mfawidhi
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 248
- 268
Ila pia imenisaidiaw kuwa mkali wa ArchiCAD. Kuna yule dogo anaitwa 'Uswazi TV' toka chuo cha Mbeya huko alinisaidia sana kwa clip zake youtube! Kama ataona hapa ale bia nakuja kulipa!
Nilipata project ya kuchora, nikataka nitafute mbobezi aifanye ila nikasema mwanaume ni kupambana kwanini nisiingie net nijifunze nipige? Nikajikakamua nikazama Youtube nikakutana na huyo dogo. Nadnani alikua Diploma ya Architecture. Mzee baba niña degree ya Marketing ila nina passion ya kuchora chora! Nikazama nikapiga mzigo client akalipa na bonus juu!
Nilipata project ya kuchora, nikataka nitafute mbobezi aifanye ila nikasema mwanaume ni kupambana kwanini nisiingie net nijifunze nipige? Nikajikakamua nikazama Youtube nikakutana na huyo dogo. Nadnani alikua Diploma ya Architecture. Mzee baba niña degree ya Marketing ila nina passion ya kuchora chora! Nikazama nikapiga mzigo client akalipa na bonus juu!