IFUNYA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 363
- 130
Mkuu kama ni unabii tu;-
Nabii Boniface victor anatabiri ccm itaendelea kutawala daima,na Rais anaefuata baada ya samiah ni Gwajima josephati sasa sijui tushike lipi!!!
Mi nadhani tuendelee kufanya kazi KWA bidii huku tukiomba amani iendelee kutawala nchini!!
Mungu IBARIKI Tanzania nchi yangu niipendayo SANA!!
Dr Samia Sululu Hassan ameletwa na Mwenyezi Mungu ili kuwakomboa Wa-Tanzania kutoka kwenye utawala wa JPM.
Mola ampe maisha marefu mama yetu.