MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,486
- 20,437
Wasikilize wasomiTume iwe huru na katiba mpya iwepo mezani kabla ya uchaguzi. Hao wabunge wenu wanaopita bila kupingwa hawana ushawishi kwa wananchi.
Hii tume iliyompa Lowassa kura mil 6 inatosha sanaTume iwe huru na katiba mpya iwepo mezani kabla ya uchaguzi. Hao wabunge wenu wanaopita bila kupingwa hawana ushawishi kwa wananchi.
Hicho kiwanja wale wagogo wa chamwino ambao hata mlo mmoja ni shida na wao watapanda ndege??Muonekano wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato utakavyokuwa mara baada ya ujenzi wake kukamilika kwa awamu ya kwanza inayohusisha barabara za kuruka na kutua ndege pamoja na jengo la abiria.
Mkataba kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja hicho unagharimu takribani shilingi bilioni 165 za kitanzania na unatekelezwa na kampuni tatu kutoka China ambazo ni Sinohydro Coorporation limited, M/s Beijing Sino-Aero Construction Engineering Co. Limited pamoja na M/s China Jiangxi International Economic and Technical Cooperation Co. Ltd ambapo unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miezi 36 kutoka sasa.
View attachment 1937867View attachment 1937868View attachment 1937869View attachment 1937870
Wanajengewa wabunge hao wagogo jukumu lao ni kukatwa tozo.Hicho kiwanja wale wagogo wa chamwino ambao hata mlo mmoja ni shida na wao watapanda ndege??
Utopolo
Hahahaha! Watu wanafiki sana MkuuEnzi za magufuri tulisema haya ni maendeleo ya vitu ,,je bado huo msemo upo sasa??au ilikiwa siasa za kuchafuana
Imegeuka mara hii, sio maendeleo ya vitu tena?Tume iwe huru na katiba mpya iwepo mezani kabla ya uchaguzi. Hao wabunge wenu wanaopita bila kupingwa hawana ushawishi kwa wananchi.
π€£π€£π€£Tume iwe huru na katiba mpya iwepo mezani kabla ya uchaguzi. Hao wabunge wenu wanaopita bila kupingwa hawana ushawishi kwa wananchi.
Na nyie sasa mnachosha na hako kawimbo kenu ka katiba mpya. Hebu badilikeni basi.Tume iwe huru na katiba mpya iwepo mezani kabla ya uchaguzi. Hao wabunge wenu wanaopita bila kupingwa hawana ushawishi kwa wananchi.
Kwa namna hii JPM Asingefikisha 5 yearsKumbuka Katavi hawana madarasa na nilikuwa nasoma document moja nimetumiwa na inner core ya magogoni kwamba nchi inapumulia pabaya no moneynchi nane zimepunguza misaada Kwa asilimia 25!!
nchi zinazotukopeshaga bado hazijaridhika na mwenendo wa tawala hii Kama inatekeleza haki za binadamu sawa sawa Pia na kujua jinsi wanavyoyalinda maisha ya binadamu wake,
in few weeks to come china naye Ana tamko
Hamtarudia hilo kosa. Wenyewe mmeona changamoto za bunge lenu wenyewe.Muonekano wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato utakavyokuwa mara baada ya ujenzi wake kukamilika kwa awamu ya kwanza inayohusisha barabara za kuruka na kutua ndege pamoja na jengo la abiria.
Mkataba kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja hicho unagharimu takribani shilingi bilioni 165 za kitanzania na unatekelezwa na kampuni tatu kutoka China ambazo ni Sinohydro Coorporation limited, M/s Beijing Sino-Aero Construction Engineering Co. Limited pamoja na M/s China Jiangxi International Economic and Technical Cooperation Co. Ltd ambapo unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miezi 36 kutoka sasa.
View attachment 1937867View attachment 1937868View attachment 1937869View attachment 1937870
Waje Dar kuombaomba maana naona ndio wamebakia kufanya hiyo ndio economic activity yao na ni kama hata viongozi wao hawana mpango wa kuwapa mbadala.Wanajengewa wabunge hao wagogo jukumu lao ni kukatwa tozo.
Huyo anae wawakilisha bungeni aliupiga mwingi mpaka kuwa mgonjwa ghali zaidi Afrika.Waje Dar kuombaomba maana naona ndio wamebakia kufanya hiyo ndio economic activity yao na ni kama hata viongozi wao hawana mpango wa kuwapa mbadala.