Kwa mimi youtube ni zaidi ya chuo kikuu

Kwa mimi youtube ni zaidi ya chuo kikuu

Hii ni hoja bora kabisa ila kwa kuwa tunapenda mambo mepesi hata wala haitapa wachangiaji wengi. Hongera kwa kuanzisha hii mada.
Youtube ni zaidi ya shule.
Kwa uchache nimejifunza haya
1. Kutengeza na kuboresha vifaa vyangu vya umeme (electronics devices). Nikienda kwa fundi huwa naanza kuwelekeza na spare parts nanunua mwenyewe.
2. Arrangement ya sebule yangu
3. Namna ya kuandaa vyakula vya aina mbalimbali
4. Namna ya kuinstall na ku-operate machine. Hii imeniwezesha kupata pesa kutoka ofisi nyingi kwa kwenda kuwafungia yale maprinter makubwa /photocopier na kutoa elimu jinsi ya kuyatumia.
( wapo wanaodhani labda nimesomea mitambo na machine mabalimbali). Last week nilikuwa Morogoro kufunga mtambo mmoja wa kitabibu. Week ijayo nina deal nyingine Lindi.
4. Malezi bora ya mtoto
5. Design mbalimbali ya unique furnitures
6. Matumizi mazuri na bora ya vifaa vya umeme
7. Namna ya kupanga mipango mbalimbali na kufikia malengo.
Kumbuka nimeajiriwa lakini napata pesa nyingi ya ziada kupitia Youtube.

Vijana, ingia youtube kujifunza. Ukishajua muziki mzuri na mbaya itakusaidia nini maishani.
Asante kwa kunifumbua macho
 
Yaani ofisini naonekana mkali sana kisa nnafahamu mambo mingi kuhusu excel na program nyengine za computer ambazo karibia zote nnazipata youtube, kwa kweli hutumia muda wangu wa ziada kupakuwa video za mafunzo nyingi kupitia huu mtandao viva youtube
 
You tube ni noma, mpaka nimejua siri ya dini mbalimbali, fuatilia kwa makini utajua dini zimetengenezwa na wajanja.
 
Hii ni hoja bora kabisa ila kwa kuwa tunapenda mambo mepesi hata wala haitapa wachangiaji wengi. Hongera kwa kuanzisha hii mada.
Youtube ni zaidi ya shule.
Kwa uchache nimejifunza haya
1. Kutengeza na kuboresha vifaa vyangu vya umeme (electronics devices). Nikienda kwa fundi huwa naanza kuwelekeza na spare parts nanunua mwenyewe.
2. Arrangement ya sebule yangu
3. Namna ya kuandaa vyakula vya aina mbalimbali
4. Namna ya kuinstall na ku-operate machine. Hii imeniwezesha kupata pesa kutoka ofisi nyingi kwa kwenda kuwafungia yale maprinter makubwa /photocopier na kutoa elimu jinsi ya kuyatumia.
( wapo wanaodhani labda nimesomea mitambo na machine mabalimbali). Last week nilikuwa Morogoro kufunga mtambo mmoja wa kitabibu. Week ijayo nina deal nyingine Lindi.
4. Malezi bora ya mtoto
5. Design mbalimbali ya unique furnitures
6. Matumizi mazuri na bora ya vifaa vya umeme
7. Namna ya kupanga mipango mbalimbali na kufikia malengo.
Kumbuka nimeajiriwa lakini napata pesa nyingi ya ziada kupitia Youtube.

Vijana, ingia youtube kujifunza. Ukishajua muziki mzuri na mbaya itakusaidia nini maishani.
YouTube haiwezi kuwa zaidi ya shule hata siku moja ndugu yangu. Hizo contents unazo ziona ndio zimekusaidia kuliko mkufunzi wako chuo kuuu, zimewekwa na mtu aliye kwenda shule na kufahamu kama mwanafunzi anatakiwa afanye nini.
Hivyo mnavyovisifia havijajiweka YouTube, vimewekwa na binadamu mwenye maumbile na ubongo kama wako tofauti ni kwamba yeye alijua anapaswa kufanya nini zaidi ya pale anapoishia mwalimu wakati wewe ulipokuwa chuo alipokuwa anaishia mwalimu wewe uliishia nyuma yake kidogo.

Hivi unadhani Mmilikiwa Facebook alifundishwa chuoni namna ya kutengeneza facebook? ama muanzilishi wa YouTube alifundishwa darasani namna ya kutengeneza hicho unachokiona ni bora!
 
Yaani ofisini naonekana mkali sana kisa nnafahamu mambo mingi kuhusu excel na program nyengine za computer ambazo karibia zote nnazipata youtube, kwa kweli hutumia muda wangu wa ziada kupakuwa video za mafunzo nyingi kupitia huu mtandao viva youtube
umetisha mkuu.
ni mengi mengi sana ila tutorial za wazungu na wahindi huwa naenjoy sana.
 
YouTube haiwezi kuwa zaidi ya shule hata siku moja ndugu yangu. Hizo contents unazo ziona ndio zimekusaidia kuliko mkufunzi wako chuo kuuu, zimewekwa na mtu aliye kwenda shule na kufahamu kama mwanafunzi anatakiwa afanye nini.
Hivyo mnavyovisifia havijajiweka YouTube, vimewekwa na binadamu mwenye maumbile na ubongo kama wako tofauti ni kwamba yeye alijua anapaswa kufanya nini zaidi ya pale anapoishia mwalimu wakati wewe ulipokuwa chuo alipokuwa anaishia mwalimu wewe uliishia nyuma yake kidogo.

Hivi unadhani Mmilikiwa Facebook alifundishwa chuoni namna ya kutengeneza facebook? ama muanzilishi wa YouTube alifundishwa darasani namna ya kutengeneza hicho unachokiona ni bora!
Kweli mkuu
 
youtube ni darasa tosha, nimejifunza mengi sana na kutoka kwa the best people kupitia youtube
 
Mie kipindi Niko chuo, kuna kozi moja ambayo tutorial video nyingi zilikuwa zinapatikana YouTube, kwa hiyo kuna kipindi nilikuwa sihudhulii lectures za kozi hiyo na badala yake nikawa natafuta tutorial video za kozi hiyo hususani lecture mmoja wa Thailand ambaye alikuwa nilikuwa namwelewa zaidi ya lecture wa chuo changu. Na mitihani nilikuwa nafaulu vizuri tu.
 
Nimejifunza mechanics na kuijua gari vyema. Gari ikiwa na hitilafu yoyote najua shida iko sehemu gani na natatua mwenyewe. Pale ambapo sina nyenzo, namuita fundi namwambia fungua sehemu flani unirekebishie kitu flani. Awali mafundi walikuwa wananibambikia sana vitu kwasababu nilikuwa sijui chochote. Unakuta alternator ina tatizo, fundi anaanza kubuni na kukubambikia matatizo lukuki. Mara nimebadiliheadgasket, mara sijui hose pipe inayotoka wapi kwenda wapi, mara sijui nut flani na kitu flani ongezea na mwishowe unakuta gharama zimekuwa kubwa bila sababu ya msingi. Pia nimejifunza mengi kuhusu sayansi ya dunia, IT, uhandisi na hata medical fields.
 
Yaani mimi nilikuwa nikienda Home Kijijini smartphone yangu haina Network kabisa hakuna Mawasiliano au mara nyingine nikirudi chuo unakuta Geto ninalokaa hamna network ya Internet kwahio unakuta ni mpaka nitoke nje Usiku ndio ni download au niperuzi mtandao lakini Kupitia Youtube nilijifunza namna rahisi ya Kutengeneza Kamtambo ka Kuboost na Kuvuta mawimbi ya Network kwa mazingira Yoyote
Yaani saivi ni Full raha niende Kokote TZ hata mtandao wowote mimi network ni full 3G/4G hata nikiwa Geto ni mwendo wa 3G/4G cha mihimu niwe na Bundle Langu tuu bass
naomba jina la hiyo chanel huko youtube na mimi nikomae ,hii nimeipenda sana.
Nimejifunza maisha mengi sana you tube
 
Nimejifunza mechanics na kuijua gari vyema. Gari ikiwa na hitilafu yoyote najua shida iko sehemu gani na natatua mwenyewe. Pale ambapo sina nyenzo, namuita fundi namwambia fungua sehemu flani unirekebishie kitu flani. Awali mafundi walikuwa wananibambikia sana vitu kwasababu nilikuwa sijui chochote. Unakuta alternator ina tatizo, fundi anaanza kubuni na kukubambikia matatizo lukuki. Mara nimebadiliheadgasket, mara sijui hose pipe inayotoka wapi kwenda wapi, mara sijui nut flani na kitu flani ongezea na mwishowe unakuta gharama zimekuwa kubwa bila sababu ya msingi. Pia nimejifunza mengi kuhusu sayansi ya dunia, IT, uhandisi na hata medical fields.
Mkuu , kwa sasa wewe ni zaidi ya msomi hongera sana.
 
You tube you tube
Nilijifunza gari kupitia YouTube nikaenda driving course kufata cheti
Nilijifunza namna mbali mbali za kushona neckless kupitia youtube, nilijifunza kutengeneza mifuko ya karatasi kupitia YouTube, nilipokuwa nasoma kozi ya viatu nilishindwa kabisa kufanya shoe lasting nikaingia YouTube nikapata elimu iliyonifanya niwe msaada kwa wenzangu, nimejifunza kutengeneza sandals aina mbali mbali kupitia youtube
 
Back
Top Bottom