Mkuu kwema umebadili muonekanoMimi pia mambo mengi mkuu
ila kuna wale wa timu X na Y wanashindana kila video ikitoka lazima waringishiane Tumeangalia video hii zaidi sisi
Yaani ofisini naonekana mkali sana kisa nnafahamu mambo mingi kuhusu excel na program nyengine za computer ambazo karibia zote nnazipata youtube, kwa kweli hutumia muda wangu wa ziada kupakuwa video za mafunzo nyingi kupitia huu mtandao viva youtube
Youtube Inasaidia
Toa Uzi wako nawewe bas...Kweli hii ni Tanzania ya viwanda , kwa uandishi huu kweli hawa wanafunzi watafaulu ?? Kama Mwl.Ambaye amefika
kikuu anashindwa kuandika Essay na kuitetea je vijana wetu wataandika nn??
Haha mkuuMimi nimejifunza jinsi ya kulifanya taifa langu liwe la viwanda nataka nimpelekee maoni yangu kichwa namba 8
haaa haaaKumbe tupo wengi mkuu, kuna jamaa anaitwa 'Excellisfun' ni mkali wa Excel balaa! Kuna mavitu ya Excel nilijifunza kwake nikawa nafanya ofisini wkadhani mimi sio wa dunia hii!
Huko sahihi mkuuBinafsi nimefaidika na YouTube kwa mambo mengi sana,imenisaidia kuongeza knowledge inayohusu taaluma yangu niliyosomea....na sio YouTube pekee,mitandao kama JF, Instagram,na Telegram vipo vitu muhimu sana kama unapenda kujifunza.
Shida ni kwamba vijana wanapenda umbea kuliko mambo ya muhimu.
Jamaa amethibitisha jinsi mtiririko wa mawazo yake Ulivyo.Kweli hii ni Tanzania ya viwanda , kwa uandishi huu kweli hawa wanafunzi watafaulu ?? Kama Mwl.Ambaye amefika
kikuu anashindwa kuandika Essay na kuitetea je vijana wetu wataandika nn??
Napenda sana kujua muziki tatzo nyenzo. Sikumoja nitakutafuta tushare izo syllabus mkuuIlini improve ktk kuuelewa mziki in deep..
Ninaclip za madarasani kwa syllabus zote za music...now niko improved sanaaa
Karibu mkuu...nilijifunza kinanda mpka nikaelewa....jamaa yangu akanifundsha nikiwa niko vzrNapenda sana kujua muziki tatzo nyenzo. Sikumoja nitakutafuta tushare izo syllabus mkuu
Safi sanaYaani mimi nilikuwa nikienda Home Kijijini smartphone yangu haina Network kabisa hakuna Mawasiliano au mara nyingine nikirudi chuo unakuta Geto ninalokaa hamna network ya Internet kwahio unakuta ni mpaka nitoke nje Usiku ndio ni download au niperuzi mtandao lakini Kupitia Youtube nilijifunza namna rahisi ya Kutengeneza Kamtambo ka Kuboost na Kuvuta mawimbi ya Network kwa mazingira Yoyote
Yaani saivi ni Full raha niende Kokote TZ hata mtandao wowote mimi network ni full 3G/4G hata nikiwa Geto ni mwendo wa 3G/4G cha mihimu niwe na Bundle Langu tuu bass
Ku Derive benullis equationKimsingi nimejifunza mambo mengi sana kupitia youtube kuliko hata nilipokuwa chuo kikuu.
Je wewe umejifunza nini kupitia youtube?
Haha hahaKu Derive benullis equation