Kwa mara ya kwanza nimefika Dodoma. Hayati Magufuli ni mbeba maono

Mr. Tutor

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
720
2,386
Nilipoiangalia Dodoma mji haujajengeka sana kama inavyosemwa. Lakini ukiangalia vitu alivyofanya Hayati Magufuli ndani ya kipindi cha miaka 5 wanadodoma hawatamsahau kamwe. Hivi vitu vitatu tu vya mfano:

1. Stendi-Nanenane
2. Ikulu Chamwino na taa zake
3. Mji wa Serikali-Mtumba
Huu mji bila Magufuli ungekuwa vijumba na vipori tu.

Pamoja na mapungufu yake ila Magufuli angetufikisha mbali kwa mtazamo wañgu.

ILA DODOMA KUNA VUMBI KILO MIA MOJA.
 
Uamuzi wa kujenga Makao makuu Dodoma ni moja ya uamuzi wa kipuuzi sana ingekuwa ni nchi zinazojitambua hili lingetosha kuadhibu Serikali, Bahati sisi raia hatujitambui kabisa.

Yaani hakuna Raia anayesikitikia gharama kubwa za kujenga Offisi Dodoma bali tunashangilia wote. Sisi wajinga sana.

Gharama zilizotumika kujenga makao makuu Dodoma ni pesa nyingi sana ambazo zingeingizwa kwenye Kilimo, au Mikopo kwa vijana au kuboresha mazingira ya kufundishia kwa shule zetu impact yake ingekuwa kubwa sana.

Fikiria gharama kubwa za kujenga Offisi Dodona na kuna baadhi ya Taasisi awamu ya 4 ndio zilikuwa zimetoka kumaliza kujenga majengo yao Dar es salaam, fikiria jengo la BOT linapaswa pia kujengwa Dodoma.Fikiria Taasisi ambazo hata awamu ya Tano ndio zilitoka kukamilisha kejenga offisi zao Dar sasa zitapaswa tena kujenga Dodoma na still tunashangilia?

Kama hii haitoshi viongozi wako Dara muda mwingi sana kuliko Dodoma, V8 zinachomeshwa mafuta Dodoma to Dar na Dar to Dodoma no one Care?

Na mbaya zaidi raia tunashangilia ujinga huu wa kutisha? yaani Raisi anatamka kujenga majengo mengine zaidi Ikulu Dodoma sisi wajinga tunashangilia? Wakati huohuo Shule tu za mzingi hata Mijini Madarasa ni kama mabanda ya Mbuzi?

Hata kama sisi tunasomesha watoto sujui Englisha medium lakini, mazingira ya shule za Serikali hayafai kabisa na cha kushangaza raia tuna kunua tu meno.

Raia tuna uzezeta some time siwalaumu sana watawala ila nawalaumu raia tusio jitambua na sisi ndio tunawapa power sana hawa watawal kufanya maamuzi ya kipuuzi.

Jana Mama alipaswa kusema kwa sababu kujenga Ikulu ni gharama sana hebu tupumzike kwanza tufanye mambo mengine ya msingi na hayo majengo mengine yatajengwa mbele ya safari huko. Ila anatamka tu wakati km 50 au 70 kutoka hapo Ikulu kuna raia wana umasikini wa kutisha. Na anatamka raia tunashangilia hadi gego la mwisho.

Kuhamia Dodoma lilikuwa wazo la Nyerere hakujua kwamba kungekuja kuwa na maendeleo ya kutisha ya Techinolojia.

Huduma zinapaswa kuwa online ukitoa huduma chache sana ambazo ubapaswa kuwepo, Mikutano inafanywa online.


Nchi kama Kenya imepanga hadi mwisho wa mwaka huu Huduma zote ziwe online na wameisha anza kwa usajiri wa vyeti vya kuzaliwa na vifo na Ndoa vinapatikana online, niliona hata unaweza clera miziho yako Bandari ua Mombasa wewe ukiwa Nairobi una clear online.

Tanzania bado tunaabudu kufuatana offisini, na raia tunapenda sana hii ya kufuata huduma offisini wakati wenzetu wanahama kutoka huko
 
Nilipoiangalia Dodoma mji haujajengeka sana kama inavyosemwa. Lakini ukiangalia vitu alivyofanya Hayati Magufuli ndani ya kipindi cha miaka 5 wanadodoma hawatamsahau kamwe. Hivi vitu vitatu tu vya mfano:
1. Stendi-Nanenane
2. Ikulu Chamwino na taa zake
3.Mji wa serikali-Mtumba
Huu mji bila Magufuli ungekuwa vijumba na vipori tu.
Pamoja na mapungufu take ila Magufuli angetufikisha mbali kwa mtazamo wañgu.
ILA DODOMA KUNA VUMBI KILO MIA MOJA.
Na naamini hata Nyerere mwenye wazo hilo angekuwa hai angetucheka kwa kujenga Makao Makuu Dodoma wakati kuna mambo mengi ya kufanya.

Dodoma ni WASTAGE OF RESOURCES
 
Uamuzi wa kujenga Makao makuu Dodoma ni moja ya uamuzi wa kipuuzi sana ingekuwa ni nchi zinazo jitambua hili lingetosha kuadhibu Serikali, Bahati sisi raiahatujitambui kabisa.

Yaani hakuna Raia anaye sikitikia gharama kubwa za kujenga Offisi Dodoma bali tunashangilia wote. Sisi wajinga sana.

Gharama zilizo tumika kijenga makao makuu Dodoma ni pesa nyingi sana ambazo zingeingizwa kwenye Kilimo, au Mikopo kwa vijana au kuboresha mazingira ya kufundishia kw shule zetu impact yake ingekuwa kubwa sana.

Fikiria gharama kubwa za kujenga Offisi Dodona na kuna baadhi ya Taasisi awamu ya 4 ndio zilikuwa zimetoka kumaliza kujenga majengo yao Dar es salaam, fikiria jengo la BOT linapaswa pia kujengwa Dodoma.Fikiria Taasisi ambazo hata awamu ya Tano ndio zilitoka kukamilisha kejenga offisi zao Dar sasa zitapaswa tena kujenga Dodoma na still tunashangilia?

Kama hii haitoshi viongozi wako Dara muda mwingi sana kuliko Dodoma, V8 zinachomeshwa mafuta Dodoma to Dar na Dar to Dodoma no one Care?

Na mbaya zaidi raia tunashangilia ujinga huu wa kutisha? yaani Raisi anatamka kujenga majengo mengine zaidi Ikulu Dodoma sisi wajinga tunashangilia? Wakati huohuo Shule tu za mzingi hata Mijini Madarasa ni kama mabanda ya Mbuzi?

Hata kama sisi tunasomesha watoto sujui Englisha medium lakini, mazingira ya shule za Serikali hayafai kabisa na cha kushangaza raia tuna kunua tu meno.

Raia tuna uzezeta some time siwalaumu sana watawala ila nawalaumu raia tusio jitambua na sisi ndio tunawapa power sana hawa watawal kufanya maamuzi ya kipuuzi.

Jana Mama alipaswa kusema kwa sababu kujenga Ikulu ni gharama sana hebu tupumzike kwanza tufanye mambo mengine ya msingi na hayo majengo mengine yatajengwa mbele ya safari huko. Ila anatamka tu wakati km 50 au 70 kutoka hapo Ikulu kuna raia wana umasikini wa kutisha. Na anatamka raia tunashangilia hadi gego la mwisho.

Kuhamia Dodoma lilikuwa wazo la Nyerere hakujua kwamba kungekuja kuwa na maendeleo ya kutisha ya Techinolojia.

Huduma zinapaswa kuwa online ukitoa huduma chache sana ambazo ubapaswa kuwepo, Mikutano inafanywa online.


Nchi kama Kenya imepanga hadi mwisho wa mwaka huu Huduma zote ziwe online na wameisha anza kwa usajiri wa vyeti vya kuzaliwa na vifo na Ndoa vinapatikana online, niliona hata unaweza clera miziho yako Bandari ua Mombasa wewe ukiwa Nairobi una clear online.

Tanzania bado tunaabudu kufuatana offisini, na raia tunapenda sana hii ya kufuata huduma offisini wakati wenzetu wanahama kutoka huko
Nape....
 
Nilipoiangalia Dodoma mji haujajengeka sana kama inavyosemwa. Lakini ukiangalia vitu alivyofanya Hayati Magufuli ndani ya kipindi cha miaka 5 wanadodoma hawatamsahau kamwe. Hivi vitu vitatu tu vya mfano:
1. Stendi-Nanenane
2. Ikulu Chamwino na taa zake
3.Mji wa serikali-Mtumba
Huu mji bila Magufuli ungekuwa vijumba na vipori tu.
Pamoja na mapungufu take ila Magufuli angetufikisha mbali kwa mtazamo wañgu.
ILA DODOMA KUNA VUMBI KILO MIA MOJA.
Mtazamo wa wengi sema tu wachawi wana tabia ya kujichanganya na watu wema kama unavyowaona sasa wanajitokeza hadharani bila soni kupinga mazuri kutaka wasifiwe wao!
 
Nilipoiangalia Dodoma mji haujajengeka sana kama inavyosemwa. Lakini ukiangalia vitu alivyofanya Hayati Magufuli ndani ya kipindi cha miaka 5 wanadodoma hawatamsahau kamwe. Hivi vitu vitatu tu vya mfano:
1. Stendi-Nanenane
2. Ikulu Chamwino na taa zake
3.Mji wa serikali-Mtumba
Huu mji bila Magufuli ungekuwa vijumba na vipori tu.
Pamoja na mapungufu take ila Magufuli angetufikisha mbali kwa mtazamo wañgu.
ILA DODOMA KUNA VUMBI KILO MIA MOJA.
Nenda na Magufuli bus stand mbezi Zungukia maeneo yote ya jengo ndo utajua Magufuli hakuwa kiumbe cha kawaida.

Noma sana yule mzee
 
Nilipoiangalia Dodoma mji haujajengeka sana kama inavyosemwa. Lakini ukiangalia vitu alivyofanya Hayati Magufuli ndani ya kipindi cha miaka 5 wanadodoma hawatamsahau kamwe. Hivi vitu vitatu tu vya mfano:
1. Stendi-Nanenane
2. Ikulu Chamwino na taa zake
3.Mji wa serikali-Mtumba
Huu mji bila Magufuli ungekuwa vijumba na vipori tu.
Pamoja na mapungufu take ila Magufuli angetufikisha mbali kwa mtazamo wañgu.
ILA DODOMA KUNA VUMBI KILO MIA MOJA.
Kati ya vyote unavyosema ni stand na soko la ndugai tuu ndio ikikamilika kabla ya kufa.

Vingine vyote ujenzi unaendelea na alama itaachwa na Samia.

Washindi ndio huandika historia.Mwisho kama Mwendazake alibeba maoni Nyerere tumuitaje? Ushamba mzigo.

Kwanza umefaulu usaili?
 
Uamuzi wa kujenga Makao makuu Dodoma ni moja ya uamuzi wa kipuuzi sana ingekuwa ni nchi zinazo jitambua hili lingetosha kuadhibu Serikali, Bahati sisi raiahatujitambui kabisa.

Yaani hakuna Raia anaye sikitikia gharama kubwa za kujenga Offisi Dodoma bali tunashangilia wote. Sisi wajinga sana.

Gharama zilizo tumika kijenga makao makuu Dodoma ni pesa nyingi sana ambazo zingeingizwa kwenye Kilimo, au Mikopo kwa vijana au kuboresha mazingira ya kufundishia kw shule zetu impact yake ingekuwa kubwa sana.

Fikiria gharama kubwa za kujenga Offisi Dodona na kuna baadhi ya Taasisi awamu ya 4 ndio zilikuwa zimetoka kumaliza kujenga majengo yao Dar es salaam, fikiria jengo la BOT linapaswa pia kujengwa Dodoma.Fikiria Taasisi ambazo hata awamu ya Tano ndio zilitoka kukamilisha kejenga offisi zao Dar sasa zitapaswa tena kujenga Dodoma na still tunashangilia?

Kama hii haitoshi viongozi wako Dara muda mwingi sana kuliko Dodoma, V8 zinachomeshwa mafuta Dodoma to Dar na Dar to Dodoma no one Care?

Na mbaya zaidi raia tunashangilia ujinga huu wa kutisha? yaani Raisi anatamka kujenga majengo mengine zaidi Ikulu Dodoma sisi wajinga tunashangilia? Wakati huohuo Shule tu za mzingi hata Mijini Madarasa ni kama mabanda ya Mbuzi?

Hata kama sisi tunasomesha watoto sujui Englisha medium lakini, mazingira ya shule za Serikali hayafai kabisa na cha kushangaza raia tuna kunua tu meno.

Raia tuna uzezeta some time siwalaumu sana watawala ila nawalaumu raia tusio jitambua na sisi ndio tunawapa power sana hawa watawal kufanya maamuzi ya kipuuzi.

Jana Mama alipaswa kusema kwa sababu kujenga Ikulu ni gharama sana hebu tupumzike kwanza tufanye mambo mengine ya msingi na hayo majengo mengine yatajengwa mbele ya safari huko. Ila anatamka tu wakati km 50 au 70 kutoka hapo Ikulu kuna raia wana umasikini wa kutisha. Na anatamka raia tunashangilia hadi gego la mwisho.

Kuhamia Dodoma lilikuwa wazo la Nyerere hakujua kwamba kungekuja kuwa na maendeleo ya kutisha ya Techinolojia.

Huduma zinapaswa kuwa online ukitoa huduma chache sana ambazo ubapaswa kuwepo, Mikutano inafanywa online.


Nchi kama Kenya imepanga hadi mwisho wa mwaka huu Huduma zote ziwe online na wameisha anza kwa usajiri wa vyeti vya kuzaliwa na vifo na Ndoa vinapatikana online, niliona hata unaweza clera miziho yako Bandari ua Mombasa wewe ukiwa Nairobi una clear online.

Tanzania bado tunaabudu kufuatana offisini, na raia tunapenda sana hii ya kufuata huduma offisini wakati wenzetu wanahama kutoka huko
Nchi zinazojitambua unazosema ni zipi? Uturuki ilijenga makao makuu Ankara ikahamia, Afrika ya Kusini ilijenga Pretoria ikahamia. Canada ilijenga Ottawa ikahamia, Nigeria ilijenga Abuja ikahamia, Brazil ilijenga Brasilia ikahamia, Uchina waliijenga Peking. Fanya utafiti kdg ndo uje na blah blah
 
Nenda na Magufuli bus stand mbezi Zungukia maeneo yote ya jengo ndo utajua Magufuli hakuwa kiumbe cha kawaida.

Noma sana yule mzee
Wenzetu wanarusha vyombo mwezini, magari ya umeme,AI na marais wao wanaonekana bado hawatoshi ...

Huku kujenga stend za mabasi na kuhamisha makao makuu ya nchi kiongozi anaonekana mbeba maono

Trump alikuwa sahihi.
 
Wenzetu wanarusha vyombo mwezini, magari ya umeme,AI na marais wao wanaonekana bado hawatoshi ...

Huku kujenga stend za mabasi na kuhamisha makao makuu ya nchi kiongozi anaonekana mbeba maono

Trump alikuwa sahihi.
Mkuu unajua adha wanayokumbana nayo wasafiri wanaofika stendi usiku?
Sasa ukifika Dodoma hata usiku wa manane una uwezo wa kukaa Longer za stendi bure ukaangalia na TV na kuchaji simu na kulala hadi asubuhi
 
Lazima DSM
Nchi zinazojitambua unazosema ni zipi? Uturuki ilijenga makao makuu Ankara ikahamia, Afrika ya Kusini ilijenga Pretoria ikahamia. Canada ilijenga Ottawa ikahamia, Nigeria ilijenga Abuja ikahamia, Brazil ilijenga Brasilia ikahamia, Uchina waliijenga Peking. Fanya utafiti kdg ndo uje na blah blah
iachiwe ipumue hakuna namna
 
Nchi zinazojitambua unazosema ni zipi? Uturuki ilijenga makao makuu Ankara ikahamia, Afrika ya Kusini ilijenga Pretoria ikahamia. Canada ilijenga Ottawa ikahamia, Nigeria ilijenga Abuja ikahamia, Brazil ilijenga Brasilia ikahamia, Uchina waliijenga Peking. Fanya utafiti kdg ndo uje na blah blah
Kwani lazima tuige waliyofanya Uturuki na Canada na Nigeria?

Halafu mfano wa South Africa hauendani na kinchotokea Dodoma, acha uwongo. SA wana capitals 4. Pretoria ni Exexutive Capital, Joburg ni business capital, Bloemfontein ni Judicial capital na Cape Town ni Parliamentary capital
 
Back
Top Bottom