Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,836
"Tofauti na kipindi kilichopita, awamu hii ya Rais Samia tumeona watu wanaruhusiwa wanaandamana barabarani, mama ameruhusu na anawapa na ulinzi kwa sababu mama anajiamini, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mama anayejiamini ndio maana 'chokochoko', maneno havimsumbui, lakini imani yake inakuja kwa sababu anajuwa wanawake wenzake tunamuunga mkono, lakini sio tu wanawake, hata wanaume nao wanamuunga mkono Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan" -Jokate
"Kwa hiyo tunaomba sana wanawake wote wa Tanzania tuendelee kumuunga mkono Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan, viongozi wa CCM, viongozi wa UWT tuendelee kusemea kazi njema ambayo Mheshimiwa Rais anaifanya kwa ajili ya wananchi wa Tanzania, na huko kwenye maeneo yetu kazi hizo zinaonekana, kwa hiyo tuzisemee na tusichoke kuendelea kuwaelimisha.
"Kwa hiyo tunaomba sana wanawake wote wa Tanzania tuendelee kumuunga mkono Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan, viongozi wa CCM, viongozi wa UWT tuendelee kusemea kazi njema ambayo Mheshimiwa Rais anaifanya kwa ajili ya wananchi wa Tanzania, na huko kwenye maeneo yetu kazi hizo zinaonekana, kwa hiyo tuzisemee na tusichoke kuendelea kuwaelimisha.