kwa unyenyekevu naomba ukaribisho!

kwa unyenyekevu naomba ukaribisho!

de costa

Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
9
Reaction score
0
Salaam waungwana,sijasita kupiga hodi nakuwajulia hali wenyeji wa mji huu!!naomba kuingia na viatu kujumuika na wakongwe ndani ya familia hii kuubwa!!
 
Karibu sana jamvini mkuu.Ila vua viatu maana hili si gari la jeshi.
 
Karibi lakini viatu vua,huwezi kaa kwenye jamvi na viatu,utakunja vipi miguu wakati wa maakulatii? ukiwa kama mgeni vua viatu pumzika,naenda kuwaita wakubwa.
 
de costa..roller coster ..el vista ol demo motro gero ...adyos...hah hah nimeongea nin jaman pls help...

karibu bwa kaka ..jisikie huru...karibu...ntakuwa mwenyeji wako wa kiroho..wa kimwil pia utampata usijali..!!!!!!!!!!
 
de costa..roller coster ..el vista ol demo motro gero ...adyos...hah hah nimeongea nin jaman pls help...<br />
<br />
karibu bwa kaka ..jisikie huru...karibu...ntakuwa mwenyeji wako wa kiroho..wa kimwil pia utampata usijali..!!!!!!!!!!
<br />
<br />
Hahaah haaa me mwenyewe nmebaki nmeduwaa na lugha ulioyoitwanga! Nmeng'aa sharubu hahaha ha
 
Karibu jamvini. Ila kuwa na heshima kwa wakubwa zako.
 
....................kumbe una viatu,hongera sana kwa kuwa na viatu,................................karibu sana,................je una soksi au huna.................,viatu vyako vya aina gani,raba mtoni,mchuchumio,raizoni,skuna,snika,stileto,mokasin,travolta au buti........................? Tabu ya kuvaa viatu ni fangasi.........je? wewe una fangasi,.....................,lakini raha ya viatu ni usalama wa miguu yako,................mbigiri na miba itakoma,ila kuwa mwangalifu sana usije kanyaga wenzio,......................,karibu tena,karibu sana na hata hivyo viatu njoo navyo,ila vua mlangoni,..............kwa heshima,...............tahadhari,usikute soksi zako zimetoboka na zinanuka,nakushauri uzifue kwanza,..................na kushona hayo matobo...........
 
Back
Top Bottom