Inashangaza kama atasema mwanamke alim'baka yeye katulia tu hata shavu hajavutavuta.Ujue hujatulia wewe mtoto🙌🏿🙆🏿♂🤣
Njoo white sand😝
Wengi mno siwapendi so far😎Umeona mabazazi wangapi so far?
Jiidangannyyee mzee utaacha ndala😂Hata mimi nakamiss haka kajukuu, katakuwa na supu tam sana mzee😅
🤔kwenye 10.
Itafanikiwa 2-3/10
Huyu jamaa mjinga sana aisee nimecheka 😂
Anapenda dudu hawezi kuwa sister huyu.
Kwamba nitakimbia?Jiidangannyyee mzee utaacha ndala😂
Sasa mbona kauli yako ya mwanzo na ya pili zinapingana legend, au unatukoga tu hapa ukimaanisha vice versa.K imekuwa cheap sana!
Nikiri tu kuwa nimekataliwa na 95% ya namba nilizochukua.🤪
Iko wazii😁Kwamba nitakimbia?
Walaa sipendi hata kidogo 😅Anapenda dudu hawezi kuwa sister huyu.
Yule manzi nilisafiri naye toka Dar mpaka Kahama. Kanilalia njia nzima, kanichoma choma na chuchu mara nyingi tu. Ikafika muda akaingia mpaka kwenye masai yangu. Mtu akiona anajua hawa ndio wapenzi sasa.
Tunakaribia Phantoom namuomba namba kachomoa kunipa. Nikaandika fasta kikaratasi nikamuwekea kwenye mkoba hakuwahi kupiga.
Kama unasoma huu uzi nipigie tafadhali. Ilikuwa 2021. Una deni la kulipa, hawezekani unishikishe mapembe njia nzima halafu maziwa nisikamue
Hapa bado majambazi wamesimama imara au naona vibaya?!!
Atasema aliweka,ila kwa staili hii, na chakula na vinywaji alinunua,akaambulia asante. Un roho nzuriHata madole hukuweka?
majambazi simama hawa hapa 😁😁Hapa bado majambazi wamesimama imara au naona vibaya?!!