Kwa mimi youtube ni zaidi ya chuo kikuu

Hii ni hoja bora kabisa ila kwa kuwa tunapenda mambo mepesi hata wala haitapa wachangiaji wengi. Hongera kwa kuanzisha hii mada.
Youtube ni zaidi ya shule.
Kwa uchache nimejifunza haya
1. Kutengeza na kuboresha vifaa vyangu vya umeme (electronics devices). Nikienda kwa fundi huwa naanza kuwelekeza na spare parts nanunua mwenyewe.
2. Arrangement ya sebule yangu
3. Namna ya kuandaa vyakula vya aina mbalimbali
4. Namna ya kuinstall na ku-operate machine. Hii imeniwezesha kupata pesa kutoka ofisi nyingi kwa kwenda kuwafungia yale maprinter makubwa /photocopier na kutoa elimu jinsi ya kuyatumia.
( wapo wanaodhani labda nimesomea mitambo na machine mabalimbali). Last week nilikuwa Morogoro kufunga mtambo mmoja wa kitabibu. Week ijayo nina deal nyingine Lindi.
4. Malezi bora ya mtoto
5. Design mbalimbali ya unique furnitures
6. Matumizi mazuri na bora ya vifaa vya umeme
7. Namna ya kupanga mipango mbalimbali na kufikia malengo.
Kumbuka nimeajiriwa lakini napata pesa nyingi ya ziada kupitia Youtube.

Vijana, ingia youtube kujifunza. Ukishajua muziki mzuri na mbaya itakusaidia nini maishani.
 
Kweli hii ni Tanzania ya viwanda , kwa uandishi huu kweli hawa wanafunzi watafaulu ?? Kama Mwl.Ambaye amefika
kikuu anashindwa kuandika Essay na kuitetea je vijana wetu wataandika nn??
Heading ipo sahihi kwa 100%
Kwanini?
Yeye hakuuliza swali ila ametoa mtazamo wake na ndio maana ameandika "Kwa mimi" na sio "Kwa nini"

Angekosea kama mwisho wa heading angeweka alama ya kuuliza (?)
 
Kweli hii ni Tanzania ya viwanda , kwa uandishi huu kweli hawa wanafunzi watafaulu ?? Kama Mwl.Ambaye amefika
kikuu anashindwa kuandika Essay na kuitetea je vijana wetu wataandika nn??
hebu soma vizuri ulichoandika , usijifanye mjuaji wakati na wewe una makosa kwenye uandishi wako.
 
Hii ni hoja bora kabisa ila kwa kuwa tunapenda mambo mepesi hata wala haitapa wachangiaji wengi. Hongera kwa kuanzisha hii mada.
Youtube ni zaidi ya shule.
Kwa uchache nimejifunza haya
1. Kutengeza na kuboresha vifaa vyangu vya umeme (electronics devices). Nikienda kwa fundi huwa naanza kuwelekeza na spare parts nanunua mwenyewe.
2. Arrangement ya sebule yangu
3. Namna ya kuandaa vyakula vya aina mbalimbali
4. Namna ya kuinstall na ku-operate machine. Hii imeniwezesha kupata pesa kutoka ofisi nyingi kwa kwenda kuwafungia yale maprinter makubwa /photocopier na kutoa elimu jinsi ya kuyatumia.
( wapo wanaodhani labda nimesomea mitambo na machine mabalimbali). Last week nilikuwa Morogoro kufunga mtambo mmoja wa kitabibu. Week ijayo nina deal nyingine Lindi.
4. Malezi bora ya mtoto
5. Design mbalimbali ya unique furnitures
6. Matumizi mazuri na bora ya vifaa vya umeme
7. Namna ya kupanga mipango mbalimbali na kufikia malengo.
Kumbuka nimeajiriwa lakini napata pesa nyingi ya ziada kupitia Youtube.

Vijana, ingia youtube kujifunza. Ukishajua muziki mzuri na mbaya itakusaidia nini maishani.
Safi saaana
 
Hii ni hoja bora kabisa ila kwa kuwa tunapenda mambo mepesi hata wala haitapa wachangiaji wengi. Hongera kwa kuanzisha hii mada.
Youtube ni zaidi ya shule.
Kwa uchache nimejifunza haya
1. Kutengeza na kuboresha vifaa vyangu vya umeme (electronics devices). Nikienda kwa fundi huwa naanza kuwelekeza na spare parts nanunua mwenyewe.
2. Arrangement ya sebule yangu
3. Namna ya kuandaa vyakula vya aina mbalimbali
4. Namna ya kuinstall na ku-operate machine. Hii imeniwezesha kupata pesa kutoka ofisi nyingi kwa kwenda kuwafungia yale maprinter makubwa /photocopier na kutoa elimu jinsi ya kuyatumia.
( wapo wanaodhani labda nimesomea mitambo na machine mabalimbali). Last week nilikuwa Morogoro kufunga mtambo mmoja wa kitabibu. Week ijayo nina deal nyingine Lindi.
4. Malezi bora ya mtoto
5. Design mbalimbali ya unique furnitures
6. Matumizi mazuri na bora ya vifaa vya umeme
7. Namna ya kupanga mipango mbalimbali na kufikia malengo.
Kumbuka nimeajiriwa lakini napata pesa nyingi ya ziada kupitia Youtube.

Vijana, ingia youtube kujifunza. Ukishajua muziki mzuri na mbaya itakusaidia nini maishani.
Umenena mkuu.
 
Binafsi nimefaidika na YouTube kwa mambo mengi sana,imenisaidia kuongeza knowledge inayohusu taaluma yangu niliyosomea....na sio YouTube pekee,mitandao kama JF, Instagram,na Telegram vipo vitu muhimu sana kama unapenda kujifunza.
Shida ni kwamba vijana wanapenda umbea kuliko mambo ya muhimu.
 
Back
Top Bottom