Sasa na wewe kweli mpaka Phantom!!!! Ulitakiwa mshuke Mwendakulima,upande Bajaj ukachuke lodge pale uwanjani.
Terminus-Inn, ingekufaa zaidi.
Nasra popote ulipo,hongera zako. Siku moja tunatoka Kahama,nimekaa na kamama,ila ukikaona kwenye mtandio,kama kadada. Mpaka Morogoro,tishaelewana na kuliwa. Kufika Mbezi,tukashuka,tukazama lodge kwanza. Manina. Kuvua nguo tu,kumbe kajitu kazima, na maziwa yashakuwa malala hoi(kama ndala za lodge). Hata mpaka leo najuta hela yangu ningenunua tu mtaani size nilochagua mwenyewe.