Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
Lubumbashi pako poa ila maisha yako juu sana usishangae $100 ikaisha kwa siku kulingana na matumizi yako chakula ni tatizo sana kama ni mnywaji usitegemee supu bar labda michopoo nyama ya mbuzi ya kuchoma pia dada poa wa chini ni $20 ila nakushauri achana nao