri wanguu chukua hiyo kama fursaa mojawapo coz nimeona umeandikaa unaenda kutafuta fursa za kibiasharaaa....
Ichukue hiyo point uende mayo kichwani moja ya fursaa nikufungua mgahawa wa chakula kizuriii...

mkuu umenipa zaidi ya ushauri,nitalifanyia kazi
 
Last edited by a moderator:
Dolla moja kwa chenji ya sasa ni franca 900 hadi 950 wakati dolla moja kwa Rwanda ni Franca 650 hadi 700 wakati kwa bongo dollar moja ni TSH 2150 hadi 2200 kwa Congo franga 90 elfu hadi laki moja yao ndo sawa na dolla 100

hivo naweza kupata room ya faranga ngapi ? ambayo itakuwa self contain
 
Back
Top Bottom