Kwa mimi youtube ni zaidi ya chuo kikuu

Kwa mimi youtube ni zaidi ya chuo kikuu

Kwa hiyo wote mliosoma chuo kikuu mnakili kabisa YouTube ni zaidi ya chuo kikuu???real???
Mnasahau ya kuwa hayo madude yamewekwa na wenzenu waliosoma kama nyinyi?? YouTube haijajiwekea material kuna watu walipata elimu ya darasani wakafanya beyond kazi kwenu.
True
 
nimejifunza mambo mengi kupitia U-tube ikiwemo proffessional cleaning wa vitu na sehemu mbalimbali
 
You tube kuna meng ya kujifunza lkn ishu ya kujifunza ufund flan inakuwa ngumu km nyumban huna nyenzo binafs nlijifunza kuweka bulb mbili lkn ziwe controlled na swich moja(two way)
 
Kusema kwamba dini zimetengenezwa simaanishi hakuna Mungu. Hizi dini hazikufikishi alipo Mungu, ni biashara hivyo tumia imani yako mwenyewe, usisubiri eti mtu akuambie Mungu anakupenda, au akuondolee dhambi, tumia akili yako kumjua Mungu wa kweli.
Wat wanafanye biashara kupitia uislam??
 
through youtube nimejifunza vitu vingi ikiwemo kuhusu ufungaji wa CCTV CAMERAS na kwa sasa nawafungia watu na wanakubali kazi
 
You tube imenipa ujiko sana kwa mke wangu na majirani wanajua mi mtaalam wa kila kitu maana kila likitokea jambo nakuwa naweza kulitatua kumbe naenda kula lecture
 
Mimi kwangu inanisaidia kujua na kuona/kujifunza mambo mengi ya kiulimwengu hasa mambo ya kiintelejinsia..
Ukiwa sio mvivu utapata kujifunza vitu vingi sana.
 
yah ila sikushauri ufungue ni hatari sana mkuu. kuna sauti utaziskia ambazo kwa hali ya kawaida hutaweza kuziexperience na kuna vitu utaviona kama ni muoga unaweza kufa kwa presha.. please usifungue utajilaumu sana baadae.
Vitu gani utaviona?
 
Kwa hiyo wote mliosoma chuo kikuu mnakili kabisa YouTube ni zaidi ya chuo kikuu???real???
Mnasahau ya kuwa hayo madude yamewekwa na wenzenu waliosoma kama nyinyi?? YouTube haijajiwekea material kuna watu walipata elimu ya darasani wakafanya beyond kazi kwenu.
Tatizo una papara
 
You tube imenipa ujiko sana kwa mke wangu na majirani wanajua mi mtaalam wa kila kitu maana kila likitokea jambo nakuwa naweza kulitatua kumbe naenda kula lecture
haha yaani kama mimi kabisa..,huwa sisemi siwezi kitu fulani nachofanya nakimbilia youtube
 
Back
Top Bottom