Msaada: Wapi naweza kupata Sports Academy kwaajili ya watoto maeneo ya Ubungo, Dar?

Ndikusyaganya

JF-Expert Member
Aug 11, 2013
204
100
Habari waungwana, naomba kujua kama kuna kituo kizuri na chenye kujali maadili cha mafunzo ya michezo hasa mpira wa miguu kilichopo ndani ya Wilaya ya Ubungo - Dar es Salaam.

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom