Naenda kwa bwanaHalafu uende wapi sasa .. Hashuki mtu hapa😂
Namba zote ulizowahi kupewa na mademu uliwatamani
ulipiga ngapi?
Ulisave ngapi?
Ulikumbuka ngapi?
Ulifanikiwa ngapi?
Ulizofanikiwa
Ngapi zilikuwa na ladha?
Ngapi zilikuwa pasua?
Ngapi ulijutia?😂
Kuwa mkweli mbingu zinakuona🤣
View attachment 3663340
D kuna mtu ka ku crush huko 🤗
sasa we nae unaharibu. Huyo kwani si mimi tuuu!!! yeye washamlalia na mengine kibao. angejilipa japo kidogoManina. Kuvua nguo tu,kumbe kajitu kazima, na maziwa yashakuwa malala hoi(kama ndala za lodge). Hata mpaka leo najuta hela yangu ningenunua tu mtaani size nilochagua mwenyewe.😂