Karibi lakini viatu vua,huwezi kaa kwenye jamvi na viatu,utakunja vipi miguu wakati wa maakulatii? ukiwa kama mgeni vua viatu pumzika,naenda kuwaita wakubwa.
de costa..roller coster ..el vista ol demo motro gero ...adyos...hah hah nimeongea nin jaman pls help...<br />
<br />
karibu bwa kaka ..jisikie huru...karibu...ntakuwa mwenyeji wako wa kiroho..wa kimwil pia utampata usijali..!!!!!!!!!!
....................kumbe una viatu,hongera sana kwa kuwa na viatu,................................karibu sana,................je una soksi au huna.................,viatu vyako vya aina gani,raba mtoni,mchuchumio,raizoni,skuna,snika,stileto,mokasin,travolta au buti........................? Tabu ya kuvaa viatu ni fangasi.........je? wewe una fangasi,.....................,lakini raha ya viatu ni usalama wa miguu yako,................mbigiri na miba itakoma,ila kuwa mwangalifu sana usije kanyaga wenzio,......................,karibu tena,karibu sana na hata hivyo viatu njoo navyo,ila vua mlangoni,..............kwa heshima,...............tahadhari,usikute soksi zako zimetoboka na zinanuka,nakushauri uzifue kwanza,..................na kushona hayo matobo...........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.