GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,573
- 108,930
Na tunakujua tunajua hukuwahi kabisa si tu Kumpenda bali hata Kumheshimu Rais Samia pale alipokuwa Makamu wa Rais chini ya Hayati Magufuli na leo tunakushangaa unavyojifanya Kumpamba na Kumpenda Mwenyekiti CCM Taifa Rais Samia Suluhu Hassan.
Acheni Unafiki na msitulazimishe tuanze kusema na mengine halafu Nafasi zenu wakapewa Wengine na msiamini.
Mshukuru sana Chalinze CCM Godfather kwa Kukupigania uwe hapo ili Uwatengenezee Mazingira Watu wake Watatu Kimkakati ambayo Mmoja ataanza kwa Kuchokota mwakani ( 2025 ) ila Wawili wao lengo lao ni 2030.
Rais Samia ( Mwenyekiti CCM Taifa ) narudia tena leo kukuambia kuwa usipende sana Kusifiwa na kuwa makini na Wanafiki wanaokusifia sasa kwani Wakikutana katika Vijiwe vyao vya Siri huwa Wanakusimanga, Wanakudharau na wala Hawakupendi vile vile.
Acheni Unafiki na msitulazimishe tuanze kusema na mengine halafu Nafasi zenu wakapewa Wengine na msiamini.
Mshukuru sana Chalinze CCM Godfather kwa Kukupigania uwe hapo ili Uwatengenezee Mazingira Watu wake Watatu Kimkakati ambayo Mmoja ataanza kwa Kuchokota mwakani ( 2025 ) ila Wawili wao lengo lao ni 2030.
Rais Samia ( Mwenyekiti CCM Taifa ) narudia tena leo kukuambia kuwa usipende sana Kusifiwa na kuwa makini na Wanafiki wanaokusifia sasa kwani Wakikutana katika Vijiwe vyao vya Siri huwa Wanakusimanga, Wanakudharau na wala Hawakupendi vile vile.