peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,830
- 21,460
Ninarudia kusema CCM kumpoteza Magufuli ili pata hasara ya Karne moja.
Nyegezi kulikuwa Bondeni na eneo lisilofaa leo nimekuta kifaa kama airport.
Magufuli Ulifanya kazi nzuri tutakukumbuka.
Bado ninasikia kuna stand nyingine Huku Mwanza imejengwa na Magufuli Ndio ninaelekea huko kuangalia. Nikifika Nitakujulisha niliyoyakuta ila CCM ilipoteza Rais Kwa kweli.
Tutatembelea bandari ya Mwanza, Meli alizozijenga, uwanja wa ndege wa Mwanza na mradi wa SGR Mwanza kwenda Isaka.
Mwisho nitatembelea daraja la kigongo busisi na Nitapiga picha!
Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.
Nyegezi kulikuwa Bondeni na eneo lisilofaa leo nimekuta kifaa kama airport.
Magufuli Ulifanya kazi nzuri tutakukumbuka.
Bado ninasikia kuna stand nyingine Huku Mwanza imejengwa na Magufuli Ndio ninaelekea huko kuangalia. Nikifika Nitakujulisha niliyoyakuta ila CCM ilipoteza Rais Kwa kweli.
Tutatembelea bandari ya Mwanza, Meli alizozijenga, uwanja wa ndege wa Mwanza na mradi wa SGR Mwanza kwenda Isaka.
Mwisho nitatembelea daraja la kigongo busisi na Nitapiga picha!
Tuko timu ya watanganyika tunazunguka nchi nzima kuangalia miradi iliyoanzishwa na Hayati magufuli Ili kuwaeleza na kuwaambia CCM sifa za Rais tu naye mtarajiwa 2025.